Nimemuonesha mke wangu wanawake wanaojiuza ili ajue thamani yake

Nimemuonesha mke wangu wanawake wanaojiuza ili ajue thamani yake

Mkuu we we ni muongo hakuna ndoa muishi miaka mitano chini ya jua eti hamjawahi kukwaruzana huo ni uongo...tena mtakatifu uliza hii kitu kwa wanandoa humu ndani....lazima kuna vimigogoro vya hapa na pale kuichangamsha ndoa kama hakuna kabisa basi mna matatizo.
 
Mkuu we we ni muongo hakuna ndoa muishi miaka mitano chini ya jua eti hamjawahi kukwaruzana huo ni uongo...tena mtakatifu uliza hii kitu kwa wanandoa humu ndani....lazima kuna vimigogoro vya hapa na pale kuichangamsha ndoa kama hakuna kabisa basi mna matatizo.
usizani kila mtu anaishi kwenye maisha kama yako bro kama wew kila siku unagombana na mwenzio sio sisi
 
Mleta uzi Kama namuona alivyobunda mdomoni futari ya magimbi,sio kwa majibu haya yawanajamvi.Vumilia mkuu .
 
usizani kila mtu anaishi kwenye maisha kama yako bro kama wew kila siku unagombana na mwenzio si
usizani kila mtu anaishi kwenye maisha kama yako bro kama wew kila siku unagombana na mwenzio sio sisi
Hata Mimi sigombani kila siku na migogoro ni ya kawaida sana...basi mtakuwa at early stage za ndoa kama hakuna makwazo hamkwazani au kukorofishana kidogo....usiongee kama hujaingia ndani ya ndoa na uwe ndani at least 3 to ten hivi hao wengi wanajua matured wengi wanaanzia 10yrs kawaulize
 
Bila ela hayo ni ubatili utupu
Afu why utake kumrusha roho mtu?
Nakuhakikishia huyo mkeo kakuhifadhi rohoni siku isiyo na jina utajua hujui
 
Mkeo atakuwa darasa la nne la Kikwete. Unampa shule kwa vitendo vilivyojaa dharau ya kutosha ndani yake na bado anachekelea. Ni kana kwamba ndoa lilikuwa hitaji lake—kakulazimisha kumuoa.
Ujinga ndo unafanya wanaume wengi wakimbilie kuoa wenye elimu na maarifa kidogo, iwe rahisi kuwapanda kichwani.
Wanawake nao mtaendelea kudhalilishwa ikiwa mtaendelea kuwa magolikipa na ujinga mwingi ndani yenu.
Good thing ni kuwa ukiwa mjinga ukidhalilisha na kudhalilishwa utaona kawaida tu. Ndo maana mleta mada bado kapata nafasi ya kuleta ujumbe wa kumsimanga mkewe bila yeye kujua hilo.
 
Umeangalia muvi ukaitungia uzi[emoji3][emoji3]
Vijana mna taabu.
 
Kweli mkuu .
Wakishaingia kwenye ndoa wengi wwanajisahahu nakuona kuwa wao ndo wame win na wengine wame loss.
Ukweli ni kwamba wengi wana hitaji kutambua kuwa tumewachagua wao na sio wengine kwani tuliona kuwa wao ndo muhimu na watakaoweza kujenga familia nao na sio hao wengine
WELL SAID
 
Siku naye akupitishe club akuambie unawaona hao wahuni nikitaka tu anawapa... lakini anawanyima anakupa wewe tu mumewake... hii itaitwa ngoma Droo
 
Wakolosai 3:17

"Nanyi wanaume wapendeni wake zenu Ila msiwe na uchungu nao"
 
Kupendwa wanapendwa wengi ila wanaishia kugegedwa tu bila ndoa! Hivyo ukimuona mtu kajitwisha zigo usimletee ya kuleta! Muheshimu I see, ohoooh[emoji12]!
Angefanya hivyo kama mke alizingua.. sasa kakiri mwenyewe hajamkosea wala hawakua na ugomvi mkubwa, kaamua tuu kumuharibia siku kumpeleka kwa malaya na kumwambia hzo shombo..
Acheni hizo men wenye hii mentality.. mnajionaga wa maana sana kuliko wake zenu ndomana hata ndoa automatically zinakua ngumu.
Why?? Eti ukimuona kajitwishwa zigo usimletee ya kuleta. This is so wrong on so many levels.

Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
 
Kweli ndoa ni favour tu tunawafanyia ndio maana mnaitaka sana kuliko sisi
Usioe kama unaona unafanya favor.
Sio kila mtu kaandikiwa ndoa. Watu kama nyie ndo mnafanya wengine waone ndoa ni kaa la moto, kumbe mliingia for wrong reasons..


Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
 
Habari,
kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa.

Kwa upande wangu,nmeoa mwanamke mzuri i mean kwenye kila sekta tabia sura na hata matendo na tupo kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa lakini hatukuwahi kugombana wala kufanyiana mambo ya ajabu.

Kutokana na thread nyingi zilizokuwa zinakuja humu JF jana nikaamua kufanya yafuatayo.

Kwenye saa 7 mchana nikampigia simu mke wangu kuwa leo asipike ftari badala yake tutaenda kula ftari hotelini alifurahi sababu huwa namfanyia mara nyingi out za kula.

Kwenye saa 11 nikampitia na kumpeleka sehemu tukapata ftari then kuna sehemu tukapitia mpaka mida ya saa 6 usiku tukiwa njiani kurudi akiwa na furaha kama kawaida yake.

Nikapita na gari mpaka Sinza X ni mitaa ambayo huwa mida hiyo kuna malaya wa kila aina tena mpaka wa elf 10, nikapaki gari kati kati yao then nikafungua vioo vyote,walivyoona gari wakaizunguka na kuanza kutaja offer yao tena mbele ya wife.

Mke wangu akabakia tu kustaajabu,mie nkaondoa gari mpaka Shekilango nikapaki gari then nikamwambia kuwa wale unaowaona pale kuna wengine ni wazuri tena kushinda wewe lakini biashara wanayoifanya mwanaume anaweza kuwa na elf 20 akamlala na hata mimi kwa kipato changu naweza kubadilisha kila siku ndani ya mwaka mzima lakini nimewaaacha wote na kuja kukuoa wewe na kukuweka ndani kama mke wangu.

Aliniangalia tu huku akitabasamu na kunikumbatia na kunambia nakupenda mme wangu na mengine yakaendelea.

Lengo la kuleta uzi huu ni kuwakumbusha wanaume au wanawake ambao wapo ndani ya ndoa kujitahidi kuonyesha kwa waume au wake zao thamani waliyonayo kwao mpaka wakachukua jukumu zito la kuacha wote na kuja kukubali kuishi nawe milele ukimuwin kwa hilo mwenzio hakika ndoa utaiona tamu

Ramadhani Kareem
 

Attachments

  • VID-20210421-WA0119.mp4
    9.4 MB
Angefanya hivyo kama mke alizingua.. sasa kakiri mwenyewe hajamkosea wala hawakua na ugomvi mkubwa, kaamua tuu kumuharibia siku kumpeleka kwa malaya na kumwambia hzo shombo..
Acheni hizo men wenye hii mentality.. mnajionaga wa maana sana kuliko wake zenu ndomana hata ndoa automatically zinakua ngumu.
Why?? Eti ukimuona kajitwishwa zigo usimletee ya kuleta. This is so wrong on so many levels.

Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
Pole sonnita inaonekana imekugusa kumoyo hii😜! Usijali, huyo aliyefanya hivyo ni utoto tu, akikua ataacha😜! Wavulana bana wanatuaibisha sana wanaume🤔!
 
Heheyehehe.
No son of woman will do me such a stupid thing namwacha salama.
Wewe na mkeo wote zamwamwa.
 
Angefanya hivyo kama mke alizingua.. sasa kakiri mwenyewe hajamkosea wala hawakua na ugomvi mkubwa, kaamua tuu kumuharibia siku kumpeleka kwa malaya na kumwambia hzo shombo..
Acheni hizo men wenye hii mentality.. mnajionaga wa maana sana kuliko wake zenu ndomana hata ndoa automatically zinakua ngumu.
Why?? Eti ukimuona kajitwishwa zigo usimletee ya kuleta. This is so wrong on so many levels.

Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
Yaniiiiii upuuzi sana.
Heeey mo sijui kile kitu ningefanya aiseeeh.
 
Back
Top Bottom