Nimemwachia mali zote, naanza upya

Samahani Kwa kusema hili, asilimia kubwa ya wanawake mkiwa wachumba atakupa unyumba Kila unapotaka, wakishaolewa hutumia tendo la ndoa kufosi wanayoyataka na hutumia tendo la ndoa kama fimbo. Ni changamoto sana
 
Hujui unaloliongea,
 
Umeongea mambo ya maana sana chifu!
 
Nmepita Uzi wooote nkakuta umecomment hapo kati unasema alikusaliti..

Kama usaliti ulkuwepo basi ndo maana alikudharau na kukunyima haki Yako.

Pole lakini msaliti ni [emoji857]
Natumaini mnawalea watoto wenu vizuri Kwa Sasa.
 
Natamani kujua maendkeo Yako mkuu! Namaanisha feedback ...itatusaidia wengi!
 
Ndo ya mwaka 1, kuna mahali umeandika mna watoto 4 wakubwa, fafanua
 
Hii ni dalili ya udhaifu mkuu..
Kwamba upate ticket ya kujirudisha kwake kipindi maumivu ya kuachwa yakikuzidia.


Hakuna cha kumwachia asiliwe kizembe wala huruma uliyonayo..

Huna kauli ya kiume mbele ya mkeo.
 
Very simple yani.
..sitaki
..poa

Nageuza mgongo napiga usingizi wa kwenda, the next morning natuma text, "hi babez I've missed you, upo kweli?", baada ya hapo I know by 2200hrs nitakuwa nimemaliza haja za mwili.
Yes...don't force mzigo, akizingua nageuka ukutani
 
1. Usimsomeshe mwanamke tena kabla hujamweka ndani
2. Isimfungulie biashara kabla hajawa ndani.

Hii namba 2 ilinikuta iliniuma sana
 
Alikuwa mwanamke maskini sana
 
Kuna wakati sheria za dini hazi apply unalazimika kutumia sheria zako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…