Sikiliza nikuambie mamii kumnyima utamu mwenzio sio solution ya kusema akikuoa basi atakuwa mume bora la hasha! Mwanaume anayekupenda hata mkifanya sex mara ngapi hawezi kukuchoka. Hicho unachofanya utamfanya mwenzio atafute sehemu nyingine apooze nyege zake ndio unakuwa mwanzo wakuporomoka kwa mahusiano kama unajijua wewe sio bikra ni vema uumpe mwenzakoLate 20's
Kwani kabla yangu alikua anazitibu wapiHiyo condition kwa kipindi hichi haifanyi kazi unavyomnyima unadhani nyege zake akazitibu wapi?
π€£π€£π€£ yaweza kuta anajua unamuomba pesa ndy maana na yy akahamua kukaushaHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Kwenye mahusiano yake ya zamani sasa hivi upo weweKwani kabla yangu alikua anazitibu wapi
NajizuiaWewe hauna hisia za mapenzi kiasi ambacho umnyime mwenzako mpaka mfunge ndoa?
ππ€£π€£ Bado sijaamua kumuacha Janani still occupiedBinti Miss_Mariaah
Mchumba huyu so delete his silence and add min -me smiles
Lose his namba za simu and save za min -me sababu If heβs not talking then heβs not worth the storage space,za kijana hapo atakuwa your favorite contact
Trade his silence for heartfelt convo sababu best love stories start with deep talks kingine soft whispers na tu hela na tu zawadi kwa mbaaaaaali..! so kijana atakupatia
Unsubscribe from borinh sababu una deserve more than one word answers so kijana atakutendea vyema
May the ALMIGHTY bless your new journey of love with passion,connection and endless joy
min -me
Miss_Mariaah
Yeye amesema jamaa kaduna kwasababu kanyimwa utamu na mtoa mada mpaka waoaneNi ngumu sana Mwanaume kumnunia mpenzi wake bila mwanamke huyo kua kiburi na jeuri. Ujeuri dharau au kiburi havinaga maelezo maana ni ngumu kupindua ikawa kinyume chake.
Tofauti na hapo hana Ujasiri wa kukumiliki
Naamin Ivo piaMapenzi na Ngono ni vitu tofauti watu wana complicate sana.lakini kwenye mapenzi,ngono nikiburudisho tosha.
Unaweza ukasubiri muoane ndio mburudishane na mkaja kuachana!?.
Ila watu wanaweza kufanya ngono pasipo kuwa na mapenzi.swala la ngono nimakubariano kwa nyie kwamba mnahisi kushiriki ngono,sio big issue kwamba liwe na konakona wala sio swala zito ni sisi tu kuiwekea uzito.
Mfano.back in the days zambia.tulienda kwa rafiki wa mshkaji wangu (KE) alinitambulisha kuwa huyu ni friend wangu ni mbongo.manzi ikakolea ikasema naskia wabongo wako na taste yake.akaomba nimpelekee rungu nami skulembaaaπ,basi ikawa kama Ameosha nyota,nawengine wengi.mfano usitumike kwa nia potofu.hii ni kwa hisia kuwa ukitafakali ngono sio swala la uzito.ila usizini na ndugu au familia chunga (mke wa mtu/mume wa mtu ni sumu)
Hana ujasiri wa kunimiliki umemaanisha hajiamini kwangu auNi ngumu sana Mwanaume kumnunia mpenzi wake bila mwanamke huyo kua kiburi na jeuri. Ujeuri dharau au kiburi havinaga maelezo maana ni ngumu kupindua ikawa kinyume chake.
Tofauti na hapo hana Ujasiri wa kukumiliki
Sababu kuu ni nini kuweka hiyo condition?Babu Yani hata hugging tu nimeweka ban ...inshory sitaman kuwa kwenye Hali yoyote ya physical intimacy Na yeyeππππ
Amani haiji bali kwa ncha ya upangaπππKila kitu kitakaa sawa. Usiache kumuombea AMANI
Mbuzi kwenye gunia πKwani babu hamuwez kuoa bila kufunuaana
Umeongea vyemaKila kitu kitakaa sawa. Usiache kumuombea AMANI
Amani haiji bali kwa ncha ya upangaπππ
Kwa namna hiyo mwanaume wako lazima achepuke labda umtafute mwanaume mlokole au ambaye hajawahi kufanya sexNajizuia
ππππPeace of mind
Security
Safety
If something is wrong you with ur soulmate calm down and pray for serenity. Everything will be OK.
NaogopaSikiliza nikuambie mamii kumnyima utamu mwenzio sio solution ya kusema akikuoa basi atakuwa mume bora la hasha! Mwanaume anayekupenda hata mkifanya sex mara ngapi hawezi kukuchoka. Hicho unachofanya utamfanya mwenzio atafute sehemu nyingine apooze nyege zake ndio unakuwa mwanzo wakuporomoka kwa mahusiano kama unajijua wewe sio bikra ni vema uumpe mwenzako
Still occupied? Kijana min -me yuko ready to bring a little extra sunshine vile haujawahi ku experience ebu mfungulie PM ili ajue hiyo neno "occupied" atume carrier pigeon or just keep sending you cheesy pickup lines lakini huko PM bintiππ€£π€£ Bado sijaamua kumuacha Janani still occupied
Ni mlokoleKwa namna hiyo mwanaume wako lazima achepuke labda umtafute mwanaume mlokole au ambaye hajawahi kufanya sex
Kabisa mkuu, ila huyo mwamba inabidi tumnyang'anye jimbo ananunaje hovyo hovyo tuπPeace of mind
Security
Safety
If something is wrong you with ur soulmate calm down and pray for serenity. Everything will be OK.