Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Tuko tafauti mpnz ww ndivyo ulivyo mm niko vingine kabisa si solve kwa kutafuta shari zingine nasolve kwa kwa kutafuta amani. Unapambana na huyu una quit uta quit mahusiano mangapi? halafu kumbuka huyu ni mume na sijawahi kuta its just a first time ndo nakuta hii kitu for 8yrs unasema niquit.
Madamme, si unataka ushauri? Ama unataka upewe comforting advice? Hapana. Toka kwenye hiyo comforting zone. Next time utatuletea uzi mwingine hapa wa vilio.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222] is this lady Mother Theresa, Our Lady of Fatimah or Rita wa Kashia?

Praying for whoom?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahfwax. Somebody is chewing somebodyz pussy and i gotta pray for that shit? Hahahahahaha oover my blaaackkk assssy... like wtf am i reading?

Heading to bulldoza mwampoo to step annointed oil? Lemme shake my bam bam[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] Sister Mary Antony angeninasa kibao ingekua miye. Nishinde njaa nafunga kwaajili ya mtu anakojoa kwa raha hukoo[emoji23][emoji23][emoji23] kojoo pwaah la rahaaaaa mimi nimekesha na mawaridi ya sala nimeshinda njaa na nashinda kila semina sijui kwa kina ireene mbowe sijui wapi kumuombea mzinzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Barikiwa saana sana sanaaa.
Wewe mwanamke wewe Kama umeolewa Nampa pole mume wako,
 
Mchepuko unafunguliwa had na biashara hapo utatega na mimba huku yeye anasali huku mumewe katafta pumziko loh
Exactly. Yaan hapo nimewaza mimba na si kingine ili umpelekeshe zaidi. Wanawake wakosa akili huamini kutegesha mimba ndo kumteka mwanaume. Hasa michepuko. Ndo maana nampa tahadhari next time asije analia hapa. Yaan mpk mchepuko ushafanya survey kila kitu unataka cash sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] i used to pray for these niggaz miaka hiyo nikiamini nina matatizo. The sooner i realised these niggaz aint loyal baasii i mind my own business and stay on my lane. Men do things intentionally.. si kwamba hawako aware hapaana. Its exactly anavyokutreat ndo anavyojisikia juu yako. Men will always be men. Kwanza mtu mwenye muda wa kushinda kwa mwampoo asubuhi mpk usiku hana kazi za kufanya. Mwenye kazi za kufanya huwezi mkuta hapo. Nani anataka ulcers kisa maombi na tatu kavu[emoji23][emoji23][emoji119]
Hongera sana kwa maombi yako Mimi sijawahigi kuwaza kumuombea mwanaume Tena mtu mzima, wanaume hufanya Mambo kwa kuamua na kusudi kabisa na hata huwa hawLogwai then wanasingizia ni nature, na hivi wanawake walioolewa kinga Yao ni makaratasi huku michepuko inakula Bata ka zote mume akirudi ana msingizia shetsni. Na mwanaume hata ka Hana nguvu za kiume anaweza kuwa malaya huku yeye hakuridhishi unavumilia tu. [emoji3] Wanawake wajifunze kutafta furaha na sio kutegemea hawa viumbe mwisho wanakuwa na uchungu moyoni na matokeo walienda kwa manabii uchwara wanaambiwa mapepo na watoe sadaka za ukombozi wa wanaume na michepuko woooi.
 
Biashara haitafunguliwa tena na hivyo nimeshaona
Darling, hutaamini. Wanaume wana mbinu balaa. Yaan hapa unachopasqa ni kuset limits aisee. Kisa umejua ndo unadhan itakua ngumu? Hapana. Na michepuko nayo ina mbinuu. Hii vita siyo ndogo nakuhakikishia
 
Exactly. Yaan hapo nimewaza mimba na si kingine ili umpelekeshe zaidi. Wanawake wakosa akili huamini kutegesha mimba ndo kumteka mwanaume. Hasa michepuko. Ndo maana nampa tahadhari next time asije analia hapa. Yaan mpk mchepuko ushafanya survey kila kitu unataka cash sasa
Na mchepuko anatega mtoto ili awe na uhakika wakupata child support so lazima ujiongeze ufunguliwe biashara hata kikinuka Yuko safe na ata force kuwekwa kwenye urithi, mwanamke mwenzetu aendelee kuonea uhuru mumewe wakati nyumba yake iko hatarini Sana tu, aanze kufanya Mambo yake ya maendeleo loh
 
Huwajui wanaume Miss[emoji23][emoji23] hawa viumbe hata upande dirishani ufanye kama unaidondokea bado atatoka akatafute inayolala tu kama yule manzi wa Gwajima maana hizo zako atakuja kuziona kama vurugu tu
No, nadhan hamkunielewa point yangu. Huyu ni mchepuko ambaye hama thamani maana in reality hakuna any value added kbs ukiacha ya ngono. Kwani kuna kingine kipi? Or else mchepuko ndo awe ana pesa. Vinginevyo ni chombo cha kupunguzia mkojo tu na basi. Ni kipago chake tu kinahitajika ma basi
 
Hata siwezi kusema kitu huo mchepuko ni mimi .
Nakula kote huku na huko kwangu nakwako pole mwaya .
Nisamehe majukumu tu yanafanya niwe na roho ngumu
 
Cc Depal

Wewe ungefanyaje?

Mtoa uzi, naungana na member aliyesema ukajengewe sanamu la kukuenzi!. Hakika wewe ndiye mke mwema!
1. Hiyo namba itakula block kimya kimya then convo zitafutwa

2. Sitonyamaza, nitamwambia ajue kama nimejua madudu yake ili next time hata kama atarudia basi atakuwa makini. Wewe ni mbaya kujua sindano inayokuchoma bila ganzi daily na huko nje kuna sehemu inatoa huduma 😂

3. Huyu mke ana uwema gani? Kufumbia macho matatizo? Huu uzi umejaa wanaume wazinzi ndiyo maana mnam'support mtoa mada.
 
Lazima nyumba iwake moto atambue ana mke. Nawasha moto mpaka nguvu zake za kiume zipungue ndio nauzima halafu na mimi natafuta miongoni mwa wale wanaonipendaga ila nawakataliaga kwa sababu naheshimu ndoa namkubalia mmoja. Hapo nyumbani amani ni shwariii.

Hizo ndio zinaitwa hasira za mkizi. Yaani utaishia kumtunuku mhuni mmoja kimasihara hivi hivi tu. Na kero itabakia pale pale.

Anyways. Ninavyowafahamu wanawake, kama huna vinasaba vya “wingi” huwezi kuchepuka kirahisi na mtu tu eti kulipa kisasi.

Ikitokea basi ama ulikuwa ni mchezo wako hata kabla au huyo aliyebahatika alikuwa kumtima siku nyingi; kilichokuwa kinasubiriwa ni “push” tu udondokee motoni [emoji23].

Ukitulia utaokoa nyumba yako. Kwa wanaume ngono ni mchezo tu. Mambo yakichemka wanavamia hata mwehu na kumsahau hapo hapo. Kwa wanawake roho inaweza kuhamia huko kabisa. Ndio maana mke akichepuka ni janga! That’s the difference.
 
Mburaaa!!!!ungemtext uyo dada umwambie daa nimekwama hapa km ef50 ntakupa kesho asubuhi nikipitia bank.. tuma kwa namba hii unaweka yako akituma unafuta sms..... kesho wakiulizana we unauchuna kama hujui kitu..
kwenye betting tunaita double chance/ waswahili wanasema unaua ndege wawili kwa jiwe moja/ wazungu win win situation [emoji2][emoji2]
 
Hongera sana kwa maombi yako Mimi sijawahigi kuwaza kumuombea mwanaume Tena mtu mzima, wanaume hufanya Mambo kwa kuamua na kusudi kabisa na hata huwa hawLogwai then wanasingizia ni nature, na hivi wanawake walioolewa kinga Yao ni makaratasi huku michepuko inakula Bata ka zote mume akirudi ana msingizia shetsni. Na mwanaume hata ka Hana nguvu za kiume anaweza kuwa malaya huku yeye hakuridhishi unavumilia tu. [emoji3] Wanawake wajifunze kutafta furaha na sio kutegemea hawa viumbe mwisho wanakuwa na uchungu moyoni na matokeo walienda kwa manabii uchwara wanaambiwa mapepo na watoe sadaka za ukombozi wa wanaume na michepuko woooi.
Yaan sitokaa nirudie huu ujinga. Shetani amekua akisingiziwa daily wakati mtu anafanya kwa tamaa zake. Siendekezi ujinga huu hata siku moja. Wanafanyaga kwa kudhamiria kabisa. Sitaki ujinga... i will pray just when u are a good man
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom