Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
Leejay49 Thats my wizzle bana basi usiwaze ..😘😘niko hapa wizzle wangu, whenever you call me I will be there for you 🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leejay49 Thats my wizzle bana basi usiwaze ..😘😘niko hapa wizzle wangu, whenever you call me I will be there for you 🥰
Kuna watu wana muda
msikilize huenda ana jambo 😅😅Kuna watu wana muda
Mluga luga tu huyo, watafuta kikimsikilize huenda ana jambo 😅😅
Hajui siku za kazi hizi???Ungeomba ningekufungulia pm tu hizi habari za kuanikwa hivi sizipendi sana, jtatu na asubuhi yote hii,, aaarrgggh
Ukute umeota dume lenzakoImetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.
Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.
Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!
Tatizo kadamnasi jamani kila mtu ajue nimeotwa🙄ushamba wa kizamani huuHajui siku za kazi hizi???
Mfungulie geti aongee kikubwa mama!!Tatizo kadamnasi jamani kila mtu ajue nimeotwa[emoji849]ushamba wa kizamani huu
Hata hiyo kaipoteza acha aendelee kuota ataacha tu siku akiota akakutana na anachokiotaMfungulie geti aongee kikubwa mama!!
🤣🤣🤣Kuna wakati, ndoto huwa ni matokeo ya kuliwaza jambo kwa muda mrefu..!! We sema tu unamtaka basi..!! BASI MTONGOZEE..!!
Niko nyumbani mkuu, kwangu!😂😂😂😂😂 Zinduka kwenye kochi la shemeji hapo