miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Ndo basi ulipaswa ujue kuna wa kihardcore na kilaini laini madamme. Face the realityMadam si kuna kukubali ushauri au kukataa au kuangalia angalia kama unafaa? Ndo naangalia angalia hapa
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo basi ulipaswa ujue kuna wa kihardcore na kilaini laini madamme. Face the realityMadam si kuna kukubali ushauri au kukataa au kuangalia angalia kama unafaa? Ndo naangalia angalia hapa
Hahaha ngoja kwanza. Mchepuko unawekwa kwenye urithi? Upi? Nisimiliki hiyo bastolaNa mchepuko anatega mtoto ili awe na uhakika wakupata child support so lazima ujiongeze ufunguliwe biashara hata kikinuka Yuko safe na ata force kuwekwa kwenye urithi, mwanamke mwenzetu aendelee kuonea uhuru mumewe wakati nyumba yake iko hatarini Sana tu, aanze kufanya Mambo yake ya maendeleo loh
Michepuko mingine imefanyiwa makubwa kuliko hata ndani huko loh. Michepuko ni nuksi na ni hatari na ukishazaa mwanawe awekwa kwa urithi hapo bwana afe Yani shughuliHahaha ngoja kwanza. Mchepuko unawekwa kwenye urithi? Upi? Nisimiliki hiyo bastola
Mimi hata akiwa good man won't waste my energy I would rather pray for my kid, wanaume hata uwafanyeje huwa hawariziki na hawaheshimiki lohYaan sitokaa nirudie huu ujinga. Shetani amekua akisingiziwa daily wakati mtu anafanya kwa tamaa zake. Siendekezi ujinga huu hata siku moja. Wanafanyaga kwa kudhamiria kabisa. Sitaki ujinga... i will pray just when u are a good man
Huyu atalewa ngoma na mchepuko ukishazaa watoto wawili na mumewe, wanaume humu Wana mpa sifa za kijinga wakati akitelekezwa na watoto atakuwa hajui lohMum ama mume?
Na kwanini upate maumivu kwa ndoa isiyokuhusu? Na amekuambia anaumia? Kaa kwa kutulia mkuu. Mnapenda sana kuendekeza ujinga in the name of utiifu sijui unyenyekevu kwa mzinzi? Kaa kwa kutulia
Msamaha wangu uwe pending, mpaka nioe na nikosee.Wanaume tusamehewe
Huwajui wanaume Miss😂😂 hawa viumbe hata upande dirishani ufanye kama unaidondokea bado atatoka akatafute inayolala tu kama yule manzi wa Gwajima maana hizo zako atakuja kuziona kama vurugu tu
HufaI kutengenezewa sanamu, hufai kupewa ulinzi na wala hufai kupewa mitano tena...Halooo, unamwonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Huu uzi unavyopewa sapoti na wanaume dah inasikitisha....inaonesha jamii ya wanaume tulionao 😟! Wazinzi!
Michepuko mingine imefanyiwa makubwa kuliko hata ndani huko loh. Michepuko ni nuksi na ni hatari na ukishazaa mwanawe awekwa kwa urithi hapo bwana afe Yani shughuli
Halafu dude likishaamka unafaidika na nini?Halooo, unamwonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nitamuombea ila siyo kwa uchungu eti abadilike hapana ila mipango ya mishe zetu ziende poaMimi hata akiwa good man won't waste my energy I would rather pray for my kid, wanaume hata uwafanyeje huwa hawariziki na hawaheshimiki loh
Lets watch the space darlingHuyu atalewa ngoma na mchepuko ukishazaa watoto wawili na mumewe, wanaume humu Wana mpa sifa za kijinga wakati akitelekezwa na watoto atakuwa hajui loh
Hahahaaaa, dah nimecheka kwa sautiYaani mimi nilipo hapa mke kanipa limbwata na mchepuko kanipa limbwata yaani najiona kama niko sayari ya Pluto
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Eti kweli mtu abadili ladha huko nje aje asuuze kwangu halafu nimwangalie tu[emoji23][emoji23].Wewe ka Mimi kwa kweli,
Hivi huwa mnadhani na sisi huko nje hatukutani na watu wanaotupenda ila tunawakatalia japo wanatubamba? Ila nyie mnatembeza tu.Hii si sawa mwalimu. Vita haijawahi kuwa suluhu ya matatizo huacha majuto.