Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
mostly mwamaume atakayekuja kusetle naye ni above her age ambaye alidivorce/mgane na ana watoto hivyo anahitaji mtu wa kumaliza naye life span.
hata akizaa na huyo kijana akaenda kwa wadogo wenzie atakuwa ameachiwa cha kumfariji.
tatizo wabongo kila kitu tunataka kumtwisha mzigo Mungu.
binti wa miaka 25 anaambiwa subiri Mungu atakuletea mume bora hata huyu anaambiwa asubiri? may be against her own biology.
word.
Hatutaki kukabiliana na ukweli!