🤣 🤣 🤣 🤣 kweli mkuu, kajisemea Mboto. Swaumu mjini inataka moyo, majaribu kila kona. Wkati kijijini unakutana na ndezi tu na ngedereSwaumu mjini ni mtihani sana, nimetulia kituoni huku kimvua kikinyunyuza nasubiri daladala, mara kashuka demu wa kiwango cha SGR akanisogelea akanisabahi nikamwitikia, akaniuliza " eti samahani kaka flamingo lodge ipo wapi" kiunyonge nikamwoneshea kwa kidole...😰😰😰
Nadhani nyuzi za MMU zilimchanganya! Ukifuatilia sana mambo ya MMU unaweza kukosa amani na ndoa yako unajikuta unafanya mambo ya ajabu!Ila huyu nae sio, kwamba unamchukua mke moja mbili moja mbili hadi kwa wauza kyumaa kumwambia hayo?!!!🙄
Hijakaa vizuri
Kabisa na Mimi Kuna sehem nimeshawahi isoma cjui ni humu au wapi vile....Hii story ni ya kutunga flani
Hii habari alishawahi kuniambia makofia mwaka 2007 julisha kama wewe ni makofia?Habari,
kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa.
Kwa upande wangu,nmeoa mwanamke mzuri i mean kwenye kila sekta tabia sura na hata matendo na tupo kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa lakini hatukuwahi kugombana wala kufanyiana mambo ya ajabu.
Kutokana na thread nyingi zilizokuwa zinakuja humu JF jana nikaamua kufanya yafuatayo.
Kwenye saa 7 mchana nikampigia simu mke wangu kuwa leo asipike ftari badala yake tutaenda kula ftari hotelini alifurahi sababu huwa namfanyia mara nyingi out za kula.
Kwenye saa 11 nikampitia na kumpeleka sehemu tukapata ftari then kuna sehemu tukapitia mpaka mida ya saa 6 usiku tukiwa njiani kurudi akiwa na furaha kama kawaida yake.
Nikapita na gari mpaka Sinza X ni mitaa ambayo huwa mida hiyo kuna malaya wa kila aina tena mpaka wa elf 10, nikapaki gari kati kati yao then nikafungua vioo vyote,walivyoona gari wakaizunguka na kuanza kutaja offer yao tena mbele ya wife.
Mke wangu akabakia tu kustaajabu,mie nkaondoa gari mpaka Shekilango nikapaki gari then nikamwambia kuwa wale unaowaona pale kuna wengine ni wazuri tena kushinda wewe lakini biashara wanayoifanya mwanaume anaweza kuwa na elf 20 akamlala na hata mimi kwa kipato changu naweza kubadilisha kila siku ndani ya mwaka mzima lakini nimewaaacha wote na kuja kukuoa wewe na kukuweka ndani kama mke wangu.
Aliniangalia tu huku akitabasamu na kunikumbatia na kunambia nakupenda mme wangu na mengine yakaendelea.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwakumbusha wanaume au wanawake ambao wapo ndani ya ndoa kujitahidi kuonyesha kwa waume au wake zao thamani waliyonayo kwao mpaka wakachukua jukumu zito la kuacha wote na kuja kukubali kuishi nawe milele ukimuwin kwa hilo mwenzio hakika ndoa utaiona tamu
Ramadhani Kareem
Unaonaje tukimtafuna mkeo ili ujue kuwa wewe si chochote kwake?Habari,
kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa.
Kwa upande wangu,nmeoa mwanamke mzuri i mean kwenye kila sekta tabia sura na hata matendo na tupo kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa lakini hatukuwahi kugombana wala kufanyiana mambo ya ajabu.
Kutokana na thread nyingi zilizokuwa zinakuja humu JF jana nikaamua kufanya yafuatayo.
Kwenye saa 7 mchana nikampigia simu mke wangu kuwa leo asipike ftari badala yake tutaenda kula ftari hotelini alifurahi sababu huwa namfanyia mara nyingi out za kula.
Kwenye saa 11 nikampitia na kumpeleka sehemu tukapata ftari then kuna sehemu tukapitia mpaka mida ya saa 6 usiku tukiwa njiani kurudi akiwa na furaha kama kawaida yake.
Nikapita na gari mpaka Sinza X ni mitaa ambayo huwa mida hiyo kuna malaya wa kila aina tena mpaka wa elf 10, nikapaki gari kati kati yao then nikafungua vioo vyote,walivyoona gari wakaizunguka na kuanza kutaja offer yao tena mbele ya wife.
Mke wangu akabakia tu kustaajabu,mie nkaondoa gari mpaka Shekilango nikapaki gari then nikamwambia kuwa wale unaowaona pale kuna wengine ni wazuri tena kushinda wewe lakini biashara wanayoifanya mwanaume anaweza kuwa na elf 20 akamlala na hata mimi kwa kipato changu naweza kubadilisha kila siku ndani ya mwaka mzima lakini nimewaaacha wote na kuja kukuoa wewe na kukuweka ndani kama mke wangu.
Aliniangalia tu huku akitabasamu na kunikumbatia na kunambia nakupenda mme wangu na mengine yakaendelea.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwakumbusha wanaume au wanawake ambao wapo ndani ya ndoa kujitahidi kuonyesha kwa waume au wake zao thamani waliyonayo kwao mpaka wakachukua jukumu zito la kuacha wote na kuja kukubali kuishi nawe milele ukimuwin kwa hilo mwenzio hakika ndoa utaiona tamu
Ramadhani Kareem
FafanuaHapo na wewe unajiona umemuweza na unamfahamu mwanamke na ndoa?. Bado hujamfahamu mwanamke anaeitwa mwanamke. Unamfahamu mwanamke kwa upande wa mbele tu. Nasisitiza bado na huji kumfahamu mwanamke. Siku ukimfahamu utakuwa umechelewa ndio siku ya kufa
Kama asingemuoa angekuwa anauza k yake eti.this is so disrespectful.hakii nisingekubali.Binafsi tungeachana jana jana baada ya kufanya hivyo. Umefanya as if kumuoa ni kumuonea huruma au kitu kama hicho.
Maana hyo mitaa naifahamu hafu sikuhizi machangu ni Kama wameisha hawajipangi street, wako huko BadooKabisa na Mimi Kuna sehem nimeshawahi isoma cjui ni humu au wapi vile....
Ila huyu nae sio, kwamba unamchukua mke moja mbili moja mbili hadi kwa wauza kyumaa kumwambia hayo?!!!🙄
Hijakaa vizuri
Huyo mke security yake Ni k tu .Very embarrassing kwakweli
Kwamba ni chai au[emoji16][emoji16]Hii story ni ya kutunga flani
Ila huyu nae sio, kwamba unamchukua mke moja mbili moja mbili hadi kwa wauza kyumaa kumwambia hayo?!!!🙄
Hijakaa vizuri
Alishafutu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zama nipo CBE kulikuwa na habari ya mbuganiKupita "mbugani" haijaharibu mfungo?
Kupendwa wanapendwa wengi ila wanaishia kugegedwa tu bila ndoa! Hivyo ukimuona mtu kajitwisha zigo usimletee ya kuleta! Muheshimu I see, ohoooh😜!Kwakwel, kiaina kavile amemtishia, ukizingatia hawajawah kua na ugomvi mkubwa wowote..
Binafsi ningepotezea pale ila moyoni ningekua najiuliza uyu kwani imekuaje mpaka kukumbushwa?
Feels almost like a favor kumuoa akati kampenda mwenyewe..