scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 234
- 383
Lazm kuna mahala unafeli mume hawez chepuk iv iv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama utadumu milele kwenye ndoa yako!. Utapendwa milele. Ni kweli kipigo huwezi kukikwepa. Eti kuamsha dude it seems hawatujui hawa!. Na huwa ukiona mwanamke hakusumbui na amani IPO huwa tunarudi haraka kwenye reli. Lakini ukanyage waya eti kuamsha dude uone cheche zake kwenye macho. Siku moja alipigwa MTU nadhani kwa sasa ni kungwi wa wengine.Ningalikuwa mumeo ningalikupiga mpk uone jinsi Tanzania ilivyoingia uchumi wa kati!!.. kwanini unishambulie bila kuniuliza kwanini nachepuka..?😂
Utakuwa na roho ngumu sana hannahSio vurugu tu nikiamua namtilia sumu afie usingizini.
Bora tuachaneee~ Lava lavawhat for? i dont support kwenda je ya ndoa au kuchepuka ila vurugu za nini? unafikili kabla ya kukuoa alikuwa na wangapi, na wewe hata pengine sio mumeo ambae alikutoa bikira, but all in all hakuna haja ya vurugu, its both a sin before God and man, option ya mtu mume au mke kuchepuka ni moja pekee, DIVORCE period, mimi siku nikioa akichepuka divorce na mimi nitawambia nikichepuka anipe divorce, hakuna hata ya vita, vuugu matusi au nini, muachie huo ambae anachepuka nae awe mke wake au awe mume wake, period, i hope nimeeleweka
Ukiliangalia situation kwa jicho hilo hutaweza kutulia na mumeo! This kind of thinking makes me think hujampenda kisawasawa huyo mumeo. Aidha uliolewa kutoa gundu na upate sifa tu kuwa una mume!Hivi huwa mnadhani na sisi huko nje hatukutani na watu wanaotupenda ila tunawakatalia japo wanatubamba? Ila nyie mnatembeza tu.
Ndio maana jamii nyingi za kiafrika walikuwa wanakata hicho kiantena (kin**e**mbe) kukomesha tabia kama hii ya mwanamke kushindana na mwanaume kwenye Sexual desire.Kanuni yangu ni ile ile.
Akichepuka mapenzi yameisha. Na kumwacha wala simwachi ila ni zamu yangu na mimi kutafuta kakijana kawe kananiponza machungu. Wote tuna haki ya kubadilisha ladha.
Sasa utapambana na mwanaume ambaye amegonga nje tu ila anahudumia familia yake vyema. Sometimes huwa mnajitaftiaga mabalaa nyie wenyewe tu. Mtii mumeo na ukae kwa kutulia bidada!Unajipa matumaini kwasababu wewe ndio umeolewa lakini unagamble na maisha yako,kama hutoambukizwa ukimwi(naombe isiwe),utapoteza ndoa yako.Hiko ulichonacho huyo mchepuko ndio anakitaka"NDOA YAKO",haupo salama bidada amkaa...nakuhakikishia atafanya kila hila mpaka akipate,hapo anaeza ajibebeshe mimba makusudi and much worse,god forbid🤞
Unajaribu kutudhirishia kama upo sawa but i can rest assure you upo depressed.Kama unampenda mumeo hasa sio kawaida kuchukulia usaliti poa kama unavyofanya lazima imekuathiri!
Tatizo lipo kwa MUME wako ndio unatakiwa umuweke sawa si mchepuko deal na mumeo.Unajitahidi kumtetea kama ni mume mwema lakini ukweli ni kwamba as long as ametoka nje ya ndoa si mwema.Huruma yako itakuponza!
Ama la wewe ni aina ya mwanamke ambae unaona huwezi jimudu mwenyewe unamtegemea mumeo ndio maana unaona uvumilie tu lakini mwanamke anayejielewa hatovumuilia upuuzi huu.
Mke akianza biashara ya michepuko ndoa survival rate hushuka toka 90% to 50% real quick na akikamatwa ni drift toka 50% to 0% real quick! Ndoa inaishia hapoHizo ndio zinaitwa hasira za mkizi. Yaani utaishia kumtunuku mhuni mmoja kimasihara hivi hivi tu. Na kero itabakia pale pale.
Anyways. Ninavyowafahamu wanawake, kama huna vinasaba vya “wingi” huwezi kuchepuka kirahisi na mtu tu eti kulipa kisasi.
Ikitokea basi ama ulikuwa ni mchezo wako hata kabla au huyo aliyebahatika alikuwa kumtima siku nyingi; kilichokuwa kinasubiriwa ni “push” tu udondokee motoni [emoji23].
Ukitulia utaokoa nyumba yako. Kwa wanaume ngono ni mchezo tu. Mambo yakichemka wanavamia hata mwehu na kumsahau hapo hapo. Kwa wanawake roho inaweza kuhamia huko kabisa. Ndio maana mke akichepuka ni janga! That’s the difference.
Si mnasemaga watoto wawe na akili tofauti wasije wote wakawa vilaza ila dhambi kichizi😂😂😂Umesema mama zetu walivumilia zama za ujinga hizo sio sikuhizi unavumilia na ngoma huo mfano wako ni irrelevant mie kabila langu wanawake kuzaa nje mtu ni ruksa tu, Sasa mvumilie wako Tena ni huyo umemjua
Ukiolewa na ukawa na watt utamuelewa mtoa madaSi kuna maisha mengine? Kwann nibembeleze? Mapenzi yakiishaa u quit. Unabembelezaje mpumbavu. Kila mtu aijue thaman yake na basi. Ukishaona mtu ana mambo ya kijinga jinga jua ni mvulana ama msichana.
Mi nikushauri tu kiutu uzima, hawa wenzio wengi hawajaolewa humu na wachache wameachika. Ndio maana ni wepesi kukupa ushauri wa kushupaza shingo. Ndoa ni kitu complex zaidi!Hahaha dogo kua uyaone
Hahahhaha tulia na mkeo sasa ili usichanganyweTrue!, kuna kipindi mchepuko anakuchanganya hadi unatamani umsimulie mkeo.
Ubaya mwanamke akihamisha penzi anahamisha na hisia hivyo utashikwa mchana kweupe kabisa! Yale majibu ya shombo utayokuwa unamjibu na kiburi cha kuficha ficha simu na password lukuki na kauli za kuchoka kutoa tunda kila wakati ni redflag kwa wandewa kama mimi ntajua tu ushaanza kutiwa nje!Ya yeye kutokujua ndio nzuri maana unafanya huku ukiendelea kumhukumu juu ya usaliti aliofanya. Anakosa amani nyumbani.
Hizi ndio kauli za kumfikirisha msela, they are not offensive but they are tactical!Aisee ukimwambia Kua umeona na umefahamu kila kitu ila unampenda na unamhitaji bado daah katika uchawi namba moja huu ni wa kwanza, maana Jamaa atakuhandle tofauti na awali kabisa na atahitajidi mara zote kukuaminisha Kua anakupenda na ni muaminifu kwako trust me!
Hahahahah na katika hilo kundi kuna mmoja alikuwa anamgonga bila shakaMe niliwai haki simu ya mke wangu baada ya kuona mabadiliko ghafla nikakuta anachati sana na wanaume nikamuliza akaleta jeuri nikapasua simu yake nikavunja laini nikamfukuzia kwao tangu mwaka 2018 na sijamrudisha mpaka sasa na nina mtoto nae mmoja wa miaka 5.saivi nakula maisha tu apa
Sema ukiwa na mentality hii huwezi teseka na ndoa! Amini kuwa mumeo anachepuka au akipata chance atachepuka in the same manner mnaamini yesu atarudi😂Nimecheka sana mkuu. Sasa ntafanyejee ndo kufa na kuzikana tenaa. Kwa ushahudi wa wanaume humu hakuna asiechepuka au tuseme wengi ni wahanga
Wanaume shaitwan anatupitia. Muwe wapoleHalooo, unamwonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Hahahahah halafu mumeo unaendelea kumhudumia kama kawaida au ndio unaanza “hebu niache bana”...”huoni mtu amechoka au”...”Ntakupa asubuhi”...”Nikilala staki usumbufu” 😂😂😂 wanawake kmnnr kabisa! Hapo kidume unajua kabisa kuna mtu anachezea utelezi wa mkeo.Lazima nyumba iwake moto atambue ana mke. Nawasha moto mpaka nguvu zake za kiume zipungue ndio nauzima halafu na mimi natafuta miongoni mwa wale wanaonipendaga ila nawakataliaga kwa sababu naheshimu ndoa namkubalia mmoja. Hapo nyumbani amani ni shwariii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duhKanuni yangu ni ile ile.
Akichepuka mapenzi yameisha. Na kumwacha wala simwachi ila ni zamu yangu na mimi kutafuta kakijana kawe kananiponza machungu. Wote tuna haki ya kubadilisha ladha.
Usinisahau na mimi jamani😅 katika kombania hio hakuna penz tamu kama la demu anaemkomesha bwana wake, huwa wanakupa yote yotee!Akizingua, hata wewe nitakupa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]