sonnita
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 1,787
- 1,918
Exactly.. he made t seem like a favor kumuoa. Sio kwamba wote wanahitajiana.Ningekuwa Mimi ningekwambia niache ukaoe hao wajinga, na ningekupa kichambo kuwa hunitishi nakutana na wanaume pia tofauti tofauti, marriage sio favor aisee
Wanaume sometimes muwe mnafikiria the other side of a shilling kabla ya kufanya vimbwanga ka ivo.
M sure somehow ame-damage feelings za mkewe.