Nimemuonesha mke wangu wanawake wanaojiuza ili ajue thamani yake

Nimemuonesha mke wangu wanawake wanaojiuza ili ajue thamani yake

Daah mkuu una jiamini vipi kupitia huko maana wengine tungeibua maswali kama

Umepajuaje hapa ?

Hizo bei umezijuaje ?

Hii hadithi itakuwa
 
Jamaa ana makosa yake ila pia wanawake mnaomshambulia huku nanyi mkiwachukulia wale wa barabarani kama sio wanawake wenzenu mna tatizo, kifupi mnajipa Value ambayo inawezekana hamna pia.

Kujiuza hata ambao hawajipangi barabarani mnajiuza tena nyie kiunafiki, kwa shida hzo hizo na wengine wa bei rahis na bila kinga kabsa, bora hao wana ujasiri na principles..

While approach ya mleta mada ina kasoro, point tangu kwenu ni kuwa hao mnaoona malaya, wanaume wanaweza kuona vitu unique kwao na kuwaoa pia, mifano ipo mingi tu.

In short mkewe ana shida, sio kisa ni mama wa nyumban, atakuwa anashida ambayo mleta mada hajataka kuitaja jukwaani kwa kumheshimu mkewe ila alitaka kumwonesha kuwa asijione wa kipekee sana bahati mbaya ndo katumia approach mbaya.
 
Wakati mwingine najiuliza maana ya ramadhani, swaum ni nini? Chakula cha hotelini, au mahanjumat yanayotayarishwa kwa futari na daku, sioni kama kuna kujinyima au kutubia lolote.
 
Mke wako ana thamani ya k tu kwako??
Aisee nimecheka! Imagine mmeo anakwambia ningeweza kuwa na malaya kila siku Ila nikaamua kukuoa wewe (na anategemea umshukuru Kwa hilo) . Khaaaa! Yaani ntamuona mwanamme fala Kweli na nimekosea kuolewa nae. Nonsense!
 
Wanawake wengi wanaamini kuolewa ni favour
Exactly.. he made t seem like a favor kumuoa. Sio kwamba wote wanahitajiana.
Wanaume sometimes muwe mnafikiria the other side of a shilling kabla ya kufanya vimbwanga ka ivo.
M sure somehow ame-damage feelings za mkewe.
 
Na yeye siku moja akupitishe kwenye kundi la wanaume ma handsome, yenye six pack na mipunga ya kutosha, marefu kama mimi na akupe ujumbe mzito

"Jerry, unawaona hawa, kila siku natongozwa na wanaume 10 kama hawa, wenye uchumi mzito kuliko wako, wana mapenzi ya dhati, wanajua kujali na wanahudumia familia bila kulalamika, ila nimewakataa nimebaki na wewe. TULIA NA MIMI"

Halafu tuone kama utafurahi na kumkumbatia.

Umemuumiza mwenzio kisaikolojia paka wewe
 
Aisee nimecheka! Imagine mmeo anakwambia ningeweza kuwa na malaya kila siku Ila nikaamua kukuoa wewe (na anategemea umshukuru Kwa hilo) . Khaaaa! Yaani ntamuona mwanamme fala Kweli na nimekosea kuolewa nae. Nonsense!
Pale ambapo security yako kwenye ndoa Ni k tu lazima haya yatokee.hana kingine cha kuoffer kwenye huyo mke zaidi ya nyapu tu ndo maana akaona anaishi kwa huruma ya bwana wake.
 
Pole sonnita inaonekana imekugusa kumoyo hii[emoji12]! Usijali, huyo aliyefanya hivyo ni utoto tu, akikua ataacha[emoji12]! Wavulana bana wanatuaibisha sana wanaume[emoji848]!
Acha tuu, imenigusa kweli kavile me ndo mkewe.
Things will never be the same between them, mwanamke atakua anamnafikia tuu bas siku ziende, ila moyoni kashaharibu.

Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
 
Exactly.. he made t seem like a favor kumuoa. Sio kwamba wote wanahitajiana.
Wanaume sometimes muwe mnafikiria the other side of a shilling kabla ya kufanya vimbwanga ka ivo.
M sure somehow ame-damage feelings za mkewe.
Vivulana ndo huwa vinafanya hivyo. Real men hawana muda huo ni matendo tu pale wanapozinguliwa
 
Mi nasemaje Shekhe...

We endelea kunywa mtori nyama utazikuta chini..mwanamke hatishwi/hapagawishwi/hatuliziki...kwa style kama hiyo uliyomtendea

Kazi iendelee.
 
Unless ni "stay-home-wife", otherwise mwanamke wa kisasa huwezi kumtisha kwa hilo.
 
Usioe kama unaona unafanya favor.
Sio kila mtu kaandikiwa ndoa. Watu kama nyie ndo mnafanya wengine waone ndoa ni kaa la moto, kumbe mliingia for wrong reasons..


Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
Umeongea point na nimekuelewa siwezi fanya hivyo nilichoongea na nilivyo vitu viwili tofauti japo huu ndio ukweli mnazitaka sana ndoa kuliko sisi kwetu ndoa si big deal
 
Back
Top Bottom