Nimenasa kwenye ulimbo wa ndoa natamani kutoka nashindwa

Nimenasa kwenye ulimbo wa ndoa natamani kutoka nashindwa

Duh pole mkuu! Ila hajawahi kukwambia sababu kabisa? Ama alishawahi kukwambia before ukamuignore sababu ni vitu vidogo vidogo? Je ukimuuliza anakaa kimya au anajibu?. ila Huyo mwanamke naye aache gubu ,suluhisho ni kuongea, kuombana msahama na kusonga mbele. Kununiana siyo vizuri kwa ustawi wa familia.
Unaushauri mzuri ila kwako Sasa kinavyoumanaga! Unakifurushi Cha kuumana Cha mwaka mzima..🤣
Nawe sikuachi upite hivihivi zawadi yako hii hapa
 
Ukiona unakonda, kuumwa au kujiua kwaajili ya mapenzi ujue wewe ni bikra ila kwa wakurungwa wangeshatatua tatizo kwa namna yoyote by hooks and crooks.

Vipi haki yako anakupa na kama anakupa unamkata kiu maana kijana usije ukawa unampaka shahawa zako tu maana maisho ya ndoa cha kwanza ni kutooombana, Cha pili ni kutooooombana na Cha tatu ni kuoooooombana kama hivyo vinapungua hata ugali, chakula au mavazi unayonunua hayana maaana maana kwao hivyo vyote alikua anapata ila kwako kafuata dudu na ngai
 
Uchawi upo ila nyie wasomi hamuamini.
Hakuna mtu anayependa kuwaona mke na mume wanaishi kwa furaha.

Wachawi namba moja ni marafiki wa mkeo, ndugu na hao watu mnaowakaribisha hapo nyumbani bila taarifa wala mpangilio wowote.

Kuna dawa special za kuwafarakanisha wana ndoa. Unaweza kuwekewa kwenye chakula au zawadi mbalimbali.

Pia zile zawadi mlizopokea siku ya harusi nazo kuna watu huwa wanaimbilizia ili ndoa isidumu.

Pole sana mkuu.

DAWA YA HAYA YOTE NI YESU. ENDELEA KUOMBA BILA KUKOMA MUNGU ATAJIBU KWA WAKATI WAKE.
 
Kurudi hataki anasema nikishindwa nisepe yy atakaa kwenye nyumba ya mtoto wake ambae ni mtoto tuliyezaaa
Mkuu sikushauri umuache ila anza kumuuliza kwanza nini tatizo

Mimi ndoa yangu ilidumu miezi mitatu tu nikapiga chini

Kuna mwingine nna mpango wa kumuoa ila nae tumevurugana leo ila siwezi kumlaumu maana mimi ndo mkorofi

Hivyo anza kujiangalia wewe kwanza kama hujui ulipokosea ongea nae naamini atakuelewa tu
L
 
Mwanaume ni nguzo ya familia, kuwa imara, simamia nafasi yako; weka kikao wewe na yeye kuhusu hiyo kasoro na umsikilize anataka nini, kama anataka ndoa ivunjike, vunja na usonge mbele.Lakini kabla ya kuvunja kawasalimie mababu zako kwanza.
 
Ndoa za kiislamu ndio sahihi kizazi hiki,,zina amani sana ukilinganisha na dini zingine

Ndoa za kikristo zina pasua vichwa sana watu
Acha kuingilia imani za watu amani ya kiislamu ipi au ile ya kuvaa juba na mbona wako wachache wanaovaa au aya imeshuka ikisema msivae tena?karibu 95% mna ndoa moja kama wakristo!
 
Wanawake wakiwa wanabembeleza ndoa wanaheshima balaa kuna demu hapa kaniganda kila nkimtafutia kosa la kumuacha spati kosa maana huwa ananiomba msamaha hata asipokua na kosa lolote kma haka nikijidanganya nikaowe najua yatanikuta hayo hayo tu[emoji1]
 
Pole sana kwa changamoto, miez 6 kwa furaha michache sana,
Kama mkeo amekasilika baada ya miezi 6 mpka Leo tendo la Ndoa mnashiriki ?

Kuna uwezakano Kitu alichotarajia kukipata Au kukiona kwenye hiyo ndoa hajapata?

Inawezekana shetan ameona Kesho ya mtoto wako Au watoto wako wanaokuja kaamua kuvuruga ndoa ili Kesho ya mtoto hiaribike Na watoto wengine wasizaliwa
 
Sikia mdogo wangu Noel wa ruben ndoa yenu bado changa amini nakuambia hilo, experience inaonyesha ndoa nyingi za vijana ndani ya miaka 9 toka walipoungana huwa inakuwa na misukosuko mingi ya ajabu ajabu na ambayo mtu yeyote asiye kwenye wigo huo lazima ashangae.

Yaani visa vinavyotokea kipindi hicho ni kama kuzidisha chumvi kwenye mboga, kuchelewa kurudi nk, na vinaendelea mpaka damu zenu zitambuane na hapo ni mpaka 8,9 to 10yrs, baadaye mtaona kila kitu ni kawaida tu.

Na itokee sasa mmepata mtoto wa kwanza hapo kuna ugomvi mwingine 😂!.
 
1. Kama umethubutu kufunga kumuomba Mungu, tambua jibu litatoka tu, hold on a little bit

2. Ukiweza kumfahamu msiri wake au ndugu anaemuamini nenda kwa upole ili wakujuze kinacholeta sintofahamu, hapa ukitoka kapa.

3. Inawezekana kuna vijambo vidogo vilimkera ukampuuza badala ya kutatua ndio maana kakuwekea password, na akikaa kimya muda mrefu atasahau sababu ila ataendeleza mnuno AU kwenye tendo kuna kitu hapati na hawezi kusema. Muhimu ni kuangalia namna ya kufungukiwa, mbembeleze umpe hug ndefu at least dk 10 atafunguka
 
Sijui tatizo sasa mwaka na kitu,huwezi amini nakonda mbaya kuishi na mtu ndani lakini kama hatufahamiani vile.na huwezi fanya suluhu na mtu ambae hakuambii umekisea wap.
Mkuu .. umri wako huwezi jua kosa laki. Sema hujaamua kuushirikisha ubongo wako kukumbukia kosa lako.

Pili..Kuna uwezekano alifuma mawasiliano kwenye simu..ambayo si mazuri kwa Wana ndoa.

Tatu: Yawezekana ulidanganya mtoto wa watu unafanya kazi Ikulu. Amekukuta uko na Maisha duni.

Ushauri wangu:

Hakikisha unamla kila siku.

Mletee zawadi mara kwa mara

Pendelea safari za kusalimu ndugu na jamaa kadili utakavyoweza. Ikiwemo ndugu sale. Hapa atakuwa forced kuchangamka.
 
Back
Top Bottom