Nimemzingua konda wa gari akaniita bachela. Muonekano wa bachela unatofautiana vipi na mwenye ndoa?

Nimemzingua konda wa gari akaniita bachela. Muonekano wa bachela unatofautiana vipi na mwenye ndoa?

Leo asubuhi nikapanda zile gari hapa daressalam al maarufu zinaitwa daladala konda akawa anamsumbua abiria wa kike hataki kumrudishia chenji yake ikabidi niingilie ule ugomvi kwa kumpiga konda mkwara mzito mwisho wa siku akaanza kulalamika kuwa yeye ana familia na mimi sina familia. Kwa kunitazama tu akaniita mimi ni bachela.

Hivi wakuu bachela muonekano wake uko vipi na mwenye familia muonekano wake uko vipi?
😂😂😂 Pole Sana mkuu bachera utoto mwingi Sasa sjui kakuonaje?
 
Leo asubuhi nikapanda zile gari hapa daressalam al maarufu zinaitwa daladala konda akawa anamsumbua abiria wa kike hataki kumrudishia chenji yake ikabidi niingilie ule ugomvi kwa kumpiga konda mkwara mzito mwisho wa siku akaanza kulalamika kuwa yeye ana familia na mimi sina familia. Kwa kunitazama tu akaniita mimi ni bachela.

Hivi wakuu bachela muonekano wake uko vipi na mwenye familia muonekano wake uko vipi?
Itakuwa jinsi unavyoongea.
Mtu mwenye familia lugha zake huwa si za kihuni kwa sababu watoto huwa wanakuza mwanaume.
Hapo most likely ni lugha uliyotumia kuuwasilisha mkwala.
Ungempiga mkwala wa TISS hapo asingekuita bachela.
 
Leo asubuhi nikapanda zile gari hapa daressalam al maarufu zinaitwa daladala konda akawa anamsumbua abiria wa kike hataki kumrudishia chenji yake ikabidi niingilie ule ugomvi kwa kumpiga konda mkwara mzito mwisho wa siku akaanza kulalamika kuwa yeye ana familia na mimi sina familia. Kwa kunitazama tu akaniita mimi ni bachela.

Hivi wakuu bachela muonekano wake uko vipi na mwenye familia muonekano wake uko vipi?
Mwizukulu?! kama sura yako ni kama ya huyo kwenye avatar yako basi hakuna namna, we ni bachela.
 
Bora ufikiriwe bachelor na una ndoa yako na mtoto kuliko kila ukipita uulizwe mke na watoto au familia haijambo na wakati huna. Inachoma zaidi ya pasi
 
Back
Top Bottom