Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kuna wakati nafanya kuna wakati sifanyi. Yule mzee hakuwahi kuniambia sababu zakufanya hivyo. Ila niliwahi kusikia zile dawa za usingizi zakupuliza zina tabia ya kukimbilia kwenye maji hivyo zinaishiwa nguvu hazitakulaza fofofo.Mmmmh kwann mkuu..
Wee unFanya hvo
Yakikukuta kama utojinyea wewe 😄😄😄Bro wangu pole...niambie kuzima kupoje kuzur eeh
Oky oky hapo nimepata concept kidogo..Kuna wakati nafanya kuna wakati sifanyi. Yule mzee hakuwahi kuniambia sababu zakufanya hivyo. Ila niliwahi kusikia zile dawa za usingizi zakupuliza zina tabia ya kukimbilia kwenye maji hivyo zinaishiwa nguvu hazitakulaza fofofo.
Hhhhhh🤓🤓🤓 niambie basi kuzimu kuna madini nikachimbe auYakikukuta kama utojinyea wewe 😄😄😄
Wee mkuu mi sijafika kuzimu ila nilichungulia hukoHhhhhh🤓🤓🤓 niambie basi kuzimu kuna madini nikachimbe au
Mybe mkuu alitaka kubaki na TV yangu nchi 32 huyu mmamaUna urithi wowote hadi atake kukuua au alitaka kurithi geto hilo?
Mkuu ata kama aiseee ndo afanye jaribio kama lileAlitaka vya kwenye wallet.
Na nyie mmekuwa mno nyororo
Seriously mi nilipwe na hawa hit etUnalipwa sh gap? Kulipwa hili tangazo,
Asante mkuu.Pole sana mkuu
Yani nijaribu kuonja sumu kama inaua kwa kuilamba?Fanya ujaribu siku moja mkuu mambo simple tuu haya
Rungu runguuu, au rungu runguuu..!!??Natamani nimfungie BICHWA KOMWE - chumbani halafu nipulizie RUNGU.
Atajamba sana yule hayawani. BWABWA kabisa.
Mkuu tuache utani hii dawa kupulizia wale wadudu ni kuwaoneaYani nijaribu kuonja sumu kama inaua kwa kuilamba?
Umeshiba sasaRungu runguuu, au rungu runguuu..!!??