Nimenunua home theater LHD657 Model, lakini cha ajabu ina Sauti ya kawaida sana

Nimenunua home theater LHD657 Model, lakini cha ajabu ina Sauti ya kawaida sana

Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano

Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho

Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
Pole sana ,hiyo hela ungepata mziki mzuri sana wa mtumba
 
Mm nina sony homthieta toka 2016 up to date wat 1000 dvz 600 uo mzk wake n shida inategemeana na ww wakat unaenda kununua ulzngatia nn ile deki ndio inayotoa watt kama n 1000 nk lakn spker lile bufa lake ndio nguvu ya iyo dvzb 600 kwaio kagua sytm yako kuna homthieta zinazidiwa na sabufa kupga lakn watu wamenunua 700k
nakubali mkuu
 
Haya mautopolo yana mziki gani sasa. Nina uhakika ukiweka hilo bushido na huyu mnyama hapa inakalishwa mapema mno.
View attachment 2648158
Mzee hiyo ni hi-fi music system, ina pressure horn sio ya kitoto, bei zainaanzia mill2 kwenda juu, gebu toa uchafu huo ulioweka hapo bora hata ungeniweke hii subwofer ya kodtek ambayo binafsi nmeielewa bei yake yafika laki 5
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    17.6 KB · Views: 21
Mzee hiyo ni hi-fi music system, ina pressure horn sio ya kitoto, bei zainaanzia mill2 kwenda juu, gebu toa uchafu huo ulioweka hapo bora hata ungeniweke hii subwofer ya kodtek ambayo binafsi nmeielewa bei yake yafika laki 5
Hio kitu una hakika ina mziki? 🤣 Au ina kelele kubwa ndio unaziita pressure horn 🤣
 
Nina uhakika na ninachoandika..niliwahi kununua LG 330W sikuielewa kabisa..niliuza nikanunua LG 1000W naenjoy mziki wa maana..na pia zinapendeza sana ukiziweka sebuleni..sipendagi kuandika kitu nisichokijua kama wewe unabisha upumbavu huku unatumia sabufa ya ALITOP[emoji3]
[emoji1][emoji1] dah Alitop
 
Mm nina sony homthieta toka 2016 up to date wat 1000 dvz 600 uo mzk wake n shida inategemeana na ww wakat unaenda kununua ulzngatia nn ile deki ndio inayotoa watt kama n 1000 nk lakn spker lile bufa lake ndio nguvu ya iyo dvzb 600 kwaio kagua sytm yako kuna homthieta zinazidiwa na sabufa kupga lakn watu wamenunua 700k
Waambie hao
 
Nina uhakika na ninachoandika..niliwahi kununua LG 330W sikuielewa kabisa..niliuza nikanunua LG 1000W naenjoy mziki wa maana..na pia zinapendeza sana ukiziweka sebuleni..sipendagi kuandika kitu nisichokijua kama wewe unabisha upumbavu huku unatumia sabufa ya ALITOP😀
LG ya 330W ni sawa na 60W rms kwenye woofer. Upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom