Nimemvumilia sana mke wangu kwa tabia zake mbovu, mama yake kanipa makavu kwamba bila kipigo siwezi kuheshimika, haya mawazo yake ni sawa?

Nimemvumilia sana mke wangu kwa tabia zake mbovu, mama yake kanipa makavu kwamba bila kipigo siwezi kuheshimika, haya mawazo yake ni sawa?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kwakweli huwa siamini kabisa kwenye mambo ya kupiga mwanamke ambae nimemzidi nguvu by far.

Kuna binti nimemuoa sasa kuna vijitabia vimekuwa kiburi ambacho kilianza kama masikhara ila sana kinazidi.

Sasa tangu nianze kumkanya, mabishano yamekuwa mengi, nikiongea neno moja kwa sauri ya chini kujaribu kumwelewesha yeye ashaongea maneno kumi kwa sauti tena ya shombo.

Kero hii sijawai kumwambia mama yake ila kwavile kuna ndugu yake moja tunaishi nae nahisi ndio kafikisha hio habari kimya kimya,

Jana mama mkwe kaniambia wazi kwamba bila kumtandika mwanae katu hawezi kuja kuniheshimu kama mwanaume, kaniasa namuendekeza sana mwanae kunipanda kichwa, Kanipa msisitizo kwamba akijaribu tena kuinua mdomo ruksa nimchape makofi.


Je ni sawa kumpiga mwanamke ? hakuna njia nyingine ?
 
Kwakweli huwa siamini kabisa kwenye mambo ya kupiga mwanamke ambae nimemzidi nguvu by far.

Kuna binti nimemuoa sasa kuna vijitabia vimekuwa kiburi ambacho kilianza kama masikhara ila sana kinazidi.

Sasa tangu nianze kumkanya, mabishano yamekuwa mengi, nikiongea neno moja kwa sauri ya chini kujaribu kumwelewesha yeye ashaongea maneno kumi kwa sauti tena ya shombo.

Kero hii sijawai kumwambia mama yake ila kwavile kuna ndugu yake moja tunaishi nae nahisi ndio kafikisha hio habari kimya kimya,

Jana mama mkwe kaniambia wazi kwamba bila kumtandika mwanae katu hawezi kuja kuniheshimu kama mwanaume, kaniasa nimpe kipondo mtoto wake ila nisiue ama kumpa kilema, kanikanya sana kwamba mimi ni kichwa cha nyumba so nimpe kichapo mtoto wake arudi mstarini.


Je ni sawa kumpiga mwanamke ? hakuna njia nyingine ?
Kwani ni lazima umpige si muachane bila kuumizana, maisha sio ya ndoa tu.
 
Kwakweli huwa siamini kabisa kwenye mambo ya kupiga mwanamke ambae nimemzidi nguvu by far.

Kuna binti nimemuoa sasa kuna vijitabia vimekuwa kiburi ambacho kilianza kama masikhara ila sana kinazidi.

Sasa tangu nianze kumkanya, mabishano yamekuwa mengi, nikiongea neno moja kwa sauri ya chini kujaribu kumwelewesha yeye ashaongea maneno kumi kwa sauti tena ya shombo.

Kero hii sijawai kumwambia mama yake ila kwavile kuna ndugu yake moja tunaishi nae nahisi ndio kafikisha hio habari kimya kimya,

Jana mama mkwe kaniambia wazi kwamba bila kumtandika mwanae katu hawezi kuja kuniheshimu kama mwanaume, kaniasa niwe namzabia makofi ya mashavu inapobidi, kanikanya sana kwamba mimi ni kichwa cha nyumba so nimpe kichapo mtoto wake arudi mstarini.


Je ni sawa kumpiga mwanamke ? hakuna njia nyingine ?
Nakumbuka nikiwa mtoto nilikua namchukia mzee kila anapo mpiga mama ila baada kuwa mtu mzima nimeanza kumuelewa.

Demokrasia waachie chadema na ccm, ukiileta kwenye nyumba utavuna mabua.
 
Pole ,mkuu huyo binti amelelewa na mama pekee!?why mama mkwe ndo akuambie na sio baba mkwe!?

Malezi ya pande mbili kwa watoto yana umhimu wake.

Mtoto akikua bila sauti ya baba kwenye familia andika maumivu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
kwaiyoo mkuu mpaka mkwe akuambie mnase vibao vitatu alafu lala nje week akili zitarudi.

mimi wa kwangu jana nimsindikiza rafiki yangu tukawa tunapiga story nje ya geti anaona kabisaa sijawasha gar. akaleta jeuri nilimnasa kibao saivi niko hosptal anahisi sikio haliko sawa. saivi yuko sawa nikimshika na mkono wa kulia hataki.
 
Inaonekana huyu mke wako hana heshima hata kwa mama yake, ndio maana kakuambia mpige

Mama anamjua vizuri mwanae na inaonekana kabisa huwa anamjibu vibaya mama yake

Ila inaonekana baba yake alikuwa anampiga haswa (wazo tu)

Mpeleke kwao na ufungue jarida la kesi kwa wazazi
Akikataa mpe likizo isiyo na kikomo
 
Pole ,mkuu huyo binti amelelewa na mama pekee!?why mama mkwe ndo akuambie na sio baba mkwe!?

Malezi ya pande mbili kwa watoto yana umhimu wake.

Mtoto akikua bila sauti ya baba kwenye familia andika maumivu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa.
Single mama ni wasumbufu sana huwa hawana utii sababu,wamekosa balance
 
Kiasili wanawake wanajisikia amani wakiwa na mwanaume dikteta au primitives kichaa. Wanajisikia furaha kukandamizwa, wanaume diplomatic wengi ndoa zao zina shida wake zao hawana utii tofauti na wanaume primitives yaani dakika sifuri ngumi, kofi
 
Back
Top Bottom