Nimenawa Mikono kwa Suala la Chama. Hersi alikuwa sahihi

Nimenawa Mikono kwa Suala la Chama. Hersi alikuwa sahihi

Kuna demu wangu flan kitambo alikuwa anarudia rudia sana kusema “huyu chama ni mchawi” sa sjui kwanini alikuwa anasema vile!??
 
Mjadala wa suala la ubora wa Chama. Umefungwa. Tujadili mambo mengine. Chama ni mchezaji mwenye kipaji cha kipekee sana. Nakumbuka mwenyekiti wetu Hersi alishasema Chama ni classic player ambaye hata Yanga tulipenda kuwa naye.

Chama anakupa vitu vingi uwanjani. Yaani una enjoy kumtizama. Anapokuwa na mpira Chama hujui atafanya nini kwa wakati gani. Binafsi nimejikuta sina namna isipokuwa kukubali kuwa Chama ni best player kwa sasa nchini Tanzania.

Siipendi team anayochezea lakini hilo haliondoi ubora wake. Ni raha kumtizama, anapenda mpira, ana enjoy mpira. Anaburudisha. Hatujapata mchezaji kama Chama kwa miaka yote ambayo amekuwepo nchini. Huo ni ukweli usiofichika. Tuache wivu wa kike na unafiki ulio kubuhu.
Kwa hizi sifa angecheza hata ligi za MBINGUNI lakini Cha ajabu hata hapo berkane tu alishindwa. Chama ni mzuri kwa washamba na waporipori wa Simba. Alishawajulia so lazima afanye kuwaridhisha.
 
Ulimtazama chama akiwa uwanjani huna haja ya kutazama pornography
 
Chama ni wa mechi ndogo huyo ndo anatamba, akikutana na wakurugumbe anajinyeaga tu.
Chama vs nkana kwa mkapa
Chama vs kaizer chief kwa mkapa
Chama vs uto 4-1 kwa mkapa
Kama umeumia jikaze ndio hali halisi
 
Huna baya mwenetu..! Chama suluhisho la ugumu wa mpira kwa wachezaji miguuni
 
Ubora pia unategemea na ligi anayocheza,ubora wa opponents anaokutana nao uwanjani,kwa maana ya viungo na mabeki,chama huyo alikataliwa na warabu wa Berkane.
Kibongo bongo anajitahd,ukimtupa kwenye ligi zenye mpira wa nguvu na kasi ni mchezaji wa kawaida sana km Iddi Nado tu...
 
Kwa hizi sifa angecheza hata ligi za MBINGUNI lakini Cha ajabu hata hapo berkane tu alishindwa. Chama ni mzuri kwa washamba na waporipori wa Simba. Alishawajulia so lazima afanye kuwaridhisha.
Pembe weka pembeni wivu wa kike. Hersi mwenyewe alishawahi sema anamkubali sana chama
 
Ubora pia unategemea na ligi anayocheza,ubora wa opponents anaokutana nao uwanjani,kwa maana ya viungo na mabeki,chama huyo alikataliwa na warabu wa Berkane.
Kibongo bongo anajitahd,ukimtupa kwenye ligi zenye mpira wa nguvu na kasi ni mchezaji wa kawaida sana km Iddi Nado tu...
Kasi mbona anayo KISINDA? 😁😁😁😁😁 au umesahau? Yupo wapi ana nini?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Mjadala wa suala la ubora wa Chama. Umefungwa. Tujadili mambo mengine. Chama ni mchezaji mwenye kipaji cha kipekee sana. Nakumbuka mwenyekiti wetu Hersi alishasema Chama ni classic player ambaye hata Yanga tulipenda kuwa naye.

Chama anakupa vitu vingi uwanjani. Yaani una enjoy kumtizama. Anapokuwa na mpira Chama hujui atafanya nini kwa wakati gani. Binafsi nimejikuta sina namna isipokuwa kukubali kuwa Chama ni best player kwa sasa nchini Tanzania.

Siipendi team anayochezea lakini hilo haliondoi ubora wake. Ni raha kumtizama, anapenda mpira, ana enjoy mpira. Anaburudisha. Hatujapata mchezaji kama Chama kwa miaka yote ambayo amekuwepo nchini. Huo ni ukweli usiofichika. Tuache wivu wa kike na unafiki ulio kubuhu.
Ungeweza kuelezea hisia zako bila kujifanya mwana Yanga
 
Mjadala wa suala la ubora wa Chama. Umefungwa. Tujadili mambo mengine. Chama ni mchezaji mwenye kipaji cha kipekee sana. Nakumbuka mwenyekiti wetu Hersi alishasema Chama ni classic player ambaye hata Yanga tulipenda kuwa naye.

Chama anakupa vitu vingi uwanjani. Yaani una enjoy kumtizama. Anapokuwa na mpira Chama hujui atafanya nini kwa wakati gani. Binafsi nimejikuta sina namna isipokuwa kukubali kuwa Chama ni best player kwa sasa nchini Tanzania.

Siipendi team anayochezea lakini hilo haliondoi ubora wake. Ni raha kumtizama, anapenda mpira, ana enjoy mpira. Anaburudisha. Hatujapata mchezaji kama Chama kwa miaka yote ambayo amekuwepo nchini. Huo ni ukweli usiofichika. Tuache wivu wa kike na unafiki ulio kubuhu.
kama vile ninavyokubali namna Manyele anavyoshangilia japokuwa siipendi timu anayoichezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHAMA ni miongoni mwa wachezaji wa simba ambao wakiwa na mpira mguuni.... Naiihisi hatari langu kwetu(mimi yanga)... Mwingine ni PHIRI.

YANGA TUNGEKUWA NA CHAMA... MBELE PALE MAYELE.. MAYELE ANGEKUWW NA GOLI ISHIRINI SASA... yaani kwa soka la yanga... Chama ni mahali pake.
 
Ni uungwana kumpa sifa anazostahili mchezaji wa timu pinzani.

Hata sisi wa Simba tunawakubali wachezaji wengi tu wa Yanga.

Zile tabia za kuponda vilivyo bora eti kwasababu sio cha kwako na kusifia vibovu eti kwasababu ni cha kwako ni utoto na ushamba wa kizamani.
uko sahihi. kule yanga Mimi nawakubali Manyele, fei, na Azizi k. hao nawapa sifa zote.

anayesifia vibovu kisa ni vya kwake na kuponda vizuri kisa sio vyake ana wivu wa kike na akizeeka anakuwa mchawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni Yanga mwenzangu. Ila wewe ni mla mihogo aliyesemwa na Hersi. Roho Mbaya haitakusaidia kitu. Roho mbaya kama mwanamke aliyekosa mtoto. Sisi Yanga wasomi hatuna ushabiki wa kindezi kama wako. Chama ni one of the few best player we have ever seen in Tanzania. Amefanya mambo makubwa matches nyingi hata sisi ashawahi tusumbua. Angalia ile match tulipigwa nne. Angalia matches za Kimataifa lile bao alilofunga kuwaingiza Mikia Makundi msimu ule. Ni bonge la mchezaji. Tuisila alikuwa Morocco karudi. Messi huwezi sema ni mbaya sababu kule France, au Ronaldo Man Un. Uelewe mpira. Upende mpira usiwe shabiki maandaz.
tukiwa na mashabiki 10000 aina Yako bongo hii mpira na ligi yetu inaweza kupanda zaidi viwango vya kimataifa.

peace and love.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom