Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
chumba hakikuwa na vitu vingi afu nilikuwa kama la tatu...... so mdg sanaWee jau kumbe ahahah yaani purukushci za usiku hukusikia hata..
Mshumaa hata mimi enzi hizo niliwahi unguza kabati la mzee daaah aisee ilikua hatar na hapo alinisisitiza nizime mshumaa