Nimemwachia mali zote, naanza upya

Nimemwachia mali zote, naanza upya

Ww muache aondoke mwanamke ukiomba mzigo ni kama unamnyanyasa anakuambia "humu ndani mimi ni kama natumika, ipo siku utakuta sipo" hii kauli ya "kukuta Sipo" Anairudia mara nyingi, nikamjibu kama hicho ndo unachotaka "ondoka upate Amani"

Mtu kununa kila siku, unamuuliza ili ujue kinachomsibu.... anajibu '' nina mambo yangu yananivuruga we lala tu'' ukifosi kumuuliza zaidi hapo anaweza kuhama hata chumba

Huyu ni mke wangu nina mtoto nae mmoja
Sijawahi kufosi mechi, kupika wala kumlazimisha kufua nguo

Nimeona bora tumalize ila sikupenda hili litokee
Kuna watu hawaelewi... Wanaume tunanyanyaswa sana basi tu ....
 
Kama ni mali zinatafutwa bwana. Sishauri watu kuachana ila kama mahusiano yanaathiri afya yako ni bora kuachana. Mimi mwaka 2015 niliondoka kwenye ndoa ya miaka 5 nikaacha kila kitu na kuanza upya.
Wakiingia kwenye hii TAASISI ya ndoa .... Watajua ...
 
Ulivyompatapata nadhani ni miongoni mwa chanzo cha tatizo.
Umesoma Hapo nimefaulu akafeli 2003!!? Nikasema to make story short ... Unataka nieleze mengi ... Nimesoma naye .
Nimeishi naye mtaa Mmoja ... Mpaka ikabidi wakati anarudia wamrudishe kwao Mbeya .... Asikae jirani NAMI maana ilionekana ndio namharibu... Na sikuwasiliana naye mpaka anamaliza six 2009 Baada ya kuresit na kuenda advance na kumalizia ... Lakini alivyomaliza tu kutoka vijijini huko walipomficha alinitafuta ... Na niliangaika sana kumtafuta ... Kaka Yake Mmoja ndio alikuwa anatukonect Kwa simu akienda... We mzeee ...
 
Mbona gafla mkuuu? Kweli kitandani unamtimizia mkeo? Nachojua mwanamke kama matumizi ya familiya hayasumbui na kitandani shoo unaiweza hawezi kukulete dhalau.
Katika ulimwengu wako wa mapenzi ushakojoza wanawake wangapi!!? Tuanzie Hapo.... Kuwa mkweli halafu nikwambie ukweli wa maisha ...acheni mboyoyo mingi... Maisha ni Amani ,Uhuru na Ukweli ...katika yote ufanyayo.....
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Mkuu
Pole kwa changamoto.

Rudi kwa mkeo ukale mzigo yaishe.

Halafu ubwege wa kujifunga na mke mmoja unaweza kufa kwa presha.

Wewe kuwa na mchepuko wako mmoja unaojielewa kisha endeleza maisha
 
Hua tunawaambia kuoa mwanamke mwenye kiajira ni kujitia kitanzi hamsikii, hao wana jeuri mpaka haifai
Alikuwa na ajira kada ya chini sana ... Mhudumu... Nikamsomesha Qt Akapata credit... Nikamsomesha tena ma maendeleo ya jamii Bweri Musoma ... Sasa napishana naye kwenye vikao ..na Kwa uzoefu wangu akapata mradi wa ukimiwi... Sasa amekutana na viongozi nimemuonyesha njia ... Amenidharau.. sasa... Mimi SI mkongwe ...nilipoenda kufungua shitaka la kuvunja ndoa akalisikia ... Ndio anahangaika ... Miaka 12/3 kazini... Nikae KIZEMBE ....
 
We Mzee ... Mwanamke anakuita mjinga,mpumbavu mbele za watu .. umemjengea , umempa Biashara ,umemsomesha... na alikuwa mhudumu tu wa ofisi ... Umemuwezesha pote huko ... Ya Nini ... Bahati mbaya nimesomesha maendeleo ya jamii na yupo ustawi anajifanya anajua haki za wanawake
..nimemwambia haya yote hayo Hapo .chukua .... Hataki anataka turudiane wakati Mimi sitaki hizo dharau.





.
Umewai kumkata makofi mawili matatu hata siku moja mkuu?
 
Nakumbuka Kuna jamaa mmoja alimwachia mkewe kila kitu yaan akaondoka zero kabisa ( sababu ilikuwa mkewe alikuwa na mchepuko pia jamaa kazi yake haikuwa stable .akaenda kuanza maisha mapya aisee .MUNGU akamfungulia milango jamaa akapata kazi kubwa Sana akaoa mke mwingine akajenga mjengo wa maana hapa Dar na Hadi Sasa anatembelea zile gari DT Dobie nadhani mmezielewa. Sasa mwanamke Saiv Hana mbele wala nyuma hakumbuki kutengeneza hata nywele..Yale Yale anaenda kwa ndugu wa jamaa kuomba eti warudiane..wakati jamaa kashapata mtu mwingine
Kaka huyu nimemshape ... Baadae Ameonekana mzuri ameniletea dharau... Eti tumechuma wote... Nkamwambia haya Mali ni hizo ... Chukua ....naondoka .... Sitaki dharau... Viwanja viwili kwimba ..ni milioni 1.5- 2 ... Wakati nna maeneo anapataga tu Hela hajui....
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Kaka yangu
Aliacha kila kitu baada ya kufumania mke wake ndani kwake.Akiliwa kiboga..
Usiku ule 2016 alipoka kwake hakuwahi kurudi mpaka leo hii.
Yupo zake alipo anaendeleza maisha yake aliyoyaamua kuishi pasipo kudhuru wa kuharibu maisha ya aliyemfumania.

Nakueleza..hatua uliyofikia kaa mbali.Hapo sheteni akiwakalia sawa lazima mje kuchinjana.
Mwamba kuna wanawake wazuri kinyama huku duniani.
Amka hapo ulipo lala..kimbia mbali sana. Kabla ya hilo pepo halijakuletea matatizo mchana kweupe.
 
Umewai kumkata makofi mawili matatu hata siku moja mkuu?
Nilikuwambia Kuna thread Moja humu nilishaelezea tukio hilo ... Nilipiga kofi nikarudi na kelbu...... Unajua Mimi ni Mkwaya ... Kabila letu haliruhisu kabisa kupiga mwanamke...ukipiga mwanamke laana itayokukuta ... Ndio maana Bukwaya inapotea ... Kwa watu wa Mara wanajua ... Sisi ni WAGANGAJI ....
 
Kaka yangu
Aliacha kila kitu baada ya kufumania mke wake ndani kwake.Akiliwa kiboga..
Usiku ule 2016 alipoka kwake hakuwahi kurudi mpaka leo hii.
Yupo zake alipo anaendeleza maisha yake aliyoyaamua kuishi pasipo kudhuru wa kuharibu maisha ya aliyemfumania.

Nakueleza..hatua uliyofikia kaa mbali.Hapo sheteni akiwakalia sawa lazima mje kuchinjana.
Mwamba kuna wanawake wazuri kinyama huku duniani.
Amka hapo ulipo lala..kimbia mbali sana. Kabla ya hilo pepo halijakuletea matatizo mchana kweupe.
Ndi maana nimeomba uhamisho wa kujilipia ... Niondoke eneo hili... Nafikri umenielewa...
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Mkuu usijari kuhusu mali mimi nina baba angu mdogo aliacha kila kitu na akaenda kuanza maisha mbali huko mkoa wa ruvuma na amepambana na sasahv ana maisha mengine tena mazuri zaidi ya yale ya kwanza cha muhimu muombe mungu tuu afya mali hutafutwa tuu...hawa wanawake wa sasa ni wasumbufu sana
 
Kaka yangu
Aliacha kila kitu baada ya kufumania mke wake ndani kwake.Akiliwa kiboga..
Usiku ule 2016 alipoka kwake hakuwahi kurudi mpaka leo hii.
Yupo zake alipo anaendeleza maisha yake aliyoyaamua kuishi pasipo kudhuru wa kuharibu maisha ya aliyemfumania.

Nakueleza..hatua uliyofikia kaa mbali.Hapo sheteni akiwakalia sawa lazima mje kuchinjana.
Mwamba kuna wanawake wazuri kinyama huku duniani.
Amka hapo ulipo lala..kimbia mbali sana. Kabla ya hilo pepo halijakuletea matatizo mchana kweupe.
Mimi aliyekuwa mume wangu alikuwa analeta mchepuko hadi ndani mimi nikiwa safarini. Akashawishiwa na mchepuko wakauza gari yangu. Nyumba tulijenga wote. Lakini nikamuachia kila kitu nikaanza upya mwaka 2015. Mchepuko akaja kumkimbia na sasa yupo tu maisha yanapiga. Amani ya mwili na moyo ni muhimu sana. Ukiendelea kubaki kwenye ndoa ya mateso utaishia kupata msongo wa mawazo
 
Back
Top Bottom