Nimenuniwa na mpenzi wangu

Nimenuniwa na mpenzi wangu

Mpaji Mungu huyu huyu ambae alikua haogi hata mwezi pale same boys, ndio una mwita leo totooo🤪🤪🤪🤪🤪🤪😝
Usinikumbushe ule mziki wa pumbu erosion 😂😂 Organic chemistry pindi linapigishwa kwa projector we huelewi ngozi ya mbupu inawaka moto na joto lile sasa
 
Usinikumbushe ule mziki wa pumbu erosion 😂😂 Organic chemistry pindi linapigishwa kwa projector we huelewi ngozi ya mbupu inawaka moto na joto lile sasa
Mkuu ni tatizo pcb 2 nkuruma ni kisanga, kuna mtangazaji mmoja ni mwenetu wa same namzoom tu na tambo zake 😁😁😁😁
 
Pole. Anahitaji muda tu. Yupo off mood na wewe, because kakuzoea sana au pengine ana mwingine anayempa furaha akiikosa kwako. Wewe pia mute , atakutafuta tu.
 
🤣🤣🤣🤣 aaa wapi umechemka vibaya mno ila umenifanya nicheke hizo skuna
No sauti ya ndani ina niambia wewe ni mpendwa😆😆😆 ( kwa sauti ya kiboko ya wachawi 😹)
 
Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
Ushaachwa,
Achika!
 
No sauti ya ndani ina niambia wewe ni mpendwa😆😆😆 ( kwa sauti ya kiboko ya wachawi 😹)
mpendwa kivipi???
Kiboko ya wachawi🤣🤣🤣🤣 huyu huyu aliyewaliza watanzania na kuwaita wajinga na wew ulikuwa mfuasi
 
Back
Top Bottom