Nimenawa Mikono kwa Suala la Chama. Hersi alikuwa sahihi

Nimenawa Mikono kwa Suala la Chama. Hersi alikuwa sahihi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mjadala wa suala la ubora wa Chama. Umefungwa. Tujadili mambo mengine. Chama ni mchezaji mwenye kipaji cha kipekee sana. Nakumbuka mwenyekiti wetu Hersi alishasema Chama ni classic player ambaye hata Yanga tulipenda kuwa naye.

Chama anakupa vitu vingi uwanjani. Yaani una enjoy kumtizama. Anapokuwa na mpira Chama hujui atafanya nini kwa wakati gani. Binafsi nimejikuta sina namna isipokuwa kukubali kuwa Chama ni best player kwa sasa nchini Tanzania.

Siipendi team anayochezea lakini hilo haliondoi ubora wake. Ni raha kumtizama, anapenda mpira, ana enjoy mpira. Anaburudisha. Hatujapata mchezaji kama Chama kwa miaka yote ambayo amekuwepo nchini. Huo ni ukweli usiofichika. Tuache wivu wa kike na unafiki ulio kubuhu.
 
Ni mwenye wivu wa kichawi tu ndiye atakaekupinga
Screenshot_20221120-072021.jpg


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Ni uungwana kumpa sifa anazostahili mchezaji wa timu pinzani.

Hata sisi wa Simba tunawakubali wachezaji wengi tu wa Yanga.

Zile tabia za kuponda vilivyo bora eti kwasababu sio cha kwako na kusifia vibovu eti kwasababu ni cha kwako ni utoto na ushamba wa kizamani.
 
Ni uungwana kumpa sifa anazostahili mchezaji wa timu pinzani.

Hata sisi wa Simba tunawakubali wachezaji wengi tu wa Yanga.

Zile tabia za kuponda vilivyo bora eti kwasababu sio cha kwako na kusifia vibovu eti kwasababu ni cha kwako ni utoto na ushamba wa kizamani.
Kama mimi pale mihogoni namkubali sana Maalim Feisal baasi
 
Chama angejaaliwa sura fulani ya ki-handsome angekuwa Dinho mtupuuuu
 
Mjadala wa suala la ubora wa Chama. Umefungwa. Tujadili mambo mengine. Chama ni mchezaji mwenye kipaji cha kipekee sana. Nakumbuka mwenyekiti wetu Hersi alishasema Chama ni classic player ambaye hata Yanga tulipenda kuwa naye.

Chama anakupa vitu vingi uwanjani. Yaani una enjoy kumtizama. Anapokuwa na mpira Chama hujui atafanya nini kwa wakati gani. Binafsi nimejikuta sina namna isipokuwa kukubali kuwa Chama ni best player kwa sasa nchini Tanzania.

Siipendi team anayochezea lakini hilo haliondoi ubora wake. Ni raha kumtizama, anapenda mpira, ana enjoy mpira. Anaburudisha. Hatujapata mchezaji kama Chama kwa miaka yote ambayo amekuwepo nchini. Huo ni ukweli usiofichika. Tuache wivu wa kike na unafiki ulio kubuhu.
Wa mechi ndogo huyo, mbona za Yanga au Azam anabanwa mavi. Hata kule Morroco yalimshinda.
 
Back
Top Bottom