ww ni fufu. ww.masharti yako umebebeshe mimba halaf ndio uoe?Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga Asa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Mkuu tumeshituka hatutaki kukulupuka for nowKundi la wanaume linazidi kupungua tu. Yan mwanaume mzima unatumia kauli ya "wajaza choo" na dada zako wasemeje?
Yan ww bado ujui kitu chochote kuhusu maswala ya uzazi kama ungekuwa unajua ungemchua ukapime hospital ili ujue kama ni tasa ama la.
Na Unahisi wanawake tu ndio matasa? Vip kama ww ndio ukiwa na tatzo na yeye akukimbie kwa kumjazia choo(kama unavyo sema) ama?
Unataka kumpima kwa kigezo cha kubeba mimba ili ujue kama ni mzima je unajua kuwa ata group za damu nazo zinaweza changia watu kutokuweza kupeana ujauzito (mimba zikaishi kuharibika kabla ya mda wake)?
Ebu jaribu kuficha ujinga bas. Huyo mwanamke wako ana akili sana kukuzidi
Maybe haitaki ndoaKama huyo binti anajielewa, umeshapoteza sifa za kua naye
Ipo yakumwagaImani hakuna siku hizi
Nakazia mkuu ahsante kwa mbinu hiiWe kweli Akili hunaa...unamwambia hivo kabisaa...Mjengeee uaminifu akuamini then Tia mimba kimya kimya halafu akishakwambia tu kuwa ana mimba husikawie anza process apo apo ili uzidi kumjengea imani ila sio kuja apa kulalamika
Sasa utajuaje kuwa yeye ndio mwenye matatizo?Mkuu tumeshituka hatutaki kukulupuka for now
Pia usiviamini vpmo vya hospitali
Mawazo yako ni ya kutupwa dampoWakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga Asa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Wewe ni mjinga.Maybe haitaki ndoa
Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuowa mwanamke tasa mjaza choo matokeo yake inakua mzozo kwa ndugu na jamaa kwamba kwanini umeowa gumba.
Mabinti acheni kuchezea bahati wenzenu wanazisaka ndoa kwa waganga Asa endeleeni kushikwa akili na mama zenu.
Hii dharau umeitoa wapi mtoto wa kiume!!!??hatutaki kuoa matasa mwishowe wanaishia kujaza choo tuu
Kwakweli mleta mada hayumo katika orodha yetu. Sijui kala maharage ya wapi aseeeMimi kama katibu mkuu wa wanaume timamu kichwani..
Naomba bwana mbalizi1 msajili na mshika orodha yetu mr Ushimen wakucheki kama upo kwetu, nina mashaka na wewe..
Na kama upo ndugu wajumbe wa kudumu, kiitwe kikao ujadiliwe fasta
Lee Mwifwa Obe mrangi na wengineo wakujadili..
Bila kukosa mwenyekiti na washauri wake
Pia mr Mshana Jr athibitishe kuwa hujapigwa ulozi.
Mkuu punguza ukali wa manenoWewe ni mjinga.
Ndiyo hao wamesisitiza nifanye hivyoHii dharau umeitoa wapi mtoto wa kiume!!!??
Haya yanasemwaga na akina mawifi wenye gubu na mamawakwe
Bila shaka greatthinkerHatukatai mabinti wanaokula vidonge mpaka kuharibu kizazi au kutoa mimba mpaka kizazi kutoka kabisa wapo, ila inapofika swala la kuoa hapo ni kumuomba mungu tu maana kupata mtoto ni Mungu ndiye anatupatia,
Mimi ni kijana kama wewe sijaoa ingawa umri unakwenda kasi, lakini nimeshuhudia kisi kibao mtaani jamaa anaoa mke anachelewa kuzaa kama miaka miwili hivi, wanaamua kuachana harafu yule mwanamke anaolewa kwingine na anafika anapata mimba mwezi huo huo,
Naomba nikufundishe kitu, ondoa hofu ya mwanake kuwa tasa mara mgumba, iko hivi, unaweza ukamuoa mwanamke kumbe yeye anagroup 0 ya damu na wewe una 0+ ya damu, hapo kupata mtoto mtachelewa sana,
Pia kuna wewe mwanaume kutoa mbegu chache sana na zisizo na ubora wa kutungisha Mimba,
Nadhani umenielewa au niendelee