Nimemwachia mali zote, naanza upya

Nimemwachia mali zote, naanza upya

Ndugu zangu Offisho_Kid na Uchira 1 ukimsoma huyu mwamba inaonyesha yupo kwenye "Maumivu makubwa ya roho na moyo"

Unaweza kumuona kwa nje yupo ""smart na vizuri and so on"" ila kiuhalisia mwamba anateketea rohoni.

Siku hizi Kuna ma feminist wengi sanaa wanaojiona wameelimika na wanaweza ku control wanaume.
Ole wako ukutane nao Hawa...!!!!!

In the second side, Ukiwauliza Espy Atoto Noelia et al., (2020) Wana msemo wao ""Ndoa ni kwa wanaume wenye akili"" ila sijui kama wanao olewa nao wanatakiwa kuwa na akili..!!

Hapohapo uki "cite" hizo post mbili hapo juu za mwamba, utaona kuwa huyu jamaa alijitoa kwa moyo na pesa ili mke wake aridhike ila badala yake kawa mwiba.

Huyu ndio wale walioambiwa "mwenye kuoa ndio ana akili" basi na yeye akajifanya ana akili na kuoa ila LEO YAMEMKUTA.

Ndugu yangu Mtoto wa nzi Mimi ni mtumishi mwenzako mwenye miaka 32 na miaka 10 Utumishini.

Inaweza kuwa umenipita miaka (umri) na muda wa Ajira au "the vice versa".

Ndugu, katika jambo ambalo nasisitiza na naendelea kusisitiza kwa watumishi wenzangu ni kwamba USIOE USIOE USIOE.

Una mshahara na muda, basi tafuta biashara au uwekezaji "and go for it".
Tafuta hela uishi maisha yako.
Pesa itakupeleka kokote utakako, hata huko kwa Mungu ukitaka kwenda ni rahisi kwenda kama una pesa. Si utakua unatoa sadaka na zaka na kusaidia wahitaji?

Sasa mnaoa ili mtafute nini? MTAKUFAAA.
Mambo ya kuweka mtoto wa watu ndani ili aje kukuumiza na kukutoa roho "Ya nini yote?"

Wanawake wa siku hizi wamefundishwa haki sawa.
Na hili wameli-apply kwenye kila kitu.

Ukitaka kufa mapema dunia ya sasa WE OA.

Ma-feminist WATAWAUAAAA.

Nimemaliza.

Mwenye sikio na asikie.

#YNWA
Sijawahi kukupinga mzee, tupo pamoja sana #YNWA
 
Yaani... Alikuwa demu wangu wa kwanza kabisa ..nilimpenda na nampenda sana ..anajua hilo... Ndio nikasema to make story short .. nafaulu form four 2003 .. yeye anafeli .... miaka 9 mbele namkuta nilipoajiliwa ... Nikamsaidia kuajiliwa kama mhudumu na nikamsaidia kusoma maana nilimpenda sana.. daaah .... Na nikafunga naye ndoa 2016...... hamjui tu maumivu ...nimeomba uhamisho niondoke kabisa hili eneo....
Wakuu, wakati tunasoma hii comment naomba tuangalie na avatar ya mtoa uzi, tupate picha kamili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
We Mzee ... Mwanamke anakuita mjinga,mpumbavu mbele za watu .. umemjengea , umempa Biashara ,umemsomesha... na alikuwa mhudumu tu wa ofisi ... Umemuwezesha pote huko ... Ya Nini ... Bahati mbaya nimesomesha maendeleo ya jamii na yupo ustawi anajifanya anajua haki za wanawake
..nimemwambia haya yote hayo Hapo .chukua .... Hataki anataka turudiane wakati Mimi sitaki hizo dharau.





.
Huko ustawi huko, akili zao zinawehuka kifupi wana ujinga mwingi.
 
Mara zote wanaume wanaofikia maamuzi hayo huwaga hawarudigi nyuma kujua waliokuwa wake zao wanatembea na nani,nisha washudia wawili, mmoja alimfumania mkewe walikuwa na nyumba tatu akamwambia ktk nyumba zile achague
Ni kweli, hakuna kung'ang'ania mali, amani ya moyo ni muhimu zaidi. Mimi ni ke, niliondoka nikaacha kila kitu nikaenda kupanga. Nikamuacha na mchepuko wake. Sasa hivi hata huo mchepuko hayuko naye tena. Mungu hufungua neema kama wewe ndio uliyeonewa huwa anakuwa upande wako.
 
Mara zote wanaume wanaofikia maamuzi hayo huwaga hawarudigi nyuma kujua waliokuwa wake zao wanatembea na nani,nisha washudia wawili, mmoja alimfumania mkewe walikuwa na nyumba tatu akamwambia ktk nyumba zile achague nyumba mbili amwachie moja, kuhusu magari akamwachia yote. Mwana sasa hivi anadunda na maisha yake mengine.

Huyu mwengine hakuwa na nyumba ila alipanga,alimfumania mke wake mara mbili mara kwanza akamsamehe sababu tu wana mtoto mara ya pili, akaamua bora waachane mwanamke naye akamjibu mananeno ya hovyo na kumwambia wagawane vitu, jamaa akamwambia chukua vitu vyote, demu akaamua kuchukua kila kitu hakubakisha hata kijiko.
Jamaa jioni akaenda kuomba mkeka kwa kaka yake ndio kikawa kitanda chake .Sasa mwana yupo vizuri, ila yule mwanamke akayumba mpaka nae akawana anaenda kujiuza Riverside.

Pili wanawake wapo wengi yanini kung'ang'ania mwisho wake ndie yale yaliyotokea Mwanza.Hela ipo inatafutwa ila sio uhai kama fighter hela sio issue kabisa kuipata.

[emoji1434][emoji1434]
 
Leo la Feminist Movement ni kuhakikisha kuoana kwa Me na Ke kunakufa Duniani kote . Nina uhakika 100% Wanawake wengi hawajui agenda za siri zilizojificha nyuma ya mwamvuli wa HAKI ZA BINADAMU , Mf usawa wa kijinsia mara hamsini kwa hamsini . Na walivyokuwa na Raisi mwanamke ndiyo kabisaa .

Ila Aminini nawambia mpango wa Shetani kupitia hizo harakati zenu ni Total Destruction of Mariages World Wide via Feminist Movements. Am done but coming back to you my Dear , the decision you made you ashame all Men
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Kwanini hutaki mazungumzo, kwenye mazungumzo hakuna kinachoshindikana. Huenda na yeye ana Malalamiko mengi dhidi yako, kaeni chini mzungumze kwa nia ya kuyamaliza.

Ukitanguliza hasira utakosa mke na mali, wakati sababu ulizotoa unaweza kukutana nazo sehemu nyingine.
Wakati mwingine huwa hatuoni makosa yetu tunaona ya wengine.
 
Kwanini hutaki mazungumzo, kwenye mazungumzo hakuna kinachoshindikana. Huenda na yeye ana Malalamiko mengi dhidi yako, kaeni chini mzungumze kwa nia ya kuyamaliza.
Ukitanguliza hasira utakosa mke na mali, wakati sababu ulizotoa unaweza kukutana nazo sehemu nyingine.
Wakati mwingine huwa hatuoni makosa yetu tunaona ya wengine.
Mke wa nini sasa kama hakuheshimu ... mali si kamuachia , sasa mazungumzo ya nini sasa...
 
Pole sana mkuu. Subiri feminist waje kukuambia hizo ni changamoto ndogo tu katika ndoa na kwamba ili uonyeshe uanaume wako ulitakiwa upambane nae msuluhishe muendelee kujenga familia.

Mimi natoka kidogo ntakuja kuchangia baadae
.
.
.
Nimerudi. Wanawake sijui nani kawaroga siku hizi. Nahisi hawa mashosti wa saluni, ofisini na vikoba wanawaharibu sana.

Juzi nilikua nimeenda mgahawa flani hivi karibu na hapa kitaa. Pembeni kuna kasaluni ka kike mbele wamekaa wale masela wanaowapaka rangi madem pamoja na kuwasugua sugua miguu (kwa wakazi wa dar mtakua mnanielewa) aisee story walizokua wanapiga ni aibu tupu. Kuna mdada namjua kabisa ameolewa anawahadithia mambo yake ya chumbani na mumewe mashosti zake ambao asilimia kubwa pale ni masingo maza na wameshapoteza muelekeo wa kua na waume wa kuwaoa. Wengine wanamshauri "heee mie mwanaume hanipelekeshi hivyo shosti! Yani nimechoka zangu na kazi eti anilazimishe nimfulie manguo yake! Kah mlioolewa mna kazi! Si amtafute tu beki tatu!" Wakaanza kujichekesha kinafki.. Mwengine anadakia, "shosti yani ww pambana na watoto wako huyo bwana pasua kichwa wa nini na una kazi yako mamii! Tafuta mchepu akupunguzie stress! Siku hizi haki sawa akikuletea za kuleta unampeleka dawati la jinsia.. Kwisha habari yake!!!"

Daaah! Nikajisemea kwa hali hii mabachela tuna kazi sana kumpata mwanamke anaejitambua na kutambua majukumu ya ndoa..

Nakumbuka dingi yangu mdogo alikua na mke na watoto wawili, mjengo na usafiri wa kutembelea na biashara iliyosimama. Lakini alikimbia mji wake na kutokomea mikoani kuanza upya. Ndugu walikua wanaponda sana kile kitendo kiasi kila mtu alikua anamchukia kwa yale maamuzi. Wahenga waliosema kua uyaone hawakukosea. Sasa ndio nimekua nimeanza kumuelewa dingilai!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Achechee achechee
 
Yaani... Alikuwa demu wangu wa kwanza kabisa ..nilimpenda na nampenda sana ..anajua hilo... Ndio nikasema to make story short .. nafaulu form four 2003 .. yeye anafeli .... miaka 9 mbele namkuta nilipoajiliwa ... Nikamsaidia kuajiliwa kama mhudumu na nikamsaidia kusoma maana nilimpenda sana.. daaah .... Na nikafunga naye ndoa 2016...... hamjui tu maumivu ...nimeomba uhamisho niondoke kabisa hili eneo....
Mungu akutie nguvu na Maombi yanaitajika Sana kwenye ndoa za Sasa ivi.
 
Kunywa maji

Shusha hasira

Kaa na mkeo.mzungumze

Akwambie yanayomkwaza na wewe useme yanayokukwaza

Ndoa ni wawili

Kwa njni muache issue zenu zisambae kwa ndugu wachungaji na jamaa

Kuna sababu akawa anakunyima kuwavtayari kumsikiliza

Umpe nawewe za kwako

Muamue kwa pamoja kuyajenga

Ndoa sio lele mama ndugu. Na hasa kama mna watoto.

Kuna kipindi unaweza kumuangalia mwenzio ukawaza hii ng'ombe umeitoa wapi!!!
Ushauri wa hovyo
 
Ukiona hivyo vitu wana viepuka,si umeona kilicho tokea Mwanza,ogopa kulundika hasira kwani kuna siku utakitimiza kili ulichokuwa unakifikiria kipindi ukiwa na hasira.
Sasa ungeona bora amuachie huyo malaya mali zote siyo? Uamuzi aliochukua ni wa DUME la mbegu!
Swela muyaa!
 
Sasa ungeona bora amuachie huyo malaya mali zote siyo? Uamuzi aliochukua ni wa DUME la mbegu!
Swela muyaa!
Sawa hela inatafutwa kwa mtu anayejua kutafuta hela sio issue na si kujitoa uhai.
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Mimi ningekushauri uuze Mali zote mgawane hela then ujiondokee....atakayechezea zake shauri yake. Wanaume siku hizi sijui tunafeli wapi. Msiwaruhusu hawa wanawake watutawale....hakika tutajuta. Kazeni
 
Yaani... Alikuwa demu wangu wa kwanza kabisa ..nilimpenda na nampenda sana ..anajua hilo... Ndio nikasema to make story short .. nafaulu form four 2003 .. yeye anafeli .... miaka 9 mbele namkuta nilipoajiliwa ... Nikamsaidia kuajiliwa kama mhudumu na nikamsaidia kusoma maana nilimpenda sana.. daaah .... Na nikafunga naye ndoa 2016...... hamjui tu maumivu ...nimeomba uhamisho niondoke kabisa hili eneo....
Pole sana kaka,dunia ya Sasa imekuwa shida kwa Hawa viumbe,Kuna mdogo wangu alipopata kazi nilimuonya sana kuoa mfanyakazi au kumsaifia apate kazi kwa matarajio ya kumuoa,kwa Sasa ananishukru sana.Shida kubwa walonayo hawajali utu wanajali Mali na kuona Wana haki ya Kila kitu,ukitegemea Ana pa kushika Kila mwezi hivyo hawna cha kupoteza.pole sana Anza upya cha msongi mwombe mungu.
 
Kwanini hutaki mazungumzo, kwenye mazungumzo hakuna kinachoshindikana. Huenda na yeye ana Malalamiko mengi dhidi yako, kaeni chini mzungumze kwa nia ya kuyamaliza.

Ukitanguliza hasira utakosa mke na mali, wakati sababu ulizotoa unaweza kukutana nazo sehemu nyingine.
Wakati mwingine huwa hatuoni makosa yetu tunaona ya wengine.
Mali nini babu we mbona unataka kuwa mfungwa wa mali. Ila kuna vitu watu wanasahau mkeo hatakiwi kukujua %100. Hilo ni kosa la kimkakati. Maana mwanamke akikuangalia anahc mafanikio matumain nk. Sasa akija kujua uwezo wako ulipoishia haon jipya kwako. Pili.

Mwanaume usiongee sana. Mwanamke lazima akuone uko serious kias flan japo umsikilize zaid. Lakin pia epuka life la kujionyesha hata kama umejaliwa. Mwanamke moyo wake wa uhitaji unatanuka kuendana na unavyomrahisishia mambo.
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ananionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Mtoto wa Inzi.

Ni mwezi na siku moja sasa umepita tunaomba updates...

Bado umekaza? Roho haijalainika? Hujamiss watoto? Mkeo kashaanza kupelekewa moto kama kawaida yake?
 
Bora ww mm nimejibiwa hivyo tyr
 

Attachments

  • SmartSelect_20220610-192204_Messages.jpg
    SmartSelect_20220610-192204_Messages.jpg
    12.5 KB · Views: 27
Back
Top Bottom