DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Umempamba sana mkuu.
That is prophetic code only anointed people can understand
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umempamba sana mkuu.
Mpaji Mungu huyu huyu ambae alikua haogi hata mwezi pale same boys, ndio una mwita leo totooo🤪🤪🤪🤪🤪🤪😝Mpaji Mungu sio kila kitu nikufundishe totoo!
🤐🤐🤐🤐 naona kaka anakupambaniaWewe unaharibu sasa🥲
NotedHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
Surely 😁🤐🤐🤐🤐 naona kaka anakupambania
🙄Kumbe na mimi ni smart boy🤣🤣🤣
Ongeza juhudi zako binafsi piaSurely 😁
🤣🤣🤣🤣🤣 muache mdogo wangu, aoge ili agundue nini sasa!Mpaji Mungu huyu huyu ambae alikua haogi hata mwezi pale same boys, ndio una mwita leo totooo🤪🤪🤪🤪🤪🤪😝
Hapana 😊Ongeza juhudi zako binafsi pia
Uko sahihiUnajitesa bure mwanangu!
Akiamua kuongea ataongea, akiwa ameamua kunyamaza ataendelea kunyamaza!
Kuna namna ukiacha vitu viende vyenyewe huenda vyenyewe
KwannHapana 😊
Yeah bro asante sana😊😀😀😀
Hata diamond kuna watu walimwambia unajua kuimba hivyo unbidi kuimba bongo fleva and not hip hop
Means watu wote huwa tunamulikwa na watu then na sisi ndo tunaanzia hapo kufanya zaidi.
So, I spark you that ur wisest person and smart
Dogo nilikua namkata makwenzi sana😁🤣🤣🤣🤣🤣 muache mdogo wangu, aoge ili agundue nini sasa!
Uko sahihi
piga chini kwani wameisha?????
Yani sijui tu ,nahisi tu bwana yesu asifiwe kwa sana, na usiniguse nimeokoka hazikauki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umehisi nin mpaka kunifananisha nao