Mwanaume akiwa kichwa ndani kinachojua kuongoza hawezi kosa kuheshimiwa, lakini ukiwa zoba zebe lazima iwe hivyo, Mme anakaa na mkewe siku mzima ndani kama yake hata sauti kama kuna mwanaume ndani hakuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke yeyeto asiye na heshima kwa mume wake hata mzazi wake hawezi kumpa heshima yake. Na anakuwa hana heri duniani. Maandiko yanasema waheshimu wazazi wako upake heri na baraka tele duniani
MkuuKama mama yake alishindwa kumyoosha je wewe utaweza?
Mzazi anamlea mtoto vibaya then mzigo wa malezi mabovu akabebe mwingine wakati aliyemlea vibaya kakunja nne kijijini hii ni SAwa kweli?
Inaonekana huyu mke wako hana heshima hata kwa mama yake, ndio maana kakuambia mpige
Mama anamjua vizuri mwanae na inaonekana kabisa huwa anamjibu vibaya mama yake
Ila inaonekana baba yake alikuwa anampiga haswa (wazo tu)
Mpeleke kwao na ufungue jarida la kesi
Akikataa mpe likizo isiyo na kikomo
Makofi mbona kawaida tu kama hasikiijalada la nini mkuu amzibue kidgo. unamzibua then unamuomba msamaa mkiwa hosptal ila hatarudia tena.
Kutokuwa na heshima ni matokeo ya malezi mabovu, mwanamke mwenye malezi umpa heshima mme wake Ili watoto wake wasiige tabia mbovu, nao kesho wakashindikana kwenye ndoa zaoMwanaume akiwa kichwa ndani kinachojua kuongoza hawezi kosa kuheshimiwa, lakini ukiwa zoba zebe lazima iwe hivyo, Mme anakaa na mkewe siku mzima ndani kama yake hata sauti kama kuna mwanaume ndani hakuna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisa mwanamke adhibitiwe mapema sana kabla hajazoea dharauUshachelewa.. mwanamke uliyemuoa inatakiwa siku akijaribu tu kunyanyua mdomo kabla hajamaliza sentence anapata kelebu moja mpaka anaskia kizunguzungu
Makofi mbona kawaida tu kama hasikii
Tena unamsindikiza na la mgongo kama hataki kwenda mahakama ya wazazi
Kama atanyamaza kuna siku atamletea na buzi home
Mawazo ya vijana waliobalehe juzi utayajua tu.Wakati mwingine midomo na stress za wanawake mnazisababisha wenyewe, hamwaridhishi kunako mpo jujuu tu kama mikia ya mbuzi, ndiyo maana mnaonekana mabogasi, wee mpige kisha hasira zake akatulizwe huko nje!
Kwakweli huwa siamini kabisa kwenye mambo ya kupiga mwanamke ambae nimemzidi nguvu by far.
Kuna binti nimemuoa sasa kuna vijitabia vimekuwa kiburi ambacho kilianza kama masikhara ila sana kinazidi.
Sasa tangu nianze kumkanya, mabishano yamekuwa mengi, nikiongea neno moja kwa sauri ya chini kujaribu kumwelewesha yeye ashaongea maneno kumi kwa sauti tena ya shombo.
Kero hii sijawai kumwambia mama yake ila kwavile kuna ndugu yake moja tunaishi nae nahisi ndio kafikisha hio habari kimya kimya,
Jana mama mkwe kaniambia wazi kwamba bila kumtandika mwanae katu hawezi kuja kuniheshimu kama mwanaume, kaniasa namuendekeza sana mwanae kunipanda kichwa, Kanipa msisitizo kwamba akijaribu tena kuinua mdomo ruksa nimchape makofi.
Je ni sawa kumpiga mwanamke ? hakuna njia nyingine ?
Hahaha, awaheshimu wazazi apate miaka mingi na heri duniani. Japo mwanamke mwenzangu na mi nasema ampige tu. Ila kiasi kidogo tu sio vya kutoana alama.Heshimu wazazi wewe, mzazi kasema apigwe we unasema asipigwe hutaiona pepo. [emoji3]
Mwanamke kiburi unamfanyaje sasa maana kashindikana kabisa.Hahaha, awaheshimu wazazi apate miaka mingi na heri duniani. Japo mwanamke mwenzangu na mi nasema ampige tu. Ila kiasi kidogo tu sio vya kutoana alama.
Anamsaidia, unataka amuache ili dada wa watu akaharibikiwe zaidi.Kuna watu akili zinapinda..lazima ashtuliwe kidogo....Kwani ni lazima umpige si muachane bila kuumizana, maisha sio ya ndoa tu.
USIMPIGE MDHARAU TU TENA KIMYAKIMYA ATAKUHESHIMU HADI UCHANGANYIKIWEKwakweli huwa siamini kabisa kwenye mambo ya kupiga mwanamke ambae nimemzidi nguvu by far.
Kuna binti nimemuoa sasa kuna vijitabia vimekuwa kiburi ambacho kilianza kama masikhara ila sana kinazidi.
Sasa tangu nianze kumkanya, mabishano yamekuwa mengi, nikiongea neno moja kwa sauri ya chini kujaribu kumwelewesha yeye ashaongea maneno kumi kwa sauti tena ya shombo.
Kero hii sijawai kumwambia mama yake ila kwavile kuna ndugu yake moja tunaishi nae nahisi ndio kafikisha hio habari kimya kimya,
Jana mama mkwe kaniambia wazi kwamba bila kumtandika mwanae katu hawezi kuja kuniheshimu kama mwanaume, kaniasa namuendekeza sana mwanae kunipanda kichwa, Kanipa msisitizo kwamba akijaribu tena kuinua mdomo ruksa nimchape makofi.
Je ni sawa kumpiga mwanamke ? hakuna njia nyingine ?
nasemaje nasemaje piga makofi hiyo, wa mama wanawafahamu watoto wap vizuriKwakweli huwa siamini kabisa kwenye mambo ya kupiga mwanamke ambae nimemzidi nguvu by far.
Kuna binti nimemuoa sasa kuna vijitabia vimekuwa kiburi ambacho kilianza kama masikhara ila sana kinazidi.
Sasa tangu nianze kumkanya, mabishano yamekuwa mengi, nikiongea neno moja kwa sauri ya chini kujaribu kumwelewesha yeye ashaongea maneno kumi kwa sauti tena ya shombo.
Kero hii sijawai kumwambia mama yake ila kwavile kuna ndugu yake moja tunaishi nae nahisi ndio kafikisha hio habari kimya kimya,
Jana mama mkwe kaniambia wazi kwamba bila kumtandika mwanae katu hawezi kuja kuniheshimu kama mwanaume, kaniasa namuendekeza sana mwanae kunipanda kichwa, Kanipa msisitizo kwamba akijaribu tena kuinua mdomo ruksa nimchape makofi.
Je ni sawa kumpiga mwanamke ? hakuna njia nyingine ?
Hahahahaaakwaiyoo mkuu mpaka mkwe akuambie mnase vibao vitatu alafu lala nje week akili zitarudi.
mimi wa kwangu jana nimsindikiza rafiki yangu tukawa tunapiga story nje ya geti anaona kabisaa sijawasha gar. akaleta jeuri nilimnasa kibao saivi niko hosptal anahisi sikio haliko sawa. saivi yuko sawa nikimshika na mkono wa kulia hataki.
Tena kofi mpaka akalale huku ukitoa maelekezo kabisa kuwa hakuna kulala na kyupiUshachelewa.. mwanamke uliyemuoa inatakiwa siku akijaribu tu kunyanyua mdomo kabla hajamaliza sentence anapata kelebu moja mpaka anaskia kizunguzungu