Pole sana ,hiyo hela ungepata mziki mzuri sana wa mtumbaNi kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho
Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
nakubali mkuuMm nina sony homthieta toka 2016 up to date wat 1000 dvz 600 uo mzk wake n shida inategemeana na ww wakat unaenda kununua ulzngatia nn ile deki ndio inayotoa watt kama n 1000 nk lakn spker lile bufa lake ndio nguvu ya iyo dvzb 600 kwaio kagua sytm yako kuna homthieta zinazidiwa na sabufa kupga lakn watu wamenunua 700k
Chukua hela,mziki kausikikize kwa sauti ya sikio lako mwenye, na kama ni HT nenda sony, lg hamna kitu. Wapo vizur kwenye Ac na frijimkuu bufa lake nimemrudishia amenipa machaguo ya kuagiza mzigo mwngne ama nipewe hela yangu
Mzee hiyo ni hi-fi music system, ina pressure horn sio ya kitoto, bei zainaanzia mill2 kwenda juu, gebu toa uchafu huo ulioweka hapo bora hata ungeniweke hii subwofer ya kodtek ambayo binafsi nmeielewa bei yake yafika laki 5Haya mautopolo yana mziki gani sasa. Nina uhakika ukiweka hilo bushido na huyu mnyama hapa inakalishwa mapema mno.
View attachment 2648158
Hio kitu una hakika ina mziki? 🤣 Au ina kelele kubwa ndio unaziita pressure horn 🤣Mzee hiyo ni hi-fi music system, ina pressure horn sio ya kitoto, bei zainaanzia mill2 kwenda juu, gebu toa uchafu huo ulioweka hapo bora hata ungeniweke hii subwofer ya kodtek ambayo binafsi nmeielewa bei yake yafika laki 5
Lakini mziki mneneIla kwa jbl atapata kama kimkoba cha kuweka kwapani kwa bei hyo.
yeap jbl uhakika zina balaaLakini mziki mnene
mkuu nimeshairudisha labda unielekeze machaguo sahihi nichague ipi?Mbona sio mbaya, umetumia connector gani? Umetumia file gani kutest?
Tafuta movie yenye 5.1 sound chanell, Sambaza hizo Speaker accordingly, ya kulia weka kona ya kulia na kushoto ikae kushoto, Subwoofer kati kisha angalia.
Club nyumbaniyeap jbl uhakika zina balaa
[emoji1][emoji1] dah AlitopNina uhakika na ninachoandika..niliwahi kununua LG 330W sikuielewa kabisa..niliuza nikanunua LG 1000W naenjoy mziki wa maana..na pia zinapendeza sana ukiziweka sebuleni..sipendagi kuandika kitu nisichokijua kama wewe unabisha upumbavu huku unatumia sabufa ya ALITOP[emoji3]
Waambie haoMm nina sony homthieta toka 2016 up to date wat 1000 dvz 600 uo mzk wake n shida inategemeana na ww wakat unaenda kununua ulzngatia nn ile deki ndio inayotoa watt kama n 1000 nk lakn spker lile bufa lake ndio nguvu ya iyo dvzb 600 kwaio kagua sytm yako kuna homthieta zinazidiwa na sabufa kupga lakn watu wamenunua 700k
We bishana tu, una uhuru wa kubisha. Music Enthusiast yeyote hawezi kununua LGUsipende kukariri. Lg kwenye music wapo. Wana soundbars kali tu. Sema ndio hivyo bongo zipo chache. Na hiyo home theater anayosema ni ya 2023 hapana. Hapo labda kanunua mchina
LG ya 330W ni sawa na 60W rms kwenye woofer. Upuuzi mtupuNina uhakika na ninachoandika..niliwahi kununua LG 330W sikuielewa kabisa..niliuza nikanunua LG 1000W naenjoy mziki wa maana..na pia zinapendeza sana ukiziweka sebuleni..sipendagi kuandika kitu nisichokijua kama wewe unabisha upumbavu huku unatumia sabufa ya ALITOP😀