Nimemvumilia sana mke wangu kwa tabia zake mbovu, mama yake kanipa makavu kwamba bila kipigo siwezi kuheshimika, haya mawazo yake ni sawa?

Kiasili wanawake wanajisikia amani wakiwa na mwanaume dikteta au primitives kichaa. Wanajisikia furaha kukandamizwa, wanaume diplomatic wengi ndoa zao zina shida wake zao hawana utii tofauti na wanaume primitives yaani dakika sifuri ngumi, kofi
Ushauri wako ni practicap kabisa. Naunga mkono hoja!!
 
Pana makabila Mwanamke kama hana kovu mme wake anadharaulika
 
 Jaribu kumtishia kwa vitendo ...mrudishe kwao then uone anasemaje huku ukiwa huna nia ya kumwacha kweli
 
Unchoomba ushauri ni nini sasa na ushashauriwa....Inakoelekea huyo mwanamke bado kukutandika wewe makofi.
 
Ka anakujibu na kutokukuheshimu inaonyesha humzibui sikio la chini vizuri Sasa subiria akuletee watoto wa boda boda nje
 
Muachane Kwa AMANI t atakua keshapataa kibenteni nje uyo ukipiga utauaa utaenda kufugwaa mwenyewe
 
Ka anakujibu na kutokukuheshimu inaonyesha humzibui sikio la chini vizuri Sasa subiria akuletee watoto wa boda boda nje
Sikio la chini lina uhusiano gani n kutokuheshimu tena jamani
 
Wanaume tumebakia wachache mnooo. Wavulana mko wengi mnooo
 
Kuigegeda mbususu mpaka iombe poo, anayegegedwa vizuri hata kugombana Huwa hamna
Duh! Sasa mie mzee wa dakika mbili chali na sijui kugegeda sii bora nisioe tuu lah sivyo nitajikuta nafukewa na wife tuu 🤣🤣🤣🤣🤣
Lakini kwa nini sasa mnabaniaga mbususu ndani ya ndoa
 
Duh! Sasa mie mzee wa dakika mbili chali na sijui kugegeda sii bora nisioe tuu lah sivyo nitajikuta nafukewa na wife tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini kwa nini sasa mnabaniaga mbususu ndani ya ndoa
Unafikiria dakika ndio sababu hata ikiwa sekunde 30 Huwa tinaangalia upendo na kusikilizwa zaidi basi. So oa usiogope kabisa.
Kwenye ndoa ni vile wanawake vikero vidogo dogo hututoa kwenye mood na hamu kuisha. Ukitaka upewe Hadi uchoke usimkere kere hovyo mkeo wanawake tunapenda vitu vidogo na kubembelezwa ndio tunafurahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…