Nimemwambia nibebee Mimba ili nikuoe hataki

Nimemwambia nibebee Mimba ili nikuoe hataki

Lugha yako ni mbaya hata inatia ukakasi...
Namuunga mkono huyo Binti kwa Asilimia 100%, Asithubutu kujaribu huo mchezo
WEWE kama unataka wadada wanao zaa, mbona wapo warembo mtaani wamezaa na wapo tayari kuolewa?
kwa ushauri ungeweza kupost hivi; NAHITAJI MSICHANA WAKUOA MWENYE MTOTO
You means single Maza siyo? Mkuu hebu kuwa seriouse
 
Una mtazamo na uelewa hafifu sana juu ya suala zima la afya ya uzazi. Wewe umepima un uhakika kwamba una uwezo wa kumpa mimba mwanamke? Maana wengine huwa wanatukana wanawake zao kuwa wanajaza choo tu, kumbe wao ndo wajaza choo, maana hawana uwezo wa kumjaza mimba mwanamke.
Matatizo ya kutopata watoto kwenye ndoa/mahusiano kulingana na tafiti zinaonyesha kuwa husababishwa na sababu za mwanaume kwa asilimia 50.
Kwa hiyo kabla hujaanza kulaumu wadada wa watu nakushauri nenda kapime wewe kwanza.
By the way, mwanamke atakaekubaliana na hilo sharti lako na yeye atakua ni zoba tu. Ila uzuri mazoba wako wengi siku hizi, so utampata tu wa kufanana naye.
Sawa mkuu nashukuru kwa hii hoja yako acha niendelee kupma maji bahari kwa kijiti
 
Mimi kama katibu mkuu wa wanaume timamu kichwani..

Naomba bwana mbalizi1 msajili na mshika orodha yetu mr Ushimen wakucheki kama upo kwetu, nina mashaka na wewe..

Na kama upo ndugu wajumbe wa kudumu, kiitwe kikao ujadiliwe fasta
Lee Mwifwa Obe mrangi na wengineo wakujadili..
Bila kukosa mwenyekiti na washauri wake

Pia mr Mshana Jr athibitishe kuwa hujapigwa ulozi.
Mkuu umenitusi kisailensa
 
Hata hivyo una mdomo mchafu, mwanaume gani una maneno magumu kiasi hicho? Ati atajaza choo? Na wewe utakuwa unajisaidia wapi?
Lugha chafu ipi nimetumia mkuu?
Wee hujui maana ya kujaza choo au unadhani ni kwenda tuuu chooni.
 
Kauli kama hii hutolewa na washenzi wa tabia....Hujui zama hizi wanaume wajaza choo wameongezeka...

Jiangalie
Mkuu tambua kupanga nikuchagua au unataka niingie mkenge nianze kuzunguka kwa waganga
 
Mwanangu hukutumia busara. Ulidhani yeye ni kifaa na si mtu? Kama unamaanisha usemacho, kwanini usioe na kuzaa kukafuatia? Hivi baba yako angemzalisha mama yako bila ndoa si ungekuwa mwanaharamu wewe?
Mkuu mimi nimtoto wa nje ya ndoa
 
Back
Top Bottom