Nimemuonesha mke wangu wanawake wanaojiuza ili ajue thamani yake

Nimemuonesha mke wangu wanawake wanaojiuza ili ajue thamani yake

KWA HIYO NDIO KUSEMA UKAPAKI GARI MWENYEWE?Herufi kubwa ni msisitizo wa GARI tu wala hakuna ubaya
 
Ningekuwa Mimi ningekwambia niache ukaoe hao wajinga, na ningekupa kichambo kuwa hunitishi nakutana na wanaume pia tofauti tofauti, marriage sio favor aisee

Tena ungempeleka uwanja wa mpira kabisa ukamwambia unawaona wote hao [emoji23][emoji23]
 
Kwakwel, kiaina kavile amemtishia, ukizingatia hawajawah kua na ugomvi mkubwa wowote..
Binafsi ningepotezea pale ila moyoni ningekua najiuliza uyu kwani imekuaje mpaka kukumbushwa?
Feels almost like a favor kumuoa akati kampenda mwenyewe..
Kweli ndoa ni favour tu tunawafanyia ndio maana mnaitaka sana kuliko sisi
 
Habari,
kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa.

Kwa upande wangu,nmeoa mwanamke mzuri i mean kwenye kila sekta tabia sura na hata matendo na tupo kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa lakini hatukuwahi kugombana wala kufanyiana mambo ya ajabu.

Kutokana na thread nyingi zilizokuwa zinakuja humu JF jana nikaamua kufanya yafuatayo.

Kwenye saa 7 mchana nikampigia simu mke wangu kuwa leo asipike ftari badala yake tutaenda kula ftari hotelini alifurahi sababu huwa namfanyia mara nyingi out za kula.

Kwenye saa 11 nikampitia na kumpeleka sehemu tukapata ftari then kuna sehemu tukapitia mpaka mida ya saa 6 usiku tukiwa njiani kurudi akiwa na furaha kama kawaida yake.

Nikapita na gari mpaka Sinza X ni mitaa ambayo huwa mida hiyo kuna malaya wa kila aina tena mpaka wa elf 10, nikapaki gari kati kati yao then nikafungua vioo vyote,walivyoona gari wakaizunguka na kuanza kutaja offer yao tena mbele ya wife.

Mke wangu akabakia tu kustaajabu,mie nkaondoa gari mpaka Shekilango nikapaki gari then nikamwambia kuwa wale unaowaona pale kuna wengine ni wazuri tena kushinda wewe lakini biashara wanayoifanya mwanaume anaweza kuwa na elf 20 akamlala na hata mimi kwa kipato changu naweza kubadilisha kila siku ndani ya mwaka mzima lakini nimewaaacha wote na kuja kukuoa wewe na kukuweka ndani kama mke wangu.

Aliniangalia tu huku akitabasamu na kunikumbatia na kunambia nakupenda mme wangu na mengine yakaendelea.

Lengo la kuleta uzi huu ni kuwakumbusha wanaume au wanawake ambao wapo ndani ya ndoa kujitahidi kuonyesha kwa waume au wake zao thamani waliyonayo kwao mpaka wakachukua jukumu zito la kuacha wote na kuja kukubali kuishi nawe milele ukimuwin kwa hilo mwenzio hakika ndoa utaiona tamu

Ramadhani Kareem
Mbona haiendani na matendo ya mtu aliyefuturu
 
Kiukweli mimi hata nisingependa unitishe hivo , ni kama unamaanisha katika malaya wote ukaamua kumchagua yeye🤔 kama anakupenda anakupenda tu bila hata vitisho bana.

Vipi how would you feel siku naye akikupeleka sehemu uone anavong'ang'aniwa na wanaume wenzako wengine?
 
Kiukweli mimi hata nisingependa unitishe hivo , ni kama unamaanisha katika malaya wote ukaamua kumchagua yeye[emoji848] kama anakupenda anakupenda tu bila hata vitisho bana.

Vipi how would you feel siku naye akikupeleka sehemu uone anavong'ang'aniwa na wanaume wenzako wengine?
Ajielewi eti atakuja juta kwa hili alilolifanya kumuonesha mke makahaba
 
How daft.

Ulikosa wanawake wenye hadhi zao na status za maana ukaenda kumringishia kwa wanawake wanaojiuza Ili kujisustain?

It's clear you did not deserve your wife. She is too good for you.
 
Kiukweli nimeshangaa sana, na huyo mkewe hajiulizi mbona vichochoro vya wanaojiuza mumewe anavijua na bei zao? mweeeeehhhhhh
Amtoe mke wake dinner, wamefurahi pamoja halafu ampitishe mitaa ya hivyo?

I hope mke wake ampige bonge la tukio ***** mpaka akili zimkae Sawa.
 
Yaani sijui hata alifikiria nini ila mimi tusingeelewana kabisa,ningefikiri kama ameweza kwenda na mimi ,naamini hata akiwa peke yake huwa anaenda na anafanya kweli aisee🤔
Mimi aisee ningeona amenidhalilisha. Being a good woman, beautiful in all aspects and self respectful it's not fair at all.
 
Mimi aisee ningeona amenidhalilisha. Being a good woman, beautiful in all aspects and self respectful it's not fair at all.
Indeed isn't good ,eti akaishia kukumbatiwa aah mimi ningemnunia hadi aombe msamaha. Na hii stori sidhani kama ni ya ukweli, kiuhalisia naona mtu hawezi kufanya hivo sijui labda🤷‍♂️
 
Indeed isn't good ,eti akaishia kukumbatiwa aah mimi ningemnunia hadi aombe msamaha. Na hii stori sidhani kama ni ya ukweli, kiuhalisia naona mtu hawezi kufanya hivo sijui labda🤷‍♂️
Wapo wanaume wasiojielewa
 
Back
Top Bottom