Nimenuniwa na mpenzi wangu

Nimenuniwa na mpenzi wangu

Late 20's
Sikiliza nikuambie mamii kumnyima utamu mwenzio sio solution ya kusema akikuoa basi atakuwa mume bora la hasha! Mwanaume anayekupenda hata mkifanya sex mara ngapi hawezi kukuchoka. Hicho unachofanya utamfanya mwenzio atafute sehemu nyingine apooze nyege zake ndio unakuwa mwanzo wakuporomoka kwa mahusiano kama unajijua wewe sio bikra ni vema uumpe mwenzako
 
Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
🤣🤣🤣 yaweza kuta anajua unamuomba pesa ndy maana na yy akahamua kukausha
 
Binti Miss_Mariaah
Mchumba huyu so delete his silence and add min -me smiles

Lose his namba za simu and save za min -me sababu If he’s not talking then he’s not worth the storage space,za kijana hapo atakuwa your favorite contact

Trade his silence for heartfelt convo sababu best love stories start with deep talks kingine soft whispers na tu hela na tu zawadi kwa mbaaaaaali..! so kijana atakupatia

Unsubscribe from borinh sababu una deserve more than one word answers so kijana atakutendea vyema

May the ALMIGHTY bless your new journey of love with passion,connection and endless joy
min -me
Miss_Mariaah
😂🤣🤣 Bado sijaamua kumuacha Janani still occupied
 
Ni ngumu sana Mwanaume kumnunia mpenzi wake bila mwanamke huyo kua kiburi na jeuri. Ujeuri dharau au kiburi havinaga maelezo maana ni ngumu kupindua ikawa kinyume chake.

Tofauti na hapo hana Ujasiri wa kukumiliki
Yeye amesema jamaa kaduna kwasababu kanyimwa utamu na mtoa mada mpaka waoane
 
Mapenzi na Ngono ni vitu tofauti watu wana complicate sana.lakini kwenye mapenzi,ngono nikiburudisho tosha.
Unaweza ukasubiri muoane ndio mburudishane na mkaja kuachana!?.

Ila watu wanaweza kufanya ngono pasipo kuwa na mapenzi.swala la ngono nimakubariano kwa nyie kwamba mnahisi kushiriki ngono,sio big issue kwamba liwe na konakona wala sio swala zito ni sisi tu kuiwekea uzito.

Mfano.back in the days zambia.tulienda kwa rafiki wa mshkaji wangu (KE) alinitambulisha kuwa huyu ni friend wangu ni mbongo.manzi ikakolea ikasema naskia wabongo wako na taste yake.akaomba nimpelekee rungu nami skulembaaa😂,basi ikawa kama Ameosha nyota,nawengine wengi.mfano usitumike kwa nia potofu.hii ni kwa hisia kuwa ukitafakali ngono sio swala la uzito.ila usizini na ndugu au familia chunga (mke wa mtu/mume wa mtu ni sumu)
Naamin Ivo pia
Ni ngumu sana Mwanaume kumnunia mpenzi wake bila mwanamke huyo kua kiburi na jeuri. Ujeuri dharau au kiburi havinaga maelezo maana ni ngumu kupindua ikawa kinyume chake.

Tofauti na hapo hana Ujasiri wa kukumiliki
Hana ujasiri wa kunimiliki umemaanisha hajiamini kwangu au
 
Sikiliza nikuambie mamii kumnyima utamu mwenzio sio solution ya kusema akikuoa basi atakuwa mume bora la hasha! Mwanaume anayekupenda hata mkifanya sex mara ngapi hawezi kukuchoka. Hicho unachofanya utamfanya mwenzio atafute sehemu nyingine apooze nyege zake ndio unakuwa mwanzo wakuporomoka kwa mahusiano kama unajijua wewe sio bikra ni vema uumpe mwenzako
Naogopa
 
Back
Top Bottom