Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
chumba hakikuwa na vitu vingi afu nilikuwa kama la tatu...... so mdg sanaWee jau kumbe ahahah yaani purukushci za usiku hukusikia hata..
Mshumaa hata mimi enzi hizo niliwahi unguza kabati la mzee daaah aisee ilikua hatar na hapo alinisisitiza nizime mshumaa
Mkuu hapana kuniua awezi sema all in all ni mkali mkuu oooh acha tuu..Aache uongo asije kukuua
Wakija waje taratibu tuuMkuu acha tuu..
Hili gheto wakati mwingine mtu akiingia huwa ana maswali mengi kichwani mpaka anatoma huwa anashindwa kujua kwanini humi ndani kupo.hvi..
Yaani ukiwa mtu wa kugusa gusa vtu humu unapigwa shoti
Same with me mkuu dah ulikua chaliii kumbe so hata hawakukuchapa anchumba hakikuwa na vitu vingi afu nilikuwa kama la tatu...... so mdg sana
Sasa hv natafuta pdf yangu safi alafu nachapisha hapa mlangoni kwa ndani ππππWakija waje taratibu tuu
Huyo mwalimu ni mpuuzi! Yaani upulizie dawa ya mbu na wewe uko ndani? Hajielewi!Anasema kwake anauwezo wa kupulizia vzr tii bila hata ya wao kutoka njee.
Wanaanzaje....... Nshawahi kupotea acha kabisaSame with me mkuu dah ulikua chaliii kumbe so hata hawakukuchapa an
Noma sana unaweza kuhisi una pumuHii nimeiona kwa waturuki,wale jamaa wanapenda pili pili,ukiwa jikoni wanapika chakula mixer pili pili unakohoa na jikoni unakimbia ila wenyewe wapo poa tu
Mkuu hata mm niliwaza kama wewe ila end of day nikaja kujua ni hali ya kutojua tuuHuyo mwalimu ni mpuuzi! Yaani upulizie dawa ya mbu na wewe uko ndani? Hajielewi!
Pole MkuuMkuu ile ya jana zaidi ya pili pili aiseeee
abisa anii wasije tuulia kijana wetuSasa hv natafuta pdf yangu safi alafu nachapisha hapa mlangoni kwa ndani ππππ
Yaani mi nitangazie dawa ya mbuu kweli mkuuLipia tangazo wewe msanii ndio utupangie kuanzia cha ukucha mpaka bapa..........nasema lipia tangazo
Mbona unanicheka mkuu..Pole Mkuu
Still now upo hvo hvo mkuu...Wanaanzaje....... Nshawahi kupotea acha kabisa
Niko normal na humbled sana nikifanya kitu wanaweza acha kila kitu watatue au wajue ni nn ttzo
Nimewaza ulivyojificha uvunguni nimebaki nacheka tu kiongozi.Mbona unanicheka mkuu..
Hiyo pole yako jau
Mkuu acha acha kabisa..Nimewaza ulivyojificha uvunguni nimebaki nacheka tu kiongozi.
Kuna mzee aliwahi kuniambia ukilala hakikisha umweka glass ya maji pembeni yako na asubuhi hayo maji usiyanywe bali yamwage.Mkuu acha acha kabisa..
Kuna njia mtu unaweza kugundua baada ya kupitia magumu..
Na humu ndani hakuna hata maji πππππππ mkuu huu ubishi utakuja kutuua
Mmmmh kwann mkuu..Kuna mzee aliwahi kuniambia ukilala hakikisha umweka glass ya maji pembeni yako na asubuhi hayo maji usiyanywe bali yamwage.