Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
Heeeeh, kwani alikuwa anafanya biashara gani I see😜!Hata yeye kaacha wenye hela za maana, na kakubali kuwa na we.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeeeh, kwani alikuwa anafanya biashara gani I see😜!Hata yeye kaacha wenye hela za maana, na kakubali kuwa na we.
salamaleko sheikhKwenye saa 11 nikampitia na kumpeleka sehemu tukapata ftari
Ningekuwa Mimi ningekwambia niache ukaoe hao wajinga, na ningekupa kichambo kuwa hunitishi nakutana na wanaume pia tofauti tofauti, marriage sio favor aisee
Labda wanamjua mmojawapo kati ya mke au mme...Mkuu wale Malaya wakionaga una Mwanamke mwengine kwenye Gari huwa hawataji bei, wanaishia kukutukana tu.
Kweli ndoa ni favour tu tunawafanyia ndio maana mnaitaka sana kuliko sisiKwakwel, kiaina kavile amemtishia, ukizingatia hawajawah kua na ugomvi mkubwa wowote..
Binafsi ningepotezea pale ila moyoni ningekua najiuliza uyu kwani imekuaje mpaka kukumbushwa?
Feels almost like a favor kumuoa akati kampenda mwenyewe..
Mbona haiendani na matendo ya mtu aliyefuturuHabari,
kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa.
Kwa upande wangu,nmeoa mwanamke mzuri i mean kwenye kila sekta tabia sura na hata matendo na tupo kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa lakini hatukuwahi kugombana wala kufanyiana mambo ya ajabu.
Kutokana na thread nyingi zilizokuwa zinakuja humu JF jana nikaamua kufanya yafuatayo.
Kwenye saa 7 mchana nikampigia simu mke wangu kuwa leo asipike ftari badala yake tutaenda kula ftari hotelini alifurahi sababu huwa namfanyia mara nyingi out za kula.
Kwenye saa 11 nikampitia na kumpeleka sehemu tukapata ftari then kuna sehemu tukapitia mpaka mida ya saa 6 usiku tukiwa njiani kurudi akiwa na furaha kama kawaida yake.
Nikapita na gari mpaka Sinza X ni mitaa ambayo huwa mida hiyo kuna malaya wa kila aina tena mpaka wa elf 10, nikapaki gari kati kati yao then nikafungua vioo vyote,walivyoona gari wakaizunguka na kuanza kutaja offer yao tena mbele ya wife.
Mke wangu akabakia tu kustaajabu,mie nkaondoa gari mpaka Shekilango nikapaki gari then nikamwambia kuwa wale unaowaona pale kuna wengine ni wazuri tena kushinda wewe lakini biashara wanayoifanya mwanaume anaweza kuwa na elf 20 akamlala na hata mimi kwa kipato changu naweza kubadilisha kila siku ndani ya mwaka mzima lakini nimewaaacha wote na kuja kukuoa wewe na kukuweka ndani kama mke wangu.
Aliniangalia tu huku akitabasamu na kunikumbatia na kunambia nakupenda mme wangu na mengine yakaendelea.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwakumbusha wanaume au wanawake ambao wapo ndani ya ndoa kujitahidi kuonyesha kwa waume au wake zao thamani waliyonayo kwao mpaka wakachukua jukumu zito la kuacha wote na kuja kukubali kuishi nawe milele ukimuwin kwa hilo mwenzio hakika ndoa utaiona tamu
Ramadhani Kareem
Ah...wapiii waoaji wenyewe wako wapi? Hao waoaji wa kawaida tu kuwapata mtihani unaongelea wenye vipato vyao?Hata yeye kaacha wenye hela za maana, na kakubali kuwa na we.
Sawa MwalimuMkuu wale Malaya wakionaga una Mwanamke mwengine kwenye Gari huwa hawataji bei, wanaishia kukutukana tu.
Ajielewi eti atakuja juta kwa hili alilolifanya kumuonesha mke makahabaKiukweli mimi hata nisingependa unitishe hivo , ni kama unamaanisha katika malaya wote ukaamua kumchagua yeye[emoji848] kama anakupenda anakupenda tu bila hata vitisho bana.
Vipi how would you feel siku naye akikupeleka sehemu uone anavong'ang'aniwa na wanaume wenzako wengine?
Yaani sijui hata alifikiria nini ila mimi tusingeelewana kabisa,ningefikiri kama ameweza kwenda na mimi ,naamini hata akiwa peke yake huwa anaenda na anafanya kweli aisee🤔Ajielewi eti atakuja juta kwa hili alilolifanya kumuonesha mke makahaba
Amtoe mke wake dinner, wamefurahi pamoja halafu ampitishe mitaa ya hivyo?Kiukweli nimeshangaa sana, na huyo mkewe hajiulizi mbona vichochoro vya wanaojiuza mumewe anavijua na bei zao? mweeeeehhhhhh
Mimi aisee ningeona amenidhalilisha. Being a good woman, beautiful in all aspects and self respectful it's not fair at all.Yaani sijui hata alifikiria nini ila mimi tusingeelewana kabisa,ningefikiri kama ameweza kwenda na mimi ,naamini hata akiwa peke yake huwa anaenda na anafanya kweli aisee🤔
Indeed isn't good ,eti akaishia kukumbatiwa aah mimi ningemnunia hadi aombe msamaha. Na hii stori sidhani kama ni ya ukweli, kiuhalisia naona mtu hawezi kufanya hivo sijui labda🤷♂️Mimi aisee ningeona amenidhalilisha. Being a good woman, beautiful in all aspects and self respectful it's not fair at all.
Wapo wanaume wasiojielewaIndeed isn't good ,eti akaishia kukumbatiwa aah mimi ningemnunia hadi aombe msamaha. Na hii stori sidhani kama ni ya ukweli, kiuhalisia naona mtu hawezi kufanya hivo sijui labda🤷♂️
Kama hadi wewe umehamaki kweli jamaa alizidisha kipimoMweeeh! Mweeeh! Mweeeh! Kazi kweli kweli!