Nimenusurika kufa jana

Nimenusurika kufa jana

Bora dawa ya mbu ila sio mtu achome pilipili ndani aisee, show yake ni mateso ya mwisho. Utapaliwa mixer kukohoa hadi koromeo litoke mara machozi na kamas haya hapa. Watesi wakikuamulia na hakuna atakayejua
Hii nimeiona kwa waturuki,wale jamaa wanapenda pili pili,ukiwa jikoni wanapika chakula mixer pili pili unakohoa na jikoni unakimbia ila wenyewe wapo poa tu
 
Wakuu wasalam..
Wakuu uhai na kifo vimetenganishwa mstari mwembamba sana.
Kama wewe unadanganywa na kina Kiranga sijui Mungu hakuna wee subiri kila mtu zamu yake inakuja.

Wakuu katika haya maisha kama kitu ujui boraa kuuliza tu.. maana jana ilikua ni hatari mno maana mngesikia mengine.

Huyu mtu jana alikuwa anafanya jaribio la kutaka kunitoa roho ili badae aseme ni bahati mbaya.

Usiku baada ya msosi nikasema leo ngoja nimualike antiel tuje kucheki chek movie. Vishu Mtata Sio antiel dorry huyu ni mwingine..

Usiku kavizia mimi nimelala yeye kapulizia dawa alafu yeye akatoka njee .. mi nasema alivizia maana hata sababu anazotoa mi bado sijamwelewa

Wakuu hali niliyopitia acha tuu yaani yale madawa ni kama koo linakauka alafu una paliwa mda wote..

Kilichoniokoa ni kuingia chini ya kitanda huku nikiwa nimejifunika taulo puani.
Maana mlango alifunga kwa njee.

Anakuja kufungua anatoa sababu za kijinga kijinga et alikua chooni wakuu.n Kweli chooni nusu saa .

Mimi nilitamani nipulizie dawa alafu alale na yeye ili aone show yake.

Kiufupi wakuu elimu itolewe zaidi kuhusu hizi dawa maana jana niliona kabisa nadharililika maana nusu haja zinitoke aiseee
View attachment 3196221
Wewe Infropreneur unaesema Mungu hayupo sijui mara uamini ..
Jifingie room alafu puliza huu mzigo kuna vtu utaona ndo utaamini there is someone called soul removaler au mtoa roho
Hayo maviranga siyo ya kufuata, utapotea!

Inakuwaga yakikaribia kufa na kuuona moto 'live' huwa yanatubu kwa kumlilia Mungu kabisa na kwa rehema zake yanasamehewa.

Wengine mnabaki na upotofu wenu mkiamini stori kwamba jamaa lilikuwa na msimamo thabiti wa kipagani, kumbe wapi!

Dunia hii siyo ya kuamini kila neno limtokalo mwanadamu.
 
Back
Top Bottom