Nimemwambia nibebee Mimba ili nikuoe hataki

Nimemwambia nibebee Mimba ili nikuoe hataki

Kundi la wanaume linazidi kupungua tu. Yan mwanaume mzima unatumia kauli ya "wajaza choo" na dada zako wasemeje?

Yaani wewe bado ujui kitu chochote kuhusu maswala ya uzazi kama ungekuwa unajua ungemchua ukapime hospital ili ujue kama ni tasa ama la.

Na unahisi wanawake tu ndio matasa? Vip kama ww ndio ukiwa na tatzo na yeye akukimbie kwa kumjazia choo(kama unavyo sema) ama?

Unataka kumpima kwa kigezo cha kubeba mimba ili ujue kama ni mzima je unajua kuwa ata group za damu nazo zinaweza changia watu kutokuweza kupeana ujauzito (mimba zikaishi kuharibika kabla ya mda wake)?

Ebu jaribu kuficha ujinga bas. Huyo mwanamke wako ana akili sana kukuzidi
 
Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.

Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.

Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga Asa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
ww ni fufu. ww.masharti yako umebebeshe mimba halaf ndio uoe?
kwann usioe ndio umebebeshe mimba?

oh ni tasa ? ulisha mpima ukajua ni tasa? au story za kusadikika.

kuna dalili kubwa sana za kumkimbia huyo dada. hakuna cha utasa wala nn. hila zako tu.

mwisho. WW SI MUOAJI NI KANJANJA TU.
 
Kundi la wanaume linazidi kupungua tu. Yan mwanaume mzima unatumia kauli ya "wajaza choo" na dada zako wasemeje?
Yan ww bado ujui kitu chochote kuhusu maswala ya uzazi kama ungekuwa unajua ungemchua ukapime hospital ili ujue kama ni tasa ama la.
Na Unahisi wanawake tu ndio matasa? Vip kama ww ndio ukiwa na tatzo na yeye akukimbie kwa kumjazia choo(kama unavyo sema) ama?
Unataka kumpima kwa kigezo cha kubeba mimba ili ujue kama ni mzima je unajua kuwa ata group za damu nazo zinaweza changia watu kutokuweza kupeana ujauzito (mimba zikaishi kuharibika kabla ya mda wake)?

Ebu jaribu kuficha ujinga bas. Huyo mwanamke wako ana akili sana kukuzidi
Mkuu tumeshituka hatutaki kukulupuka for now
Pia usiviamini vpmo vya hospitali
 
We kweli Akili hunaa...unamwambia hivo kabisaa...Mjengeee uaminifu akuamini then Tia mimba kimya kimya halafu akishakwambia tu kuwa ana mimba husikawie anza process apo apo ili uzidi kumjengea imani ila sio kuja apa kulalamika
Nakazia mkuu ahsante kwa mbinu hii
Ila umekosea sana kuniambia sina akili
 
Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.

Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.

Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga Asa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Mawazo yako ni ya kutupwa dampo
Nina Mashaka na uwezo wako wa kufikiria
Yawezekana uyo Mwanamke amefaham kichwa chako kibovu
 
Umbebeshe mimba umkimbie
Nenda kampime hospital utajua
 
Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.

Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.

Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga Asa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.

Lugha yako ni mbaya hata inatia ukakasi...
Namuunga mkono huyo Binti kwa Asilimia 100%, Asithubutu kujaribu huo mchezo
WEWE kama unataka wadada wanao zaa, mbona wapo warembo mtaani wamezaa na wapo tayari kuolewa?
kwa ushauri ungeweza kupost hivi; NAHITAJI MSICHANA WAKUOA MWENYE MTOTO
 
Mimi kama katibu mkuu wa wanaume timamu kichwani..

Naomba bwana mbalizi1 msajili na mshika orodha yetu mr Ushimen wakucheki kama upo kwetu, nina mashaka na wewe..

Na kama upo ndugu wajumbe wa kudumu, kiitwe kikao ujadiliwe fasta
Lee Mwifwa Obe mrangi na wengineo wakujadili..
Bila kukosa mwenyekiti na washauri wake

Pia mr Mshana Jr athibitishe kuwa hujapigwa ulozi.
Kwakweli mleta mada hayumo katika orodha yetu. Sijui kala maharage ya wapi aseee
 
Hatukatai mabinti wanaokula vidonge mpaka kuharibu kizazi au kutoa mimba mpaka kizazi kutoka kabisa wapo, ila inapofika swala la kuoa hapo ni kumuomba mungu tu maana kupata mtoto ni Mungu ndiye anatupatia.

Mimi ni kijana kama wewe sijaoa ingawa umri unakwenda kasi, lakini nimeshuhudia kisi kibao mtaani jamaa anaoa mke anachelewa kuzaa kama miaka miwili hivi, wanaamua kuachana harafu yule mwanamke anaolewa kwingine na anafika anapata mimba mwezi huo huo,

Naomba nikufundishe kitu, ondoa hofu ya mwanake kuwa tasa mara mgumba, iko hivi, unaweza ukamuoa mwanamke kumbe yeye anagroup 0 ya damu na wewe una 0+ ya damu, hapo kupata mtoto mtachelewa sana.

Pia kuna wewe mwanaume kutoa mbegu chache sana na zisizo na ubora wa kutungisha Mimba,

Nadhani umenielewa au niendelee
 
Hatukatai mabinti wanaokula vidonge mpaka kuharibu kizazi au kutoa mimba mpaka kizazi kutoka kabisa wapo, ila inapofika swala la kuoa hapo ni kumuomba mungu tu maana kupata mtoto ni Mungu ndiye anatupatia,
Mimi ni kijana kama wewe sijaoa ingawa umri unakwenda kasi, lakini nimeshuhudia kisi kibao mtaani jamaa anaoa mke anachelewa kuzaa kama miaka miwili hivi, wanaamua kuachana harafu yule mwanamke anaolewa kwingine na anafika anapata mimba mwezi huo huo,

Naomba nikufundishe kitu, ondoa hofu ya mwanake kuwa tasa mara mgumba, iko hivi, unaweza ukamuoa mwanamke kumbe yeye anagroup 0 ya damu na wewe una 0+ ya damu, hapo kupata mtoto mtachelewa sana,
Pia kuna wewe mwanaume kutoa mbegu chache sana na zisizo na ubora wa kutungisha Mimba,

Nadhani umenielewa au niendelee
Bila shaka greatthinker
 
Back
Top Bottom