Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Kada hujaenda kuteka watu au wewe haupo tafu😁Na wewe mkaushie au nuna il kama huwezi vyote basi mbembeleze wewe ndio uwe fala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kada hujaenda kuteka watu au wewe haupo tafu😁Na wewe mkaushie au nuna il kama huwezi vyote basi mbembeleze wewe ndio uwe fala
Kabisa mkuu, ila huyo mwamba inabidi tumnyang'anye jimbo ananunaje hovyo hovyo tu😆
Tatizo anamnyima tendoMko mbali sana,kama sio mbali sana emu nenda kamuone,huenda kuna shida.
Dalili za mtu ambaye hana interest na uhusiano wenu utaziona.Ila kwa sasa nenda kamuone kwanza
Sure broKweli Ila tumuombee , atakuwa sawa yawezekana kuna mambo anapitia yanamuumiza mind yake.
Kununa -hii hali utokea MTU asiporidhishwa na situation fulani katika mambo yake dhidi ya watu /MTU
Kununa sio hatari ila kukasirika ndo hatari
Kununa IPO attached with lack of peace of mind
Kuna muda unabidi kupanda miti ilk watu wengine wapate kivuli.- means don't expect any returning from human being , because in nature human being is unpredictable creature
Kada kaona leo apenzike tu😅Kada hujaenda kuteka watu au wewe haupo tafu😁
🚮🚮Kada hujaenda kuteka watu au wewe haupo tafu😁
Kwa _uma ipi ya kuchakazwa hivyo we ngoshaKwa mfano nikiwa na wewe najua sitachepuka kabisa, kutwa utakuwa unanipa mara tano.
Hahahaha............. najua Mjukuu mwenyewe alishaelewa lakini 🤗Najua sio lazima Kuduu, lakini Kuna namna mnaweza kufanya bila kuingiliana lakini mwenzio akarudi nyumbani akiwa mwepesi kabisa......tia nyama kidogo hapa babu🤣
Mashine ya umbea hiyo hapo inasubiri mtu aidiss CCM amuangukie.Kada kaona leo apenzike tu😅
Kwani ndio huyo tu!! Acha uzembe.Hello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Kuna umuhimu wa kuyapima Maji Kwa fimbo kabla hujavuka Mjukuu 🤗Kwani babu hamuwez kuoa bila kufunuaana
Hapo sawa, na iwe hivyoBabu alisema atafanya Ivo soon
Hutaki kukoj.oa mara kumi wewe 😀Kwa _uma ipi ya kuchakazwa hivyo we ngosha
Sure bro
Aaah weee nitakojoa damu sasaHutaki kukoj.oa mara kumi wewe 😀
Hapa kuna uwezekano kukawa na mambo mengi mfano kazini kwake hakuko sawa so ana stress na kila mtu au unampiga sana mizinga kuliko uwezo wake, humfinyii kwa ndani unapompa mbususu, au huioshi vizuri mbususu hivyo anakereka na harufu kali au una ghubu kila mara unamuuliza uko wapi na unafanya nini.Hello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Kwa nini master? 🤣🤣🤣Mkuu inabidi uoe sasa
Kwa nini master? 🤣🤣🤣