mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Huwa mnalinga sana, dharau ma nyodo. Mkizeeka hata watoto wadogo mtataka wawaoe.
Khaa we bana weeee!! umenifanya niandike kitu wakati nilipanga kuwa msomaji tu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa mnalinga sana, dharau ma nyodo. Mkizeeka hata watoto wadogo mtataka wawaoe.
Pole sana my dada, kama mnapendana uamuzi ni wenu ila kama ndoa haiwezekani basi hata upate mtoto tu...pole
sure mkuu..muda ushamtupa mkonoHuwezi na hutakiwi kuwa selective dakika za majeruhi. Labda Kama mtu anaishi mbali na uhalisia wa mambo!
atakaetoa kibali cha yeye kupata ujauzito na kujifungua salama ndie huyo huyo atakaemlea mtoto, umri huo atapata mtoto japo possibility ya operation ni kubwaHuyo mtoto alelewe na nani?
Watu wakifikisha 44 watoto washamaliza Chuo na wa mwisho Form 1.
Hapo usizae tu maana hata ovaries zitakuwa zishaexpire.
Mtasababisha watoto waishi maisha ya shida maana kufa mtawahi kufa
mkuu yashakukuta nn?Huwa mnalinga sana, dharau ma nyodo. Mkizeeka hata watoto wadogo mtataka wawaoe.
Hivi miaka 44 wanazaa bila shida?
nafikiri ana wasiwasi akikuoa atapata watoto?
ndo maana anataka mzae kwanza
na wewe ukuendelea kusubiri utazaa na mika 50?
nafikiri huna choice...zaa nae hata asipokuoa angalau utakua na mtoto
tena zaa nae watoto wawili kwa haraka haraka halafu muache mwenyewe aamue kukuoa au kutokuoa.....
https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/855141-ana-kibamia-lakini-kilinitoa-machozi.html
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/848606-ameni-dump-kwa-mara-ya-pili.html
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-mume-wangu-kumbe-ugenini-unayaweza-hivi.html
https://www.jamiiforums.com/mahusia...uliza-mimi-na-mtoto-wake-tulikutana-wapi.html
hizo ni baadhi ya thread zako humu
bahati nzuti wengine humu huwa hatuchangii sana ila kumbu kumbu ya nani na lini alisema nini huwa tunayo...kwa kifupi acha kuharibu maisha ya kijana na pia acha kuchezea akili za wana mmu.....
atakaetoa kibali cha yeye kupata ujauzito na kujifungua salama ndie huyo huyo atakaemlea mtoto, umri huo atapata mtoto japo possibility ya operation ni kubwa
Hongera kwa shombo zako naona ulitoa rushwa kwa mungu akakujaalia hongera
mkuu yashakukuta nn?
Nna miaka 50 sina hata boifrendi....eeeh hivo yaniInaonesha we nae uko kwenye hilo kundi.
Maana umekuja juu sana
.
Umri wangu ni miaka 44, sijaolewa na sina mtoto. Ninafanya kazi katika taasisi ya serikali, mwanzoni mwa mwaka huu nilipelekwa semina kwa wiki moja. Tukiwa kule kiti changu kilikuwa karibu na kiti cha kijana mmoja, mrefu, nadhifu, mcheshi. Tulifikia hoteli moja, baada ya siku tatu tulishabadishana number za simu maana tuliweza kuelekezana migahawa mizuri kwa chakula. Semina iliisha Ijumaa na tuligwa kwa tafrija baada ya hapo kila mtu aliekea alikotoka.
Mimi na kijana tuliendelea kuwasiliana kwenye whatsApp, imefikia katika hali kuwa, nikiamka asubuhi lazima tusalimiane, tunabadishana picha za lunch, usiku ndio kabisa tunachat masaa mawili-matatu. Ilitokea nikamuuliza hivi unahisi mimi ninamiaka mingapi? Akajibu 28, nilicheka, nikaamua kukaa kimya. Moyo wangu umempenda sana, sasa lakini niliamua kumueleza ukweli. Alistuka na kukaa kimya, nikajua basi ameshaondoka. Kesho yake alinipigia simu akaniuliza kama nilishawahi kuolewa, je ninamtoto. Akajibu umri kwake sio tatizo. Yeye anamiaka 31, anakazi nzuri sana.
Weekend iliyopita alikuja kunitembelea, alifika Jumamosi asubuhi, kwasababu bado tunafahamiana alichukua hoteli mjini, alikuja kwangu jioni, tulikaa tukaongea mpaka saa nane usiku, akaondoka kurudi hotelini kwake, kesho yake alirudi kwake. Dada yangu mkubwa ambae mtoto wake wa kwanza anamiaka 29 ameniambia nimuache kijana kwani ni sawa na mwanangu!! Kijana mwenyewe amekiri kuwa kwao wazazi wataleta zengwe, amenishauri tuzae kwanza kabla hajanipeleka kwao. Ushauri jamani.
Hivi miaka 44 wanazaa bila shida?
nafikiri ana wasiwasi akikuoa atapata watoto?
ndo maana anataka mzae kwanza
na wewe ukuendelea kusubiri utazaa na mika 50?
nafikiri huna choice...zaa nae hata asipokuoa angalau utakua na mtoto
tena zaa nae watoto wawili kwa haraka haraka halafu muache mwenyewe aamue kukuoa au kutokuoa.....
https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/855141-ana-kibamia-lakini-kilinitoa-machozi.html
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/848606-ameni-dump-kwa-mara-ya-pili.html
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-mume-wangu-kumbe-ugenini-unayaweza-hivi.html
https://www.jamiiforums.com/mahusia...uliza-mimi-na-mtoto-wake-tulikutana-wapi.html
hizo ni baadhi ya thread zako humu
bahati nzuti wengine humu huwa hatuchangii sana ila kumbu kumbu ya nani na lini alisema nini huwa tunayo...kwa kifupi acha kuharibu maisha ya kijana na pia acha kuchezea akili za wana mmu.....
Mkuu..mm mwenyewe nilikuwa najiuliza kama 44yrs kwa mwanamke anaweza kuzaa bila matatizo..ulaya sawa but huku Africa.!.kuwa makini..na nadhani ungeenda kwa daktari akakucheki akupe na advise kabisaa..I hope sasa huna jinsi umefikia the point of no return..doctor akisema upo ok wewe zaa..sidhani kama utashindwa kumlea mtt hata kama ataingia mitini!
Uckubali kuzaaa mama angu ohooo