Nimemwachia mali zote, naanza upya

Nimemwachia mali zote, naanza upya

Ungesema namuachia kiwanja na nyumba, usiseme mali.. mali yenyewe iko wapi hapo?? Sokapohapo!!
Nimemwachia demu wangu sio mke ndinga la mil 35, nyumba ya ghorofa mbili nk, na sijatangaza. Wewe viwanja viwili matangazo kama ya Amazon college
[emoji23][emoji23][emoji23] aya SACO

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
wanaume tuna kazi sana, ifke mahali iwe hakuna kuoa wala kuolewa...
 
Mke hasomeshwi nadhan ulikiuka.kipengele hiki kaka mkubwa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mimi nilifanya ujinga huo nikaishia njiani, yaliyonikuta sitosahau, kamwe sitorudia huo ujinga... km mwanamke anaweza kukudharau ili hali ana elimu ya msingi/ F4 na hana kazi yoyote. vipi kama kasoma na ana kazi? japo siyo wote lakin tunakoelekekea karibu wote wanataka kufanana tu....
 
Mzee hiyo hatua uliyochukua ni ya kijasiri sana na itakusaidia wewe.

Kwamba ndoa haina hata mwaka na mmeanza kunyimana mbususu ujue mke siyo wako. Lazima uchomoke.

Tatizo ni kwamba siku utakapowasikiliza ndugu na kuamua kurudi ndo utakuwa umeingia kingi. Utateseka sana. Bora uondoke mapema.

2020 nilimsaidia mshkaji wangu mmoja alinunua nyumba na mwanamke wake (siyo mke halali) ila tifu lilianza baada ya kuhamia kwenye ile nyumba. 5 bedroom apartment iliyogharimu around 400,000 €.

Mpaka leo jamaa anaishi kwenye apartment amepanga huku anaendelea kulipa mkopo wa ile walionunua pamoja maana ametambua hana mshirika kwa yule mwanamke mzungu.

Mwanaume ni maamuzi! Tena maamuzi yawe magumu na ya kuumiza kwa wakati huo ila ni dawa.
Na hayo ndiyo maamuzi sahihi. Maamuzi sahihi siku zote lazima yaume na kuchoma km moto lakini in a long run aman na utulivu vitatawala tu...
 
Karibu.... Unajua mwanaume wa kuweza kukaa na mke wake bila kulazimisha tendo la ndoa ni shujaaa au mnyonge ... !!!?? Ukipata jibu utajitambua upo kundi Gani .... Pole....
Mwanaume hutakiwi kushindwa chochote. Tafuta namna ya kumwongoza huyo mke akae sawa. Njia uliyotumia ya kukimbia tatizo utakuja kuijutia.

Kwa mfano, baada ya muda kidogo utaanza kusikia kuna kidume mwenzako amefanya makazi ya kudumu kwenye kitanda ulichonunua, nyumba uliyojenga kwa jasho lako, na anajenga kwenye viwanja vyako.

Ninaamini utawaza kubadili mawazo na kurudi kwenye mali zako kuzikomboa. Utakuja hapa upya kuomba ushauri namna ya kurudia mali, mke na watoto wako.

Kumbuka huyo mkeo hana cha kupoteza. Ukikimbia atapata nafasi nzuri zaidi ya kujiachia. Na vidume watakula mpaka atakolea.

Jitakari upya.
 
Mimi nilifanya ujinga huo nikaishia njiani, yaliyonikuta sitosahau, kamwe sitorudia huo ujinga... km mwanamke anaweza kukudharau ili hali ana elimu ya msingi/ F4 na hana kazi yoyote. vipi kama kasoma na ana kazi? japo siyo wote lakin tunakoelekekea karibu wote wanataka kufanana tu....
Huu uamzuzi wa mleta mada hauna tija. Ameufanya kwa hisia bila kuangalia matokeo ya muda mrefu.
 
Ndugu zangu Offisho_Kid na Uchira 1 ukimsoma huyu mwamba inaonyesha yupo kwenye "Maumivu makubwa ya roho na moyo"

Unaweza kumuona kwa nje yupo ""smart na vizuri and so on"" ila kiuhalisia mwamba anateketea rohoni.

Siku hizi Kuna ma feminist wengi sanaa wanaojiona wameelimika na wanaweza ku control wanaume.
Ole wako ukutane nao Hawa...!!!!!

In the second side, Ukiwauliza Espy Atoto Noelia et al., (2020) Wana msemo wao ""Ndoa ni kwa wanaume wenye akili"" ila sijui kama wanao olewa nao wanatakiwa kuwa na akili..!!

Hapohapo uki "cite" hizo post mbili hapo juu za mwamba, utaona kuwa huyu jamaa alijitoa kwa moyo na pesa ili mke wake aridhike ila badala yake kawa mwiba.

Huyu ndio wale walioambiwa "mwenye kuoa ndio ana akili" basi na yeye akajifanya ana akili na kuoa ila LEO YAMEMKUTA.

Ndugu yangu Mtoto wa nzi Mimi ni mtumishi mwenzako mwenye miaka 32 na miaka 10 Utumishini.

Inaweza kuwa umenipita miaka (umri) na muda wa Ajira au "the vice versa".

Ndugu, katika jambo ambalo nasisitiza na naendelea kusisitiza kwa watumishi wenzangu ni kwamba USIOE USIOE USIOE.

Una mshahara na muda, basi tafuta biashara au uwekezaji "and go for it".
Tafuta hela uishi maisha yako.
Pesa itakupeleka kokote utakako, hata huko kwa Mungu ukitaka kwenda ni rahisi kwenda kama una pesa. Si utakua unatoa sadaka na zaka na kusaidia wahitaji?

Sasa mnaoa ili mtafute nini? MTAKUFAAA.
Mambo ya kuweka mtoto wa watu ndani ili aje kukuumiza na kukutoa roho "Ya nini yote?"

Wanawake wa siku hizi wamefundishwa haki sawa.
Na hili wameli-apply kwenye kila kitu.

Ukitaka kufa mapema dunia ya sasa WE OA.

Ma-feminist WATAWAUAAAA.

Nimemaliza.

Mwenye sikio na asikie.

#YNWA
Mwenye sikio na asikie !!!

Huu uanaharakati uchwara huu unawaharibu sana hawa mabinti na vidigrii vyao uchwara!

Unampenda mtu kwa moyo wako wote lakini sasa ukimuweka ndani tu vituko vinaanza! Mungu na Atusaidie wanaume [emoji1545]
 
Ungesema namuachia kiwanja na nyumba, usiseme mali.. mali yenyewe iko wapi hapo?? Sokapohapo!!
Nimemwachia demu wangu sio mke ndinga la mil 35, nyumba ya ghorofa mbili nk, na sijatangaza. Wewe viwanja viwili matangazo kama ya Amazon college
Ishu ni kuwa vipato tunatofautiana
 
Pole sana, yalinikuta pia.

Nilibeba vyeti vyangu tu nikaondoka. Tunaishi mbali mbali japo tumezaa tena ila kuishi nae hakuna tena sitaki, mnyanyasaji sana kingono, ilikua inapiga miezi na mengine mengi.
 
Wachuchu wapo wengi mzee baba...

Naona kwa kuwa ni mtoto wa nzi, almanusura ufie kwenye kidonda...
 
Mi ndo maana nasema siwezi kuwa na mwanamke 1, lazima wawepo wengi for backup
 
Mimi naona umefanya maamuzi mabaya ya kumwachia hati za viwanja
kama uliamua kumuacha ungeondoka tu wewe umuache kwenye nuumba ila hati za viwanja ungeondoka navyo
 
We Mzee ... Mwanamke anakuita mjinga,mpumbavu mbele za watu .. umemjengea , umempa Biashara ,umemsomesha... na alikuwa mhudumu tu wa ofisi ... Umemuwezesha pote huko ... Ya Nini ... Bahati mbaya nimesomesha maendeleo ya jamii na yupo ustawi anajifanya anajua haki za wanawake
..nimemwambia haya yote hayo Hapo .chukua .... Hataki anataka turudiane wakati Mimi sitaki hizo dharau.





.
Alipo kuita mjinga ulimzaba walau makofi mawili?
 
Ni Sahihi kabisa
1652502437846.jpg
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Pole sana Mkuu
 
Naamin mtarudiana tu, kwa jins ulivyoandika ni bado unampenda

Ukiona mwanamke wako amebadilika usianze kumlaumu, unaweza kuta ww ndio sababu ya yeye kubadilika

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom