Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
kabisa kabisa, sijui mkwe anaona hayaaa?Jitahidi kaka mkubwa upweke una uwa🤣🤣🤣
Mkwe Miss_Mariaah ,unaweza kufika PM kwa kijana akuchombeze kidogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa kabisa, sijui mkwe anaona hayaaa?Jitahidi kaka mkubwa upweke una uwa🤣🤣🤣
Wamama wa mtaani 😂Kabisa mkuu same panatisha ile ni kambi ya uzinzi😆
Nan huyo mkuu?Wamama wa mtaani 😂
Nje ya mada!
Simuoni last born umemficha wapi
Namwona kama mlokole😁😁mpendwa kivipi???
Kiboko ya wachawi🤣🤣🤣🤣 huyu huyu aliyewaliza watanzania na kuwaita wajinga na wew ulikuwa mfuasi
Kesho nakuja 😀
ephen_ simuoni umemficha wapiNan huyo mkuu?
🤣🤣🤣Sina ulokole wowoteNamwona kama mlokole😁😁
Umekagua simu ama Laptop yako, haijatuma wala kupokea 'jumbe udhi' tangia njemba isuse?Hello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
😊😊🤣🤣🤣Sina ulokole wowote
Nakushukuru Sana...naomba nielezee how to use detachmentDetachment and attachment use this formula and you will never sense more pains.
Unagusa na kuachia unagusa tena unaachia the same wanafanya footballers in football game
Unajua madhara ya kukaa na mpira muda mrefu
Utapata injury Kirahisi sana .
When ur soulmate ameamua kukaa kimya fanya detachment and give him time
Ahsante....naomba nielezeee how to use detachmentDetachment and attachment use this formula and you will never sense more pains.
Unagusa na kuachia unagusa tena unaachia the same wanafanya footballers in football game
Unajua madhara ya kukaa na mpira muda mrefu
Utapata injury Kirahisi sana .
When ur soulmate ameamua kukaa kimya fanya detachment and give him time
How to use detachment DrDetachment and attachment use this formula and you will never sense more pains.
Unagusa na kuachia unagusa tena unaachia the same wanafanya footballers in football game
Unajua madhara ya kukaa na mpira muda mrefu
Utapata injury Kirahisi sana .
When ur soulmate ameamua kukaa kimya fanya detachment and give him time
Uyo ndo nimpendaye ndo aliyefanikiwa kuuteka Moyo Wangu Na ndo asali wa roho yangupiga chini kwani wameisha?????
Uko sahihi kabisa DrQuality versus quantities
Wanaume wapo wengi Ila kumpata the right one ndo tatizo
Issue hapo ni ubora dhidi ya wingi
Umewahi kuhisi anachepuka?Ni mlokole
Sijawahi hawesiUmewahi kuhisi anachepuka?
Kabla yake umewahi kufanya mapenzi?Dini
🤣😂Bado sijawa singlekabisa kabisa, sijui mkwe anaona hayaaa?
Mkwe Miss_Mariaah ,unaweza kufika PM kwa kijana akuchombeze kidogo?
Daaah! Basi unajiona kakuuubwaDogo nilikua namkata makwenzi sana😁