Unaushauri mzuri ila kwako Sasa kinavyoumanaga! Unakifurushi Cha kuumana Cha mwaka mzima..🤣Duh pole mkuu! Ila hajawahi kukwambia sababu kabisa? Ama alishawahi kukwambia before ukamuignore sababu ni vitu vidogo vidogo? Je ukimuuliza anakaa kimya au anajibu?. ila Huyo mwanamke naye aache gubu ,suluhisho ni kuongea, kuombana msahama na kusonga mbele. Kununiana siyo vizuri kwa ustawi wa familia.
Unaushauri mzuri ila kwako Sasa kinavyoumanaga! Unakifurushi Cha kuumana Cha mwaka mzima..🤣
Nawe sikuachi upite hivihivi zawadi yako hii hapa
View attachment 1954164
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo mambo eee the babies are all around me,mambo mambo eee Dancin all night long..[emoji445][emoji446][emoji450][emoji450]
View attachment 1954154 [emoji23][emoji23]
Mkuu sikushauri umuache ila anza kumuuliza kwanza nini tatizoKurudi hataki anasema nikishindwa nisepe yy atakaa kwenye nyumba ya mtoto wake ambae ni mtoto tuliyezaaa
Acha kuingilia imani za watu amani ya kiislamu ipi au ile ya kuvaa juba na mbona wako wachache wanaovaa au aya imeshuka ikisema msivae tena?karibu 95% mna ndoa moja kama wakristo!Ndoa za kiislamu ndio sahihi kizazi hiki,,zina amani sana ukilinganisha na dini zingine
Ndoa za kikristo zina pasua vichwa sana watu
Mkuu .. umri wako huwezi jua kosa laki. Sema hujaamua kuushirikisha ubongo wako kukumbukia kosa lako.Sijui tatizo sasa mwaka na kitu,huwezi amini nakonda mbaya kuishi na mtu ndani lakini kama hatufahamiani vile.na huwezi fanya suluhu na mtu ambae hakuambii umekisea wap.
Mambo mambo eee the babies are all around me,mambo mambo eee Dancin all night long..[emoji445][emoji446][emoji450][emoji450]
View attachment 1954154 [emoji23][emoji23]