Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu nzuri..na na kipimo cha kujali..mwanamke asiye na wivu ana walakini..we wivu huna?Kwahiyo mkuu unapenda wenye wivu? Why?
I think wewe ndo mjinga mwenye akili kuliko wote(no offence meant).Marrying some one is not a favor.He should know that.Ningekuwa Mimi ningekwambia niache ukaoe hao wajinga, na ningekupa kichambo kuwa hunitishi nakutana na wanaume pia tofauti tofauti, marriage sio favor aisee
Wanamfahamu Mkeo au walijua unatafuta wa three some.BY the way hio sio namna ya kuthibitisha kwamba unampenda mkeo.Umepotea sana.Kama hukumtoa bikra wewe then she is just a retire hoe.So learn to respect women.We need them as hoes and as wives.After all.Labda siyo wa sinza XX
[emoji4][emoji4]NIMECHEKA
Unaonaje tukimtafuna mkeo ili ujue kuwa wewe si chochote kwake?
Acha tuu hichi kipindi huwa na mitihani.ata ela utaona unazipata sana ila ndo huwez kufanyia ujinga uliouzoeaSwaumu mjini ni mtihani sana, nimetulia kituoni huku kimvua kikinyunyuza nasubiri daladala, mara kashuka demu wa kiwango cha SGR akanisogelea akanisabahi nikamwitikia, akaniuliza " eti samahani kaka flamingo lodge ipo wapi" kiunyonge nikamwoneshea kwa kidole...😰😰😰
Shemela, dunia nzima hii ni 'MBUGA' kila pahala...Kupita "mbugani" haijaharibu mfungo?
Habari,
kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa.
Kwa upande wangu,nmeoa mwanamke mzuri i mean kwenye kila sekta tabia sura na hata matendo na tupo kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa lakini hatukuwahi kugombana wala kufanyiana mambo ya ajabu.
Kutokana na thread nyingi zilizokuwa zinakuja humu JF jana nikaamua kufanya yafuatayo.
Kwenye saa 7 mchana nikampigia simu mke wangu kuwa leo asipike ftari badala yake tutaenda kula ftari hotelini alifurahi sababu huwa namfanyia mara nyingi out za kula.
Kwenye saa 11 nikampitia na kumpeleka sehemu tukapata ftari then kuna sehemu tukapitia mpaka mida ya saa 6 usiku tukiwa njiani kurudi akiwa na furaha kama kawaida yake.
Nikapita na gari mpaka Sinza X ni mitaa ambayo huwa mida hiyo kuna malaya wa kila aina tena mpaka wa elf 10, nikapaki gari kati kati yao then nikafungua vioo vyote,walivyoona gari wakaizunguka na kuanza kutaja offer yao tena mbele ya wife.
Mke wangu akabakia tu kustaajabu,mie nkaondoa gari mpaka Shekilango nikapaki gari then nikamwambia kuwa wale unaowaona pale kuna wengine ni wazuri tena kushinda wewe lakini biashara wanayoifanya mwanaume anaweza kuwa na elf 20 akamlala na hata mimi kwa kipato changu naweza kubadilisha kila siku ndani ya mwaka mzima lakini nimewaaacha wote na kuja kukuoa wewe na kukuweka ndani kama mke wangu.
Aliniangalia tu huku akitabasamu na kunikumbatia na kunambia nakupenda mme wangu na mengine yakaendelea.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwakumbusha wanaume au wanawake ambao wapo ndani ya ndoa kujitahidi kuonyesha kwa waume au wake zao thamani waliyonayo kwao mpaka wakachukua jukumu zito la kuacha wote na kuja kukubali kuishi nawe milele ukimuwin kwa hilo mwenzio hakika ndoa utaiona tamu
Ramadhani Kareem
Mke wako ana thamani ya k tu kwako??
Sawa, ila hiyo ni specific na kadhamiria kabisa kwenda mbugani, na akifika kule lazma kuna kuoneshwa ubora wa mbochi watamfunulia ashike ashike kidogo shemela....Shemela, dunia nzima hii ni 'MBUGA' kila pahala...
Shemela, alikuwa anaimarisha ndoa...Sawa, ila hiyo ni specific na kadhamiria kabisa kwenda mbugani, na akifika kule lazma kuna kuoneshwa ubora wa mbochi atafanuliwa ashike ashike kidogo shemela....