Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
πππ Pole Sana mkuu bachera utoto mwingi Sasa sjui kakuonaje?Leo asubuhi nikapanda zile gari hapa daressalam al maarufu zinaitwa daladala konda akawa anamsumbua abiria wa kike hataki kumrudishia chenji yake ikabidi niingilie ule ugomvi kwa kumpiga konda mkwara mzito mwisho wa siku akaanza kulalamika kuwa yeye ana familia na mimi sina familia. Kwa kunitazama tu akaniita mimi ni bachela.
Hivi wakuu bachela muonekano wake uko vipi na mwenye familia muonekano wake uko vipi?
Muondoko unatambulishaHivi wakuu bachela muonekano wake uko vipi na mwenye familia muonekano wake uko vipi?
Itakuwa jinsi unavyoongea.Leo asubuhi nikapanda zile gari hapa daressalam al maarufu zinaitwa daladala konda akawa anamsumbua abiria wa kike hataki kumrudishia chenji yake ikabidi niingilie ule ugomvi kwa kumpiga konda mkwara mzito mwisho wa siku akaanza kulalamika kuwa yeye ana familia na mimi sina familia. Kwa kunitazama tu akaniita mimi ni bachela.
Hivi wakuu bachela muonekano wake uko vipi na mwenye familia muonekano wake uko vipi?
Mwizukulu?! kama sura yako ni kama ya huyo kwenye avatar yako basi hakuna namna, we ni bachela.Leo asubuhi nikapanda zile gari hapa daressalam al maarufu zinaitwa daladala konda akawa anamsumbua abiria wa kike hataki kumrudishia chenji yake ikabidi niingilie ule ugomvi kwa kumpiga konda mkwara mzito mwisho wa siku akaanza kulalamika kuwa yeye ana familia na mimi sina familia. Kwa kunitazama tu akaniita mimi ni bachela.
Hivi wakuu bachela muonekano wake uko vipi na mwenye familia muonekano wake uko vipi?
Watoto 6 mkuu wake wawiliUna familia? Tuanzie hapo kwanza.
Nipo mchakatoniTafuta helo,fekon used 700,000 uachane na dharau za makonda