DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Comment za humu bhana[emoji38]Muhuni anamuota muhuni[emoji38][emoji38][emoji38]
Piga hesabu hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment za humu bhana[emoji38]Muhuni anamuota muhuni[emoji38][emoji38][emoji38]
Piga hesabu hiyo
Ndoto inayofuata ni unaenda kumuota huyu Leejay49niko hapa kuyapokea kwa mikono miwili [emoji847]
[emoji4]usisite kuniambia ukiniota[emoji4][emoji847]
Ukirudisha ile avatar ya miguu yako mamie, haki ya nane na me nakuota leo 😜usisite kuniambia ukiniota😊🤗
😅😅😅😅🙌Ukirudisha ile avatar ya miguu yako mamie, haki ya nane na me nakuota leo 😜
Si useme tu kwamba unataka usindikizwe kwenda kwenye lile soko pendwa!Imetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.
Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.
Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!
Wivu tu!Hovyo
Unataka kuleft?!!!!🤭🤭Si useme tu kwamba unataka usindikizwe kwenda kwenye lile soko pendwa!
For God's sake, we ni me au ke?!!!! Tuanze hapo kwanza.Naona unatafuta crown ya "biggest simp in jf"
Aibu naona me, mtu kakupa za chemba bado unajitutumua tu haiombwi hivo
ile avatar ni nomaaa Leejay49 hebu tufanyie wepesi 😂Ukirudisha ile avatar ya miguu yako mamie, haki ya nane na me nakuota leo 😜
unamuotaje mtu humjui?? hujamuota, umeiota avatar yakeFor God's sake, we ni me au ke?!!!! Tuanze hapo kwanza.
jikaze.Hata mimi ilishawahi tokea kisa maongezi baina yake na mimi na most reason behind ilikua ni profile avatar yake😂😂😂
Sikuweza kukaanalo ilinibidi kumwambia ukweli na alinicheka kwelikweli...Mtu mzima full kujionea aibu😂😂😂jikaze.
ulimfuata pm...Sikuweza kukaanalo ilinibidi kumwambia ukweli na alinicheka kwelikweli...Mtu mzima full kujionea aibu😂😂😂
Yeah! Alikua kaifunga nilipomuomba afungue alikubali sasa hizo convo! Acha tu kaka😂😂😂😂ulimfuata pm...