Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stori isiwe ndefu.
Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na akae navyo.
Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.
Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ananionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.
Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki
Nimempa kila kitu nianze upya.
Mbona unakuwa fala wewe.Stori isiwe ndefu.
Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na akae navyo.
Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.
Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ananionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.
Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki
Nimempa kila kitu nianze upya.
We Mzee .. endelea kupiga puchu...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28]
Hata mama yako ni mwanamke!!?sijalielewa bado... !!? Mi nishatambuka reli nipo upande wa pili....Si tulishakubaliana hakuna kuoa
Hakuna kumwonea huruma mwanamke
Achana na wanawake fanya mambo yako wanawake ni wabinafsi hawana shukurani
Liverpool VPN ROBERT HERIEL The unpaid Seller njooni mumkanye jamaa huku kamsusia mwanamke mali kisha kakimbia
Ulitakaje labda!!?? Maana ulichojibu wewe ni mpumbavu zaidi na bwege hujitambui tu!!? Ulichoandika ulikisoma!!? Kabla ya kupost!!? Wajinga ni wengi na wewe ni Mmoja wao. . pole...Wewe ni kenge zee, lofa, faller, bwege mtozeni na jinga na puuzi, na ndiyo maana ulitukanwa hadharani. Mq..ndu wewe... Unawaaibisha me wenzako qima wewe. Mat@cle yako puuzi kabisa hili.
Alishakuona bwege na hakukupenda, alitaka umtimizie plan zake tu... Umenikera sana. Kwa nini uwe lofa kiasi hiki?
Kuwa mkweli unafanya kazi gani, na mnaishi wapi?
Wewe ni kenge zee, lofa, faller, bwege mtozeni na jinga na puuzi, na ndiyo maana ulitukanwa hadharani. Mq..ndu wewe... Unawaaibisha me wenzako qima wewe. Mat@cle yako puuzi kabisa hili.
Alishakuona bwege na hakukupenda, alitaka umtimizie plan zake tu... Umenikera sana. Kwa nini uwe lofa kiasi hiki?
Kuwa mkweli unafanya kazi gani, na mnaishi wapi?
Kijana umekimbia mke sasa unadhani wote tunapiga puchuuu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Acha utoto utakimbia wangapiii...We Mzee .. endelea kupiga puchu...
Bora baba. Ila punguza hasira. Kalia na msimamo wako huku ukiangalia speed yake. Itabidi tu uumpe nafasi ya pili. Ukiona habadiliki bwaga kabisaStori isiwe ndefu.
Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na akae navyo.
Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.
Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ananionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.
Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki
Nimempa kila kitu nianze upya.
Hujambo Rebecca?tuonane pmDuh, Pole sana Mkuu....
I'm comming mamii....Hujambo Rebecca?tuonane pm
Mkuu, wanawake wa zamani wakiwemo mama zetu hawakuwa na mambo ya haki sawa, hawakuwa na kupambania 50 kwa 50, walikuwa wakiwatii waume zao na walikuwa wanajua nini maana ya ndoa, sio hawa wa sasa, tupo kizazi cha digital mkuu, hawa wanawake wetu wa sasa wanapenda mapenzi ya tamthiliya, kupata mwanamke ambaye atakuwa na sifa za mama zetu ni kazi sana katika wanawake 100 utampata mmoja tuHata mama yako ni mwanamke!!?sijalielewa bado... !!? Mi nishatambuka reli nipo upande wa pili....
Mimi nimekomaa kiume 15 years mwisho nikaacha Kila kitu nikajidai nasafiri kikazi nikaenda kupangisha. Nikanunua simu nikamtumia mtoto wangu wa kwanza Ili tuwasiliane Niendelee kuangalia familia nikiwa ng'ambo Ile kuleMchanga huo unaongelea aina ya udongo au hatua za ukuaji!!?? Shukuru tu haujakutana na pasua kichwa ... Kuna watu wakubwa kabisa wanafunga ndoa hata mwaka haimalizi.... Nimekaa kwenye ndoa miaka 7 ilikuwa naenda wa 8 .... Unataka kusema nini sijaona !?? Jibanze Hapo mje kuuana....