Nimemwachia mali zote, naanza upya

Nimemwachia mali zote, naanza upya

Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Bora umemuachia makaratasi majina ya viwanja bado ya kwako.
 
Kwa maisha niliyokulia. .. Namuona mama hivi.. nimeuza sana uji wa mchele, mihogo ufuta, visheti . Na (aliyekuwa) mke wangu walikuwa wale .... maisha Bora ... Mungu fundi ... Mi nimemsamehe..... Shida ni anapambania ndoa isivunjike nirudi .. na nikae (Mji nilimuachia yeye na watoto)
 
Mimi aliyekuwa mume wangu alikuwa analeta mchepuko hadi ndani mimi nikiwa safarini. Akashawishiwa na mchepuko wakauza gari yangu. Nyumba tulijenga wote. Lakini nikamuachia kila kitu nikaanza upya mwaka 2015. Mchepuko akaja kumkimbia na sasa yupo tu maisha yanapiga. Amani ya mwili na moyo ni muhimu sana. Ukiendelea kubaki kwenye ndoa ya mateso utaishia kupata msongo wa mawazo
Maisha haya.. Yana mafumbo makubwa sana..ujinga nilichokataa ni dharau ...
 
Very simple yani.
..sitaki
..poa

Nageuza mgongo napiga usingizi wa kwenda, the next morning natuma text, "hi babez I've missed you, upo kweli?", baada ya hapo I know by 2200hrs nitakuwa nimemaliza haja za mwili.
stare-staring.gif
 
Cha ajabu hao makungwi wa haki sawa karibia 80% hawana ndoa zaidi ya Ke wasio na dira yoyote kuhusu familia.

Ndiyo utegemee wawatakie mema wanandoa walioenda kusuluhishwa kwao [emoji848]
Ahahah eti tunataka haki sawa 😅😅 majukumu ya mwanaume tupige sisi na ya mwanamke tupige sisi....
 
Umechukua maamuzi ukiwa na hasira kuhusu kunyimwa mzigo na mkeo sio shida ya peke yako mkuu watu washafungua sana uzi wa kunyimwa chakula cha usiku na wake zao we cha kufanya ungetafuta namna ya kupunguza genye kuwa na mchepuko mwenye akili timanu na usimpe mimba,mkeo akishaona huombi mzigo ye mwenyewe utaona anakupa tena kwa mahaba.
 
Ndugu zangu Offisho_Kid na Uchira 1 ukimsoma huyu mwamba inaonyesha yupo kwenye "Maumivu makubwa ya roho na moyo"

Unaweza kumuona kwa nje yupo ""smart na vizuri and so on"" ila kiuhalisia mwamba anateketea rohoni.

Siku hizi Kuna ma feminist wengi sanaa wanaojiona wameelimika na wanaweza ku control wanaume.
Ole wako ukutane nao Hawa...!!!!!

In the second side, Ukiwauliza Espy Atoto Noelia at El. Wana msemo wao ""Ndoa ni kwa wanaume wenye akili"" ila sijui kama wanao olewa nao wanatakiwa kuwa na akili..!!

Hapohapo uki "cite" hizo post mbili hapo juu za mwamba, utaona kuwa huyu jamaa alijitoa kwa moyo na pesa ili mke wake aridhike ila badala yake kawa mwiba.

Huyu ndio wale walioambiwa "mwenye kuoa ndio ana akili" basi na yeye akajifanya ana akili na kuoa ila LEO YAMEMKUTA.

Ndugu yangu Mtoto wa nzi Mimi ni mtumishi mwenzako mwenye miaka 32 na miaka 10 Utumishini.

Inaweza kuwa umenipita miaka (umri) na muda wa Ajira au "the vice versa".

Ndugu, katika jambo ambalo nasisitiza na naendelea kusisitiza kwa watumishi wenzangu ni kwamba USIOE USIOE USIOE.

Una mshahara na muda, basi tafuta biashara au uwekezaji "and go for it".
Tafuta hela uishi maisha yako.
Pesa itakupeleka kokote utakako, hata huko kwa Mungu ukitaka kwenda ni rahisi kwenda kama una pesa. Si utakua unatoa sadaka na zaka na kusaidia wahitaji?

Sasa mnaoa ili mtafute nini? MTAKUFAAA.
Mambo ya kuweka mtoto wa watu ndani ili aje kukuumiza na kukutoa roho "Ya nini yote?"

Wanawake wa siku hizi wamefundishwa haki sawa.
Na hili wameli-apply kwenye kila kitu.

Ukitaka kufa mapema dunia ya sasa WE OA.

Ma-feminist WATAWAUAAAA.

Nimemaliza.

Mwenye sikio na asikie.

#YNWA
Mzee like yangu namba 40[emoji2][emoji1787]
 
Mpaka sasa sijui nini nataka ksti kuoa au ubachela

Sijasema watoto au hela

Ila kuos au bachela

Ndoa zina makelele mengi mimi ni mtu ninayepemda peaceful life.and free life

Ubachela nao mzigo.

Anyway mbele kwa mbele.
 
Pole Sana...

Tumesikiliza upande mmoja..inawezekana hata wewe pia unachangia Hilo kwa kujua au kutojua..

Umemuwezesha ,unampenda Sana..., Inaweza kuwa wewe Ni mtu mwenye gubu na simangizi/ simbulizi mpaka anajihisi vibaya na kujutia saidizi yako... Hapo hawezi kukupa Tamu.. ..maana ndio sehemu pekee ana maamuzi nayo...zingatia mwanamke anaongozwa na hisia zaidi!

Jiangalie kwa utulivu labda wapi ukamkwaza... ..

Kama sivyo.. .. ...basi usihame mji..kaa nae mbali kwa MDA.. .. ili kumpa muda ajisome vizuri... ..maana kwa akili za Hawa viumbe .. ..ashaona umeoza /hupindui kwake...

Fanya Kama hayupo.. .. atarudi na adabu kamili.. ..na ..akikubali matokeo haraka jua alishakuchoka huyo..



Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Ungesema namuachia kiwanja na nyumba, usiseme mali.. mali yenyewe iko wapi hapo?? Sokapohapo!!
Nimemwachia demu wangu sio mke ndinga la mil 35, nyumba ya ghorofa mbili nk, na sijatangaza. Wewe viwanja viwili matangazo kama ya Amazon college
 
Back
Top Bottom