Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Halooo, unamuonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
ndo mana hii nafasi hujaipata na hutoipata
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Daaaah kweli mumeo kapata mke hongera sanaaa mama
 
Hujaoa - nyamaza tu. Umeoa na mkeo hajawahi kucheat-nyamaza. Umeoa na ulishamfuma mkeo kacheat, karibu tuwape vijana uzoefu!

nilimkamata wangu nikaprove kwake na aliyekuwa anamgida nikampa adhabu aliyochagua mbele ya mke wangu. Mke wangu bado ninaye ila kidonda bado kipo moyoni. Sababu za kutomwacha:
1. Nami nilikuwa mchepukaji na alinieleza alikuwa analipa kisasi,
2. Aliomba msamaha;
3. Umri
4. Kutokana na namba 4 hapo juu, niliogopa kuanza maisha mapya na mwanamke mwingine
Pole ndo mjue kuwa mnavofanyia wanawake nao huwa Wana pain na Bora mkeo alikulipiza asingekulipiza isingekuwa na ndoa, nyie wanaume huwa mnatafta sababu za kuumiza wake zenu. Mimi mwanamume Malaya nitamvumilia ka na Mimi ni muhuni ila nikiwa nimetulia anarudia daily hyo tabia loh asubuhi shadai talaka mapema mno.
 
Hivi ndio wanawake munatakiwa kuji behave ikiwa kuna kiu kama hicho,kujifanya wewe ni zaidi au unataka uwe pekee yako haiwezekani.Mume hata ukimsitisha hapa kwa huyu mchepuko atatulia baada ya mwezi atatafuta mwngine tu na huyo itakuwa siri nzito kwako .
nb:Hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja labda awe na ugonjwa
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Aisee
 
Halooo, unamuonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Dah....yaani kidogo kidogo naanza kuelewa maneno ya kiingereza ..... Wife material
 
Bahati yako umeolewa...

Yani una bahati sana ni mke wa Mtu...

La sivyo tungesumbuana sana PM huko...
 
Shida ni kwamba wanawake type yako wanapatikana GOOGLE tu

ukija in real life huku kwenye maisha yenyewe ya mahusiano na ndoa

kumpata wa aina yako nadhani tusubiri Kontena jipya ataloliumba Mungu ktk dunia ijayo...
 
Pole ndo mjue kuwa mnavofanyia wanawake nao huwa Wana pain na Bora mkeo alikulipiza asingekulipiza isingekuwa na ndoa, nyie wanaume huwa mnatafta sababu za kuumiza wake zenu. Mimi mwanamume Malaya nitamvumilia ka na Mimi ni muhuni ila nikiwa nimetulia anarudia daily hyo tabia loh asubuhi shadai talaka mapema mno.
Shida ni kurudia rudia kosa. Kama ni kosa la kwanza acheni tu nimsamehe husband. Kwanza nilishamsamehe tulishayamaliza
 
Shida ni kurudia rudia kosa. Kama ni kosa la kwanza acheni tu nimsamehe husband. Kwanza nilishamsamehe tulishayamaliza
Shida sio kumsamehe watu twaweza ishi tu na hata tusiye mpenda kusogeza siku, shida huwa ukivunja trust ni shughuli kuirudisha kabisa.
Ndio maana Bora afanyaye uchafu wote kwa Siri kubwa bila kujulikana wallah
 
Pole ndo mjue kuwa mnavofanyia wanawake nao huwa Wana pain na Bora mkeo alikulipiza asingekulipiza isingekuwa na ndoa, nyie wanaume huwa mnatafta sababu za kuumiza wake zenu. Mimi mwanamume Malaya nitamvumilia ka na Mimi ni muhuni ila nikiwa nimetulia anarudia daily hyo tabia loh asubuhi shadai talaka mapema mno.
Utaachana na wangapi? Kumbuka hujaoa au kuolewa na kinyago au kaka/dada yako ambaye mmezaliwa wote na kujuana tabia tangu utotoni. Hii dhana ya talaka nayo ni balaa maana kama ndani ya fikra zako kuna talaka hakuna haja ya kuolewa/kuoa
 
Utaachana na wangapi? Kumbuka hujaoa au kuolewa na kinyago au kaka/dada yako ambaye mmezaliwa wote na kujuana tabia tangu utotoni. Hii dhana ya talaka nayo ni balaa maana kama ndani ya fikra zako kuna talaka hakuna haja ya kuolewa/kuoa
Yani Mimi nikichefukwa nafanya maamuzi magumu Tena nikishakuwa na watoto ndo haswa hamu na mtu mhuni inakufa kabisa, Mimi siwezi unafiki kitu kikinichefua to the maximum nafanya maamuzi na sirudii nyuma, tunaolewa tuzae Sasa nimezaa mzima kwanini mtu akwaze roho yangu woooi.
 
Yani Mimi nikichefukwa nafanya maamuzi magumu Tena nikishakuwa na watoto ndo haswa hamu na mtu mhuni inakufa kabisa, Mimi siwezi unafiki kitu kikinichefua to the maximum nafanya maamuzi na sirudii nyuma, tunaolewa tuzae Sasa nimezaa mzima kwanini mtu akwaze roho yangu woooi.
Msimamo wa mtu hutegemea wakati, umri na mazingira yanayomzunguka kwa wakati huo. Huo mtizamo wako Upo Sawa leo lakini utakuwa tofauti miaka 30 ijayo; amini nakuaeleza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom