Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Hongera sana dada. Naomba nikutumie zawadi kwa sababu umeonesha ukomavu wa hali ya juu. Usingekuwa umeolewa I could find you.

NB: Tafadhali naomba unijulishe namna ya kukupa zawadi yako dada.
 
Una mdogo au dada wa kike uniunganishe? Napenda jinsi ulivyo kuwa calm licha ya dhoruba.

Ni wanawake wachache wanaweza kukubali kuwa sisi ni wawindaji. We just go outside for fun....then our love is for our family.

Wanafki wakubwa
You go out for fun mnawekeza huko na kuanzisha familia nyingine
Mnaacha wake zenu wakitaabika na watoto
 
Na afanyiwe huko nje tu. Ila the sooner i realise hayo i quit. Sipendi mashindano ya moyo mimi.
Hahaaa mahusiano ni shida ndo Mana kujifanya una baby mmoja ni hatari kwa afya aisee. Bora kuwa mafiga matatu
 
Nashangaa tena ukute watongozwa na wanaume viwango kuliko yeye
Wanaume viwango wapoje?

Babu yangu aliniambua kuwa kitendo cha mwanamke kuthamini mwanaume mwemingine ambaye siyo mume wake na Kuwaita wa viwango ni tabia za u.malaya. I don't know if he is right or wrong.
 
Unajipa matumaini kwasababu wewe ndio umeolewa lakini unagamble na maisha yako,kama hutoambukizwa ukimwi(naombe isiwe),utapoteza ndoa yako.Hiko ulichonacho huyo mchepuko ndio anakitaka"NDOA YAKO",haupo salama bidada amkaa...nakuhakikishia atafanya kila hila mpaka akipate,hapo anaeza ajibebeshe mimba makusudi and much worse,god forbid🤞

Unajaribu kutudhirishia kama upo sawa but i can rest assure you upo depressed.Kama unampenda mumeo hasa sio kawaida kuchukulia usaliti poa kama unavyofanya lazima imekuathiri!

Tatizo lipo kwa MUME wako ndio unatakiwa umuweke sawa si mchepuko deal na mumeo.Unajitahidi kumtetea kama ni mume mwema lakini ukweli ni kwamba as long as ametoka nje ya ndoa si mwema.Huruma yako itakuponza!

Ama la wewe ni aina ya mwanamke ambae unaona huwezi jimudu mwenyewe unamtegemea mumeo ndio maana unaona uvumilie tu lakini mwanamke anayejielewa hatovumuilia upuuzi huu.
Si deal na mchepuko Friend. Ntadeal na husband kuna love na kuna kujimudu as long as ni first time ntadeal na mume. Asante kwa ushauri
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Unaoneka umepevuka sana.Hongera utafika mbali kwenye ndoa yako shemeji yangu.Visasi wachie wengine,Endelea kumuombea pia,wakati mwingine yeye mwenyewe hapendi ila huyo mwanamke ametumia nguvu za giza kumteka mumeo.Haya yanatokea sana sana.Sasa Fanya jambo la Kiroho (Kama una amini) la kumsaidia kumtoa huko Mumeo baba wa watoto wako kabla hajaharibiwa kabisa.
 
Unaoneka umepevuka sana.Hongera utafika mbali kwenye ndoa yako shemeji yangu.Visasi wachie wengine,Endelea kumuombea pia,wakati mwingine yeye mwenyewe hapendi ila huyo mwanamke ametumia nguvu za giza kumteka mumeo.Haya yanatokea sana sana.Sasa Fanya jambo la Kiroho (Kama una amini) la kumsaidia kumtoa huko Mumeo baba wa watoto wako kabla hajaharibiwa kabisa.
Ndicho hicho naona kinafaa zaidi maombi my dia. Asante kwa ushauri
 
Mum ama mume?
Na kwanini upate maumivu kwa ndoa isiyokuhusu? Na amekuambia anaumia? Kaa kwa kutulia mkuu. Mnapenda sana kuendekeza ujinga in the name of utiifu sijui unyenyekevu kwa mzinzi? Kaa kwa kutulia
Mume sorry, it's ok! Ndio maana wengi wenu mnaishia kuwa single mother!
 
Mh Rais mama yetu mpendwa Samia kama utakupendeza tunaomba huyu Dada ajengewe sanamu kila wilaya na kila mkoa ndan ya jamuhur ya muungano wa Tanzania asante mh
 
Najaribu kuwaza hapa kama mtoa mada angekuwa mwanaume.....
Hizi comments za ajengewe sanamu zingekuwepo??? ama ndo tungekutana na "Piga chini mkuu wanawake wapo kibao kwa nini uteseke" Kwamba uzinzi ni kwa wanawake; wanaume ni nature inawa-push sio[emoji12]

Kuchepuka hakuangalii jinsi ya mtu wala maumivu yake hayawi tofauti.... Tukubaliane kuwa ukishajua mwenza wako anachepuka hisia zinabadilika na stimu zinakata. Tunajipa moyo tu lakini ndani ya mioyo yetu tunaugulia maumivu. Simu sio za kuchunguza zina faida na hasara zake, hivyo ukiigusa jiandae kwa lolote.

Heaven Sent
 
Wanaume viwango wapoje?

Babu yangu aliniambua kuwa kitendo cha mwanamke kuthamini mwanaume mwemingine ambaye siyo mume wake na Kuwaita wa viwango ni tabia za u.malaya. I don't know if he is right or wrong.
Mbona nyie mwathwmini wanawake wengine. Hayo maneno ya Babu yako yalikuwa ya kale
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom