Nimenasa kwenye ulimbo wa ndoa natamani kutoka nashindwa

Kuna mmoja tu mtoto wa Kitanga alikua jirani kabisa kujaribu ila nilimsanukia fastaaa.

#YNWA
 
Amkaze vizuri.mahusiano yanarudi.
wakati mwingine gubu la mwanamke linakuwa kali kama hatombwi bara bara.......
 

Why are you so stupid?!?

Yes you Sir!!!
 

One way opinion; [emoji817] percent
Reality 0.01 percent
Current truth; [emoji817] percent
Real reality; 200 percent
Other; .....
 
Sijui tatizo sasa mwaka na kitu,huwezi amini nakonda mbaya kuishi na mtu ndani lakini kama hatufahamiani vile.na huwezi fanya suluhu na mtu ambae hakuambii umekisea wap.
Tumia akili, Kwan kabla ya kumuoa hukujua akikasirika ana kuwaje?
 
Ndio hizo hizo.. si unaona jamaa ndoa ina mvuruga na anashindwa afanyeje.. ingekuwa ndoa niliyoisifia angekuwa ameshapata solution na amani angekuwa nayo
Kwaiyo solution ni kutoa Talaka 3 au talaka rejea?
 
Kurudi hataki anasema nikishindwa nisepe yy atakaa kwenye nyumba ya mtoto wake ambae ni mtoto tuliyezaaa
Mke wako anaoneka alikuwa ana taka ndoa alikuwa hakutak wewe , kashaipata ndoa kwaiyo kamkumbuka Ex wake, Mwanamke ukimtongoza Kwa kutumia neno ndoa halafu ukaja kumuoa bila kukaa kwenye uchumba Kwa kipind kirefu lazima migogoro itatokea
 
kamkumbuka buzi lake,
HUENDA WEWE MLOKOLE HUPIGI TiGo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…