Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Na mchepuko anatega mtoto ili awe na uhakika wakupata child support so lazima ujiongeze ufunguliwe biashara hata kikinuka Yuko safe na ata force kuwekwa kwenye urithi, mwanamke mwenzetu aendelee kuonea uhuru mumewe wakati nyumba yake iko hatarini Sana tu, aanze kufanya Mambo yake ya maendeleo loh
Hahaha ngoja kwanza. Mchepuko unawekwa kwenye urithi? Upi? Nisimiliki hiyo bastola
 
Hahaha ngoja kwanza. Mchepuko unawekwa kwenye urithi? Upi? Nisimiliki hiyo bastola
Michepuko mingine imefanyiwa makubwa kuliko hata ndani huko loh. Michepuko ni nuksi na ni hatari na ukishazaa mwanawe awekwa kwa urithi hapo bwana afe Yani shughuli
 
Yaan sitokaa nirudie huu ujinga. Shetani amekua akisingiziwa daily wakati mtu anafanya kwa tamaa zake. Siendekezi ujinga huu hata siku moja. Wanafanyaga kwa kudhamiria kabisa. Sitaki ujinga... i will pray just when u are a good man
Mimi hata akiwa good man won't waste my energy I would rather pray for my kid, wanaume hata uwafanyeje huwa hawariziki na hawaheshimiki loh
 
Mum ama mume?
Na kwanini upate maumivu kwa ndoa isiyokuhusu? Na amekuambia anaumia? Kaa kwa kutulia mkuu. Mnapenda sana kuendekeza ujinga in the name of utiifu sijui unyenyekevu kwa mzinzi? Kaa kwa kutulia
Huyu atalewa ngoma na mchepuko ukishazaa watoto wawili na mumewe, wanaume humu Wana mpa sifa za kijinga wakati akitelekezwa na watoto atakuwa hajui loh
 
Una mdogo au dada wa kike uniunganishe? Napenda jinsi ulivyo kuwa calm licha ya dhoruba.

Ni wanawake wachache wanaweza kukubali kuwa sisi ni wawindaji. We just go outside for fun....then our love is for our family.
 
Hahahahahaha hii style ya kudondoshewa toka dirishani sijawahi kuisikia, bila ya shaka itakuwa tamu sana hii 😂😂😂😂tuwekee detaiils za mautundu yako ya hii kitu.

Huwajui wanaume Miss😂😂 hawa viumbe hata upande dirishani ufanye kama unaidondokea bado atatoka akatafute inayolala tu kama yule manzi wa Gwajima maana hizo zako atakuja kuziona kama vurugu tu
 
Michepuko mingine imefanyiwa makubwa kuliko hata ndani huko loh. Michepuko ni nuksi na ni hatari na ukishazaa mwanawe awekwa kwa urithi hapo bwana afe Yani shughuli

Na afanyiwe huko nje tu. Ila the sooner i realise hayo i quit. Sipendi mashindano ya moyo mimi.
 
Mimi hata akiwa good man won't waste my energy I would rather pray for my kid, wanaume hata uwafanyeje huwa hawariziki na hawaheshimiki loh
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nitamuombea ila siyo kwa uchungu eti abadilike hapana ila mipango ya mishe zetu ziende poa
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?

Unajipa matumaini kwasababu wewe ndio umeolewa lakini unagamble na maisha yako,kama hutoambukizwa ukimwi(naombe isiwe),utapoteza ndoa yako.Hiko ulichonacho huyo mchepuko ndio anakitaka"NDOA YAKO",haupo salama bidada amkaa...nakuhakikishia atafanya kila hila mpaka akipate,hapo anaeza ajibebeshe mimba makusudi and much worse,god forbid🤞

Unajaribu kutudhirishia kama upo sawa but i can rest assure you upo depressed.Kama unampenda mumeo hasa sio kawaida kuchukulia usaliti poa kama unavyofanya lazima imekuathiri!

Tatizo lipo kwa MUME wako ndio unatakiwa umuweke sawa si mchepuko deal na mumeo.Unajitahidi kumtetea kama ni mume mwema lakini ukweli ni kwamba as long as ametoka nje ya ndoa si mwema.Huruma yako itakuponza!

Ama la wewe ni aina ya mwanamke ambae unaona huwezi jimudu mwenyewe unamtegemea mumeo ndio maana unaona uvumilie tu lakini mwanamke anayejielewa hatovumuilia upuuzi huu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom