Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
"mbugani" Umenikumbusha mbali sana.Kupita "mbugani" haijaharibu mfungo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"mbugani" Umenikumbusha mbali sana.Kupita "mbugani" haijaharibu mfungo?
Wapi huko mzee babaUmenikumbusha mbali sana.
UNGEMWAMBIA SIIJUI MIMISwaumu mjini ni mtihani sana, nimetulia kituoni huku kimvua kikinyunyuza nasubiri daladala, mara kashuka demu wa kiwango cha SGR akanisogelea akanisabahi nikamwitikia, akaniuliza " eti samahani kaka flamingo lodge ipo wapi" kiunyonge nikamwoneshea kwa kidole...😰😰😰
KimeumanaJamaa ana makosa yake ila pia wanawake mnaomshambulia huku nanyi mkiwachukulia wale wa barabarani kama sio wanawake wenzenu mna tatizo, kifupi mnajipa Value ambayo inawezekana hamna pia.
Kujiuza hata ambao hawajipangi barabarani mnajiuza tena nyie kiunafiki, kwa shida hzo hizo na wengine wa bei rahis na bila kinga kabsa, bora hao wana ujasiri na principles..
While approach ya mleta mada ina kasoro, point tangu kwenu ni kuwa hao mnaoona malaya, wanaume wanaweza kuona vitu unique kwao na kuwaoa pia, mifano ipo mingi tu.
In short mkewe ana shida, sio kisa ni mama wa nyumban, atakuwa anashida ambayo mleta mada hajataka kuitaja jukwaani kwa kumheshimu mkewe ila alitaka kumwonesha kuwa asijione wa kipekee sana bahati mbaya ndo katumia approach mbaya.
😂 kuwaoa ni kuwaonea huruma ndio mana ukiolewa wazazi wako watakushukuru kwa kuwaheshimisha,Binafsi tungeachana jana jana baada ya kufanya hivyo. Umefanya as if kumuoa ni kumuonea huruma au kitu kama hicho.
Watoe wazazi wangu kwanza kwenye hili tupate cha kujadili.😂 kuwaoa ni kuwaonea huruma ndio mana ukiolewa wazazi wako watakushukuru kwa kuwaheshimisha,