kiborinangari
Member
- Apr 24, 2015
- 90
- 23
Age is a number lov dnt cost a thing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Age is a number lov dnt cost a thing
Teh..umeanza lini wivu. Wajua siku zote nakupenda vile najua huna wivu..!
Biblia ni tabu lilijaa urongo mwingi, siku nyingine usiinukuu kwenye mambo ya msingi. Pole kwa hiyo changamoto... Ushauri wangu ni kuwa usiendeshwe sana na umuhimu wa kuzaa, mnaweza kuasii mtoto kisheria na maisha yakasonga.Kumbuka Sarah alizaa uzeeni. Sikupenda iwe hivi, nilipanga niolewe watoto niwazae kwenye ndoa.
Mwache mtoto wa watu!
Ungekuwa bibi au babu kama mie ungenielewa. Ila ukiendekeza upofu jiandae kwa majuto.
Nimetaka kumwambia the same, wazee tunaelewa.
Zombie anakusalimu.
Kama anakupenda kwa dhati mwambie utazalia ukiwa kwenye ndoa maana usikute shida yake ni mtoto kutoka kwako. Halafu jambo jingine imekuwaje unafikia 44 bila kuwa na mume?
unasubiri nn? we zaa nae akuoe asikuoe safi tu.hebu ona unazaa una miaka 45, ukistaafu miaka 60 mtoto ana 15yrs form 1. unakulakula penshen miaka 63 anamaliza f4. f6 na chuo hapo lazima uombe msaada wa kumsomesha maana pensheni ishaisha, lakini ndie atakae kulea uzeeni we zaa nae tu.
Mimi pia dada angu nakushauri uzae nae. Huna sababu ya kuomba hata ushauri kwani wengi tutakukwaza sana kusema wewe mkubwa na wakati mwingine haifai kusema hivyo. Mungu ana kila sababu juu ya maisha yako.
Hakuna kinachofaa machoni mwa watu isipokuwa angalia moyo wako unakutuma wapi zaidi. Ninachoweza kukuambia ni kuwa: unavyojisikia amani fanya hivyo otherwise utakuja kupoteza bahati yako. Wahenga husema: bahati haiji mara mbili.
FIKIRIA THEN CHUKUA HATUA.
mi nlowazidi 3 yrs wakinitongoza natimua wewe kumi na kitu unajishauri???