Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasikilizia ndani au njeemkuu kwahiyo ni sahihi sijapigwa ndio uhalisia wenyewe?
Sema mziki wa namna hiyo unaweza jikuta una kazi yako nzuri tuu ila ukapenda kuwa jobless [emoji1787][emoji1787] ili uwe unasikiliza whole dayLg mkuu ungenunua Sony nikipiga Sony yangu dav dz 650 watts 1000 jamanii sijutii huku nasikiliza mayday ya fally [emoji1787]
Umepigwamkuu utoke mziki mzuri uliochujwa base yenye mkito. sasa cha ajabu base ipo chini hata ukiongeza hamna chochoke kinachobadilika. mfano volium ipo 100 ni ya kawaida sana ukipunguza mpaka 40 ndio imeisha hiyo
Rudisha au no return..ukinunua umenunuadah nimepigwa hapa mziki for sur
Mkuu najua umenielewa vizuri [emoji1787][emoji1787]Sema mziki wa namna hiyo unaweza jikuta una kazi yako nzuri tuu ila ukapenda kuwa jobless [emoji1787][emoji1787] ili uwe unasikiliza whole day
[emoji7]MAYDAY[emoji7]
Ahaaaaaa mama aaaaaaah
JBLKwa upande wa sound hadi sasa Sony ndio naona anafanya vizuri sana....
Sijawahi zizingatia sana...JBL
Okyo
Bose
Pioneer
Ushawahi tega sikio kula sound zake
[emoji2956]Kama ulitaka mziki, nenda na music system sio home theatre, home theatre is for surround sound kama dt dobbie nk ambazo utaskia souti ya movies vzr kwanye hizo channel 5 za sauti, hakuna mziki una channel 5, mziki ni sterio ya channel 2 tu.
Ukitaka mziki, chukua music system hii, andaa milioni zako kadhaa
Unasema unaweza kata base ikawa "stereo tupu"?Hizi radio nyingi huwa ni issue ya setting, cheza na remote vizuri, cheki bass, check noise, mwisho cheki connection za waya kama zipo sawa.
Kuna rafiki yangu mmoja alinunua subwofer la aina ya Seapiano, akiwasha inaongea kama sauti ya simu ya kitochi, nikakutanaye naye yupo kwenye bajaji ameibeba nairudisha.
Nikamwambia rudisha radio nyumbani, kisha nikamwambia aunganishe kama alivyounganisha mwanzo. Kwanza kule nyuma zile speaker alikosea kuunganisha, nikaweka sawa. pia ukiangalia kwenye remote especial ya Seapiano sijui kwa LG, kuna sehemu ya bass imeandikwa - na +, bonyeza + mpaka mwisho. Nenda sehemu ya noise weka on, kuna sehemu nyingine tena ina alama za - na + ponyeza plus usikilize mdundo utakao toka.
Hizi radio zimekuwa designed unaweza kata kabisa bass ikawa stereo tupo na hiyo hiyo ukaweka busy na usiamini kama hiyo ni radio ile ile.
Sasa speakers 4 za nini kwenye mziki?Angechukua Sony 1000w yenye speaker 2 au 4 ndefu angeinjoi
Kwa Edifier hapa sasa tunazungumzia mziki.Me natumia edifier. Hii kitu ni zaidi ya speaker. Haziharibiki wala hazichuji mziki wake ni balaa
WellUwingi wa spika sio ukubwa wa sauti na wala ukubwa wa watts wa redio sio ukubwa wa sauti.
Sauti ambayo inarekodiwa na wanamuziki ni stereo kwa maana ina njia mbili mithili ya masikio yetu yalivyo.Radio ambazo ni home theater sio kwa ajili ya kusikilizia muziki ila ni kwa ajili ya kutazamia muvi mana kwenye muvi kila spika moja hupewa sauti maalumu kwa mfano kuna spika zinatoa sauti ya mazungumzo tu, kuna ambazo zinatoa sauti ya effect za kwenye muvi, kuna ambazo zinatoa sauti ya saund track na mambo mengine mengi na ndio maana ukizitumia kwenye mziki sauti haziwi kubwa sana kwa sababu spika ambazo zinafanya kazi huwa ni tatu tu( 2.1)spika moja ya kulia, moja ya kushoto na subwoofer.
Kitu kingine ni kwamba nguvu ya spika haipimwi kwa watt.Watt inaonyesha kiwango cha umeme ambao redio itatumia kwa muda fulani.Kiwango cha sauti kinapimwa na SPL yaani Sound pressure level.
Kadri Spl inavyokuwa kubwa ndo sauti nayo inakuwa kubwa. Kwahiyo redio kubwa ambayo ina watt kubwa na spl ndogo inazidiwa mdundo na radio ndogo ambayo inawatt ndogo ila spl kubwa.Kama shida yako ni sauti basi zingatia spl ila kama shida yako ni kujua redio inakula umeme kiasi gani basi zingatia watt.
Nyie maskini mbona Bang & Olufsen hamumtaji?Huko utakutana na majina makubwa wakina Bose, JBL,Denon,Klipch,Harman kardon,polk audio , Onkyo etc
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Etc hapoNyie maskini mbona Bang & Olufsen hamumtaji?
Ukiona 4 ni nyingi chukua home theatre ya speaker 2 ndefuSasa speakers 4 za nini kwenye mziki?
Mziki wa kweli hauhitaji speakers 4
Home theater kwa ajili ya Mziki? Kwani home thearte zimetengenezwa kwa ajili ya mziki?Ukiona 4 ni nyingi chukua home theatre ya speaker 2 ndefu